Israel inaomba silaha!!

Israel inaomba silaha!!

wakati fulani nilibahatika kutazama program fulani ya cnn ambayo ilikuwa inaonyesha safari za rais bush kwenye eneo la mashariki ya kati. Walionyesha mojawapo ya safari za hatari ambazo bush amewahi kufanya akiwa na airforce one. Msimuliaji alieleza namna vyombo vya ulinzi vya jeshi la anga la marekani vilivyokuwa vinahangaika masaa 24 kuhakikisha kwamba ndege ya rais inakuwa salama wakati wote. Sasa kilichonishangaza ni kwamba eti fursa pekee ya kupumzika ambayo wanajeshi wa jeshi la anga la marekani walikuwa wanapata ni wakati ambapo ndege ya rais imekanyaga ardhi ya israel. Kwa maneno mengine, wamarekani wanauamini sana ulinzi wa israel.
ni uongo.
 
Ni kwa vile uchumi wa usa pia unategemea waisraeli

Mlokole mwingine ambaya hata hajui uchumi wa US unategemea nini. Kama unazungumzia nchi zilizowekeza US, Saudia imewekeza zaidi Marekani kuliko Israel, Saudia ina share ya kama aslimia 6 ya uchumi wa US na Israel is far less of that. Kama unazungumzia government bonds US inategemea zaidi China. Do your research first. Wayahudi wenyewe wanakimbilia Marekani na hata kuishi Israel hawataki. There are more jews in US than they are in Israel

"The United States is the world's largest manufacturer, with a 2009 industrial output of US$2.33 trillion. Its manufacturing output is greater than of Germany, France, India, and Brazil combined.[SUP][111][/SUP] Main industries include petroleum, steel, automobiles, construction machinery, aerospace, agricultural machinery, telecommunications, chemicals, electronics, food processing, consumer goods, lumber, and mining. The US leads the world in airplane manufacturing,[SUP][112][/SUP] which represents a large portion of US industrial output. American companies such as Boeing, Cessna (see: Textron), Lockheed Martin (see: Skunk Works), and General Dynamics produce a vast majority of the world's civilian and military aircraft in factories stretching across the United States." -Excerpt from wikipedia
 
Wayahudi wenyewe wanakimbilia Marekani na hata kuishi Israel hawataki. There are more jews in US than they are in Israel

Enheeee! Safi kabisa. Marekani kuna Wayahudi wengi kushinda hata Israel.

Sasa kama Israel kungekuwa bab kubwa kihivyo kama baadhi ya hawa walokole wanavyotaka tuamini si kila mtu angetaka kuhamia huko...

Uongo wao umekuwa exposed!
 
Umemuelewa vizuri kabisa, sidhani kama kuna safari yoyote mashariki ya kati inaweza kuchukua saa 5, leave alone saa 24. Sijui Bush alikuwa anasafiri vipi saa 24, ndani ya Israel sidhani kama kuna haja ya kuwa na wasiwasi kwa kuwa ndege inaruka muda mfupi sana. NI vizuri akijulishwa kuwa Air force ina air defence yake ambayo kimsingi haipigiki..
Vichwa vingine bwana kapuku kwelikweli! Kwani ni nani aliyekwambia masaa 24 maana yake muda wote huo ndege (air force one) ilikuwa angani. Sidhani kama NdasheneMbandu alikuwa anamaanisha hivyo. Naona kama umedandia gari kwa mbele. Jeshi la anga la Marekani linakuwa allert muda wote hata kama ndege ya rais ipo on ground ilimradi tu ipo nje ya mipaka ya Marekani. Msipende ku-argue mambo kama hamyahamu.

Pamoja na yote mnayoeleza kuibeza Israel, ukweli utabaki kuwa Wayahudi wanabaki kuwa an ethnic group of its kind. Akili waliyopewa ya kukabiliana na hujuma za kiarabu dhidi yao ni kubwa sana. Israel ingekuwa ni taifa legelege, wayahudi wangetoweka kwenye uso wa dunia zamani sana. Lakini waarabu pamoja hasira zao za kujitoa muhanga bado wamedhibitiwa vilivyo.
 
Vichwa vingine bwana kapuku kwelikweli! Kwani ni nani aliyekwambia masaa 24 maana yake muda wote huo ndege (air force one) ilikuwa angani. Sidhani kama NdasheneMbandu alikuwa anamaanisha hivyo. Naona kama umedandia gari kwa mbele. Jeshi la anga la Marekani linakuwa allert muda wote hata kama ndege ya rais ipo on ground ilimradi tu ipo nje ya mipaka ya Marekani. Msipende ku-argue mambo kama hamyahamu.

Pamoja na yote mnayoeleza kuibeza Israel, ukweli utabaki kuwa Wayahudi wanabaki kuwa an ethnic group of its kind. Akili waliyopewa ya kukabiliana na hujuma za kiarabu dhidi yao ni kubwa sana. Israel ingekuwa ni taifa legelege, wayahudi wangetoweka kwenye uso wa dunia zamani sana. Lakini waarabu pamoja hasira zao za kujitoa muhanga bado wamedhibitiwa vilivyo.

Mkuu nakubaliana na wewe, kapuku ni kapuku tu, kweli kabisa. Who will care for air defence when the aircraft is not on flight, a plane is shot down when is on flight not when it has landed. Unajua kuwa air force one haiwezi kutungulika? unajua what air defence system Air force and air force two has one have? Simple fact ambayo haihitaji hata darasa inaonesha ukapuku. Kama kulindwa kwa air force one kama ndege, inalindwa hata ikiwa ndanai ya mipaka ya US, si nje tu.

