Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 59,174
- 133,261
Baada ya Lowassa kusifiwa na rais Magufuli kuwa ni super man, nimemkumbuka naomba nimdurusu kidogo, niliwaji kusema nini humu kumhusu mtu huyu.
P.
P.
Wapi umakini?Acha kupotosha umma, Lowasa sio waziri mkuu mstaafu, ni waziri aliyejihudhuru kwa matumizi mabaya ofisi ya umma, huyo ndiye mzee wa richmundi, kuhusu kwenda Chadema, unaota ndoto za alinacha, hiki ni chama cha watu makini.
Chadema hawawezi hata kidogo kumpokea EL. Sumaye kwa haiba yake kwa jamii ya wana mageuzi anaweza pokelewa Chadema.
Hatuwezi kujadili vitu visivyowezekana,rejea LIST OF SHAME pale Mwembeyanga!
Muulize kama kishajiunga rasmiPasco ulikuwa na siri nzito kutoa utabiri huo
Jamaa keshabadili ID kitambo. Huwezi kupata jibu.unakumbuka post hii ktk uzi huu..
Never Say Never
Mkuu bado upo chadema?nani ampokee fisadi?
Mkuu bado unamsimamo huu😀Mwizi Lowassa, aje chadema kufanya nini?
Nilishakumbuka mkuu😀👍🏽 Lakini kiukweli baada ya mengi ambayo umewahi kuyasema yametokea, basi naona giza tororo huko mbele.Weka kumbukumbu ya kauli yangu tutakumbushana 2015!.
Pasco
Vipi ulipiga kura mkuu?Chadema Wakimpokea Lowassa sipigi kura kabisa.
Mkuu JMushi, humu jf tuna tatizo la pre conceived negativity, mtu akiisha kuwa mbaya ni mbaya milele. Hata akibadilika watu hawaamini. Japo ni kweli kuna giza tororo tuendako, but there is light at the end of the tunnel.Nilishakumbuka mkuu😀👍🏽 Lakini kiukweli baada ya mengi ambayo umewahi kuyasema yametokea, basi naona giza tororo huko mbele.
Haya mkuu. Lakini pia unakiri kuwa suala la Tanzania ya viwanda ni blah blah? Maana hapo kwa maoni yangu binafsi, ndipo penye “bottomline”Mkuu JMushi, humu jf tuna tatizo la pre conceived negativity, mtu akiisha kuwa mbaya ni mbaya milele. Hata akibadilika watu hawaamini. Japo ni kweli kuna giza tororo tuendako, but there is light at the end of the tunnel.
Mimi nimemfanyia psychoanalysis, nikagundua jamaa ana tatizo la deep rooted neurosis, hivyo ni erratic, lakini kichaa huwa kinacharuka na kinatulia na kuna wakati kinapona. Take it from me,jamaa is changing for the better.
P.
Hii Tanzania ya viwanda, naomba nisiizungumze, yule professor wa Ben Saanane aliyemzunguza, baada ya kumuweka kwenye zile tume zake za madini, sasa ndio KM pale!, Mkemia anaende kusimamia industries , trade na investments, wee acha tuu!.Haya mkuu. Lakini pia unakiri kuwa suala la Tanzania ya viwanda ni blah blah? Maana hapo kwa maoni yangu binafsi, ndipo penye “bottomline”.
Tupo Mkuu!"Chadema haiwezi kumpokea fisadi Lowasa"
hawa watu wako wapi?