Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 97,100
- 136,732
- Thread starter
- #241
Superpower ina mapana yake.Kuna power nyingi. Ila kukuonyesha ni jinsi gani unaweza angalia uhasilia. Mfano Putin alikuwa waziri mkuu ila alikuwa ndio rais ktk background, uliza wazee wa ndumba, wanavyoweza badili maamuzi ya viongozi wa kiserikali.Israel wanaweza badili kauli ya rais yeyote wa marekani, wanaweza mpeleka Marekani ktk vita vyingi, provided wanaweza jengea hoja, Kutegemea na wewe nataka fikiri vipi, ila huna haja ya kupeteza muda kudai nani superpower .Ni bora ukabaki katika mada. waulize wahidni wenye kwashakoo, wao na tembo wanaowaendesha nani mwenye nguvu?Google wanakuambia information is power, wengine wanasema Gold is power. wengine knowledge is power,JF watakuambia pia freedom of press is power, pengine na information is power. sasa wewe ONGEZEA SUPER tuu kwa kila power.America is Super power but Israel are the controller of that SUPERPOWER.Amerika wenyewe wanajua na kuamini kuwa bila Israel si wao tuu hata Ulaya Itaanguka.Unabisha waulize waarabu km wanaweza uziwa silaha na yeyote duniani bila kwanza wauliza waisrael km wana zaidi ya hizo.....lol
Israel ain't got nothing on the United States of America and that is a FACT.
If you think otherwise then provide evidence to back up your claims.