Chama cha wachaga ndo kipi Mingoi?Lowassa hawezi kwenda chama cha wachaga
Chama cha wachaga ndo kipi Mingoi?Lowassa hawezi kwenda chama cha wachaga
Really!Akitubu Madhambi yake ya ufisadi na rushwa atapokelewa na kuwa mwanachama wa kawaida ambaye hataruhusiwa kugombea cheo chochote!
Akikujibu utanistua.Kwa sasa EL ana cheo gani ya chadema? Kuwa muwazi.
MhCDM yeye mwenyewe anajua hawezi kupewa hata kazi ya ufagizi wa ofisi.
je huko ccm kuna mwenye ubavu wa kumfukuza?
hahahahahaha inachekesha sana baavichaa walivowalopokaji...babu alinambia nijifunze kutunza maneno
Mkuu ulitunza maneno vzr, sijui kama sasa unaweza kuyarudiaCHADEMA kwa sasa hawapokei "viongozi" toka CCM, hivyo Lowassa hawezi kujaribu kuomba kujiunga CHADEMa.
Ila wanachama wa kawaida wa CCM wanaoguswa na elimu ya uraia pamoja na kuzinduliwa toka usingizi wa ujinga, maradhi, ufisadi na kulindana (hivyo kukosa uzalendo na haki zao za msingi) hao wataendelea kupokelewa kila iitwapo leo.
Mkuu bado upo jf au?hakuna ccm bila lowasa na hitakuja kuwa ccm bila lowasa milele.
like what?!
Hivi hawa jamaa bado wamo jf au ndio wanaotumia nguvu kubwa kumsafisha hivi sasa na kupiga deki barabaraMwizi Lowassa, aje chadema kufanya nini?
Nasikiaga eti ni mmiliki wa chama.Kwa sasa EL ana cheo gani ya chadema? Kuwa muwazi.
Nilikosea. I'm sorry.Mkuu ulitunza maneno vzr, sijui kama sasa unaweza kuyarudia
😀 tapishi huliwa hahahahahah lina ladha ya urojoChadema Wakimpokea Lowassa sipigi kura kabisa.
Lowasa NI MTU WAAMAAMUZ. MAGUMU
KAMA UAMUZI WA ZITO KUHUSU RUZUKU WANAUMIA KIChwa
LOWASA ANA MAAm
Uzi magumu zaidi ya hay a
Acha tu, hili ni kavazi/ archives la kutosha. Mambo yanaibuliwa.Dah kweli JF kuna GT's kumbe kwa hii thread mleta mada kama alijua kitachotokea yani nikisoma comments za watu
siasa bhana sijui alizianzisha nani
Pasco ulikuwa na siri nzito kutoa utabiri huo
Write your reply...hakuna ccm bila lowasa na hitakuja kuwa ccm bila lowasa milele.
Write your reply...hakuna ccm bila lowasa na hitakuja kuwa ccm bila lowasa milele.
UmeonaDah kweli JF kuna GT's kumbe kwa hii thread mleta mada kama alijua kitachotokea yani nikisoma comments za watu
siasa bhana sijui alizianzisha nani