Wino ni kitu kimoja kizuri sana kwa kumbukumbu
Bila ya Wino Huu Nyumbu wangeturuka!
Wino ni kitu kimoja kizuri sana kwa kumbukumbu
Duh! Alikuja kwetu tukampisha.akuna alie na uwezo wa kumfukuza lowassa ndani ya ccm
Kwanini hukuuliza muda ule? Ulisubiri matokeo?Mkuu hebu rudi utoe hitimisho
hahha atakuwa amebadili na ID hahahahMkuu hebu rudi utoe hitimisho
Pole ndugu yangu. Wanasiasa wetu walioko kwenye uongozi wa juu hawaaminiki. Tuliwaamini sana kwamba tuko pamoja kumbe wanatuuza tu. Walituingiza mkenge wengi tu, sio pekeako. Hatupaswi kuwaamini sana hata awe nani.Kwanini hukuuliza muda ule? Ulisubiri matokeo?
Salary, ben sanane wameyeyukaa au Mzee hajatoa fungu la mb,,,,,Kuna ID ni maarufu sana kama Salary Slip, Ben Saanane, Mawia, Mwanahabari huru...huwezi kuziona hapa...
Kweli siasa ni unafiki.
hapa ndo napata picha wapinzani wakojeHizi kauli za makamanda uchara
Kama bado ni mzima njoo tena hapa jukwaani. Labda uwe umekufa. Maana jf ukifa hatujui kwa hizi Id fakeAkitubu Madhambi yake ya ufisadi na rushwa atapokelewa na kuwa mwanachama wa kawaida ambaye hataruhusiwa kugombea cheo chochote!
Itabidi uamini.duh siamini
sawa tuItabidi uamini.
Tokalini ndoto ikajibiwaBen Saanane
Mwanahabari Huru
Salary Slip
Mingoi
Mussa Allan
Yericko Nyerere
BAK
Hawa jamaa wanasoma hapa na kupita kimya kimya kama vile hawaoni, ha ha ha.
Makamanda hapa mmejikanganya kichizi.Tokalini ndoto ikajibiwa
Kuna machadema walishabadili mpaka ID zao kwa fedheha hii.Kumbe Jamiiforum kuna waota ndoto wakali hivi?
Kama hujafa njoo utengue kaul[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Lowassa ni mchafu, hapaswi kuingia CHADEMA
KabisaaaHuyu jamaa alieanzisha huu UZI APEWE U EXPERT duuh!!..