Uliza ni nani anayewadhibiti waarabu, US au Israel? ni Ulaya au Israel? Iangalie Israel katika pande zote ulinganishe na maneno ya walokelo uone ukweli ni upi. Jaribu kukumbika walichofanya OPEC miaka ya sabini utajua ni kwanini US na Ulaya zinawadhibiti waarabu, na si Israel.

Kiutamaduni na historia wayahudi na waarabu hawana tofauti, unless uwe mlokole hujui hilo. Mwarabu yuko close na myahudi kuliko mlokole, mlokole anajipendekeza tu. Do your research and see what you will find.

Hakuna aliyesema kuwa Israel ni nchi ya wajinga, na si kweli kama waarabu wote ni Hamas au Hezbulah. Ukitaka kujua kama wayahudi ni normal people ishi nao, ongea nao uone matendo yao, they are not extraordinary people na si less inteligent kama Hitler alivyodhani. Au nenda Israel kwenyewe ukaone wanavyoishi, au ukweza nenda Iran ambako kuna wayahudi wengi nje ya US na Israel. Jaribu kutafuta maana ya ashkenazi,mizrahim na sephardm halafu utajua unaongea nini. Do not be a dumb dweeb.
 
US na Israel wanategemeana kwa mengi,US is a super power but the best allie to Israel hivyo kumpa muIsrael support kubwa sana.Lakini lazima kujua kuwa support anayoitoa US kwa Israel si bure kuna nguvu nyuma ya pazia..
 
US na Israel wanategemeana kwa mengi,US is a super power but the best allie to Israel hivyo kumpa muIsrael support kubwa sana.Lakini lazima kujua kuwa support anayoitoa US kwa Israel si bure kuna nguvu nyuma ya pazia..

Hata South Korea wanabebwa na US! Hata Saudi Arabia wanabebwa na US. Hata Kuwait wanabebwa na US.

US inabeba nchi nyingi sana. Sasa huwezi kusema kila nchi inayobebwa na US kuwa hiyo ndiyo yenye nguvu. Nchi yenye nguvu ni ile inayoibeba nchi ingine.

Kwa US, Israel ni kiroboto. Haifui dafu kwa lolote.
 
US na Israel wanategemeana kwa mengi,US is a super power but the best allie to Israel hivyo kumpa muIsrael support kubwa sana.Lakini lazima kujua kuwa support anayoitoa US kwa Israel si bure kuna nguvu nyuma ya pazia..

Mkuu naona umegusa ukweli, suport anayotoa US kwa Israel ni kwa security and geopolitical interests. Ukianza kuangalia vizuri unaweza kuona kuwa Israel ni nchi iliyoanzishwa na UN resolution, na lengo la walioianzisha ilikuwa ni kuwa na reliable partner ambaye anaweza kuwapa base ya kuweza kudeal na Soviet Union na Islamic fundametalism. Pamoja na kuwa US na Ulaya wa allies wengi, si wote wanaoaminika kama Israel. Kwa hiyo support ya Marekani kwa US si bure ni kwa ajili ya interest zake yenyewe, si kwa ajili ya Israel per se. Leo Israel isipokuwepo Marekani haitatetereaka hata kidogo lakini leo US isipokuwepo kesho Israel haipo. Nchi ya pili inayopata msaada mkubwa kutoka kwa US baada ya Israel ni Misri, for same reasons, American geopolitical, economic and political interests.
 
Marais wengine wa marekani ie Bush et al, mojawapo ya sababu za kuisapoti Israel was deep rooted from their faith...Wale wanaoamini kuwa ni Isarael ni taifa teule la Mungu, kama wengi wetu tu humu JF wanavyoamini.

Pia kisiasa, US kutokana na interests zao hapo middle east, uwepo wa Israel pale ni sawa na uwepo wa mmarekani kwa namna nyingi sana.

Uwepo wa Isael pale middle east ni kwa maslahi ya marekani.Na hawana historia ya kuaminiana na waarabu hata kidogo.Kwa mmarekani, muisrael ni kama ana blance power, otherwise nadhani waarabu na mashia wasingekamatika.
 
Kuomba Silaha sio tatizo kubwa,kuna Nchi gani duniani ambayo ikiingia Vitani leo hii haitaomba msaada?? Iran haiiwezi ISRAEL kwa uwezo wa Kijeshi,hawa Majaa wapo vizur sana kijeshi.
 
Kuomba Silaha sio tatizo kubwa,kuna Nchi gani duniani ambayo ikiingia Vitani leo hii haitaomba msaada?? Iran haiiwezi ISRAEL kwa uwezo wa Kijeshi,hawa Majaa wapo vizur sana kijeshi.

Kama Israel wapo vizuri kijeshi kwa nini wanaenda US kuomba silaha?
 
Cheki hii

Since 1976, Israel had been the largest annual recipient of U.S. foreign assistance. In 2009, Israel received $2.55 billion in Foreign Military Financing (FMF) grants from the Department of Defense.[SUP][71][/SUP] All but 26% of this military aid is for the purchase of military hardware from American companies only.[SUP][71][/SUP]

The United States has an anti-missile system base in the Negev region of Southern Israel, which is manned by 120 US Army personnel.
 
Ukweli ni kwamba marekani na israel ni vitu viwili tofauti kabisa.
OTIS
 
Back
Top Bottom