Mkuu kura yangu nilimpa Maghufuli, hiyo haina maana kwamba hadi usawa huu nimefurahia maamuzi yangu. History will judge my decision. Nilishindwa kumpigia kura Lowassa kwasababu ya msimamo wangu humu JF na sina chama wala si mfuata mkumbo.Nani wa kumpokea Lowassa chadema?
Nakubali na kusimamia nilichosema, naamini lilikuwa kosa kumpokea Lowassa na pia naamini lilikuwa kosa kubwa zaidi kumkabidhi kupeperusha bendera ya Urais.
Baada ya kusema hayo, natambua pasina shaka yoyote kuwa CCM kuendelea kushika dola ni kosa kubwa na baya na lenye gharama kubwa sana kwa Taifa, vizazi vyetu na kila mzalendo mwenye akili timamu. Lowassa alikuwa na makando kando yake aliyotoka nayo CCM, kwa hiyo CCM ni tatizo kubwa zaidi kwa Tanzania kuliko Lowassa na mafisadi wote (combined). Kwa sababu mpaka tarehe hii ya leo 4/4/2017 CCM imeendelea kutoa/kutengeneza mafisadi kwa viwango na idadi ya kutisha bila ya uwepo wa Lowassa...... hivyo ndio kusema Lowassa alikuwa tunda la mfumo wa CCM.
Bora yako umeamua kuwa mkweliMkuu kura yangu nilimpa Maghufuli, hiyo haina maana kwamba hadi usawa huu nimefurahia maamuzi yangu. History will judge my decision. Nilishindwa kumpigia kura Lowassa kwasababu ya msimamo wangu humu JF na sina chama wala si mfuata mkumbo.
Napita tu jamani.Lowassa ni mchafu, hapaswi kuingia CHADEMA
meningitisnani ampokee fisadi?
Mkuu upo?hakuna ccm bila lowasa na hitakuja kuwa ccm bila lowasa milele.
Atakua amebadili IDMkuu upo?
Napita tu jamani!!!Hawezi kupokelewa labda Sumaye.
wapi ulipo kwa sasa?Thubutu! Nani atathubutu kttoa kauli ya kumtimua EL? Labda asiyejua yaliyomkuta Mkama!
rudia tena!!!!nani ampokee fisadi?
Nani kakwambia?jibu ni hapana
[emoji1]Kamanda Upo?
[emoji2]Hii mada nikiiona inanitia tu hasira za bure
[emoji2]Thubutu! Nani atathubutu kttoa kauli ya kumtimua EL? Labda asiyejua yaliyomkuta Mkama!
[emoji2]CHADEMA kwa sasa hawapokei "viongozi" toka CCM, hivyo Lowassa hawezi kujaribu kuomba kujiunga CHADEMa.
Ila wanachama wa kawaida wa CCM wanaoguswa na elimu ya uraia pamoja na kuzinduliwa toka usingizi wa ujinga, maradhi, ufisadi na kulindana (hivyo kukosa uzalendo na haki zao za msingi) hao wataendelea kupokelewa kila iitwapo leo.
[emoji2]nani ampokee fisadi?
[emoji196]Hawezi kupokelewa labda Sumaye.