Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,181
- 37,479
Ni kweli Israel inapata msaada mkubwa wa kijeshi na kiuchumi toka USA,hili halina ubishi hata kidogo.
Israel ni taifa lililoendea sana katika nyanja za sanyansi na teknolojia.Taifa la Israel linamiliki hadi silaha za nyuklia iweje leo msema bila USA haiwezi kusimama ?.Israel ina viwanda vya vifaa vya kijeshi hivyo kuomba msaada wa makombora toka USA haina maana wanategemea kila kitu bali ni nyongeza ya vifaa ambavyo hawana kabisa.Viwanda vya vifaa vya kijeshi nchini Israel vimefanikiwa kuuza ndege,vifaru,meli za kivita na makombora ya aina mbali mbali huwezi kuamini taifa kubwa kama China na India zimewahi kununua vifaa vya kivita toka Israel.Israel imewahi kupeleka technolojia yake mpaka USA mfano hai ni ndege za kivita aina ya Kfir C 1 ziliazimwa na USA kwaajili ya kutumiwa na US Navy na US Marine Corps kati ya mwaka 1985 hadi mwaka 1989 zikarejeshwa Israel.Sasa hapa utasema USA haina lolote kwakuwa imeazima ndege za kivita toka Israel ?.
Ngoja niwawekee baadhi ya zana za kivita zinazotengenezwa Israel
Anti Ship Missile
[TABLE="class: infobox, width: 315"]
[TR]
[TH="colspan: 2, align: center"]Lavi[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: center"]Lavi B-2 prototype[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Role[/TH]
[TD]Multirole fighter[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Manufacturer[/TH]
[TD]Israeli Aircraft Industries[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]First flight[/TH]
[TD]31 December 1986[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Status[/TH]
[TD]Cancelled 30 August 1987[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Number built[/TH]
[TD]3 prototypes[SUP][1]
[/SUP][/TD]
[/TR]
[/TABLE]
Israel ni taifa lililoendea sana katika nyanja za sanyansi na teknolojia.Taifa la Israel linamiliki hadi silaha za nyuklia iweje leo msema bila USA haiwezi kusimama ?.Israel ina viwanda vya vifaa vya kijeshi hivyo kuomba msaada wa makombora toka USA haina maana wanategemea kila kitu bali ni nyongeza ya vifaa ambavyo hawana kabisa.Viwanda vya vifaa vya kijeshi nchini Israel vimefanikiwa kuuza ndege,vifaru,meli za kivita na makombora ya aina mbali mbali huwezi kuamini taifa kubwa kama China na India zimewahi kununua vifaa vya kivita toka Israel.Israel imewahi kupeleka technolojia yake mpaka USA mfano hai ni ndege za kivita aina ya Kfir C 1 ziliazimwa na USA kwaajili ya kutumiwa na US Navy na US Marine Corps kati ya mwaka 1985 hadi mwaka 1989 zikarejeshwa Israel.Sasa hapa utasema USA haina lolote kwakuwa imeazima ndege za kivita toka Israel ?.
Ngoja niwawekee baadhi ya zana za kivita zinazotengenezwa Israel
Anti Ship Missile
[TABLE="class: infobox, width: 315"]
[TR]
[TH="colspan: 2, align: center"]Lavi[/TH]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: center"]
[/TD]
[/TR]
[TR]
[TD="colspan: 2, align: center"]Lavi B-2 prototype[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Role[/TH]
[TD]Multirole fighter[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Manufacturer[/TH]
[TD]Israeli Aircraft Industries[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]First flight[/TH]
[TD]31 December 1986[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Status[/TH]
[TD]Cancelled 30 August 1987[/TD]
[/TR]
[TR]
[TH]Number built[/TH]
[TD]3 prototypes[SUP][1]
[/SUP][/TD]
[/TR]
[/TABLE]