Israel inaomba silaha!!

Israel inaomba silaha!!

Hata cna muda coz u know everything bt u a pretending such as nothing u know.
 
Who will care for air defence when the aircraft is not on flight, a plane is shot down when is on flight not when it has landed. Unajua kuwa air force one haiwezi kutungulika? unajua what air defence system Air force and air force two has one have?

MKUU Kabla ya research tufanye simple logic. unamaanisha kuwa ndege haiwezi kushambuliwa iwapo ardhini? Mbona Israel ililipua ndege Misri wakati zinajiandaa kwenda kushambulia? Sina hakika kitu gani kinasemwa na kujadiliwa hapa, ila nahisi kana kwamba tunajadili ushabiki zaidi ya uhalisia. Hata wale wanaosema research wanaweka ushabiki/unazi badala ya kutoa maelezo na wawaachie wengine wahitimishe/conclude
 
Hata South Korea wanabebwa na US! Hata Saudi Arabia wanabebwa na US. Hata Kuwait wanabebwa na US.

US inabeba nchi nyingi sana. Sasa huwezi kusema kila nchi inayobebwa na US kuwa hiyo ndiyo yenye nguvu. Nchi yenye nguvu ni ile inayoibeba nchi ingine.

Kwa US, Israel ni kiroboto. Haifui dafu kwa lolote.
Kalaghabakho!!!
 
Nyani Ngabu,bila shaka ulishawahi kwenda USA. Ukaona kama upo Mbinguni
 
MKUU Kabla ya research tufanye simple logic. unamaanisha kuwa ndege haiwezi kushambuliwa iwapo ardhini? Mbona Israel ililipua ndege Misri wakati zinajiandaa kwenda kushambulia? Sina hakika kitu gani kinasemwa na kujadiliwa hapa, ila nahisi kana kwamba tunajadili ushabiki zaidi ya uhalisia. Hata wale wanaosema research wanaweka ushabiki/unazi badala ya kutoa maelezo na wawaachie wengine wahitimishe/conclude

Haya tupe uchambuzi wako usio na ushabiki.
 
MKUU Kabla ya research tufanye simple logic. unamaanisha kuwa ndege haiwezi kushambuliwa iwapo ardhini? Mbona Israel ililipua ndege Misri wakati zinajiandaa kwenda kushambulia? Sina hakika kitu gani kinasemwa na kujadiliwa hapa, ila nahisi kana kwamba tunajadili ushabiki zaidi ya uhalisia. Hata wale wanaosema research wanaweka ushabiki/unazi badala ya kutoa maelezo na wawaachie wengine wahitimishe/conclude

Mkuu Bube naungana na wewe, ukiangalia simple logic ni kuwa Air force one inalindwa popote inapotua, iwe Washington DC, Tel Aviv, Dar au Arusha. Kwa hiyo si suala la kujadili, si kweli kwamba Israel ni most safe place duniani. Rabin alipigwa risasi akiwa analindwa na kidon na Mossad, kuna magaidi wa kiyadi ambao hata serikali ya Israel inapambana nao, Israel pia kuna magereza ambayo wayahudi pia wanafungwa. Kismingi ni sehemu sawa kabisa na sehemu nyingine, jews are humas just like you and me. Kushambulia ndege zikiwa uwanjani kama walivyofanya Israel kwa Misri au Tamil Tigers walivyofanya pale Colombo ni jambo moja, na kutungua ndege ni jambo lingine. M-nazi alichosema ni ushabiki tu, ni point isiyo na maana.

Issue hapa kuna watu wanaoitwa walokole, ambao wanashindwa kutumia simple logic (wanatumia unazi) kuona kuwa Israel ni nchi ndogo ambayo haiwezi kuishi yenyewe na kujilinda bila msaada wa wakubwa, au bila kuheshimiana na wengine. Marekani pamoja na kuwa na jeshi bora zaidi duniani, kila siku inasema nguvu yake ipo kwenye values na ideals, kwa hiyo silaha au jeshi peke yake si kitu. Ndio maana Marekani inawapa wasaudi na wamisri mabilioni ya dola kila mwaka kuhakikisha kuwa wanailinda Israel. Sio kuwa Israel inawapa Marekani hela, au inawapa Saudia na Misri hela. Wanasoma kweye biblia wanadhani kile kilichoandikwa mule ndio reality kuhusu Israel.

Mkuu ukinaimbia nichague sides kati ya Israel na Iran, ntachagua Israel kwa sababu binafsi. Lakini ni kweli Israel inaweza ku deal na Iran? peke yake? ni kweli IDF ni best military in the world? au ni kweli Israel ni super power duniani? ni kweli unaamini kuwa Israel ni taifa teule? Kama Israel ni taifa teule then why the hell mataifa mengine are we doing on earth. Kama Mungu amewateua wao who are we here, wasindikizaji tu? au ni kama mbuzi na kuku? Ina maana hatuna maana kabisa, hata walokole ambao wamejiteua wenyewe pia nao hawana maana. Sidhani kama Mungu anaweza kuwa na maana hiyo. This is very simple logic, it does not need research or college degree.

Point anayo-make Nyani Ngabu ni very simple. Bila US Israel haiwezi kudeal na threat ya Iran, na US is a million times better than Israel, ni simple facts za ku google na kujua ukweli. Tatizo ni kwamba walokole are so myopic, wao source yao ya elimu ni biblia hata hawajui kuwa Biblia iliandikwa miaka 2000 iliyopita, kuna mambo mengi yamebadilika. Bible ilipoandikwa US as a country haikuwepo, na ukiangalia kwenye bible "ramani ya dunia" ya wakati ule na ramani ya dunia tuliyonayo leo unaweza kuona tofauti sana. Ndio kuna wachache wana elimu ya juu sana, lakini hao wachache hawawzi kuwabadilisha mamilioni waliopo. This is the fact which walokole do not want to admit.
 
Haya, wale wanazi wa Israel njooni muelezee hii ya wao kuomba silaha toka kwa Marekani. Si mnadaigi Israel ni super power....come and rationalize this one now!



Narudia tena, THE UNITED STATES OF AMERICA IS THE ONLY WORLD's SUPER POWER na kukilinganisha ki-Israel na Marekani ni sawa na kulinganisha kiroboto na tembo.

Wewe nyani mimi sijakuelewa hapo! Yaani point yako nini?
 
Wewe umewahi kwenda USA au Israel?

Dude i have been to both, what you say is the reality. There is no city in US that can be compare to whole of Israel. If you look at cars running on streets, look at roads and signs, look at buildings, buses, clubs, music they plays in clubs, nguo wanazovaa, hata ukisikia Waziri Mkuu wao wa sasa anaongea unaona amekopi hata accent ya sehemu fulani ya Marekani, super markets, schools etc etc you will see that they are copying the US. Baada ya kufika kule nilijua ni kwanini Jews wengi wanakimbilia New York na US in general, nothing much to do there, hata kama una business ideas haziwezi kuendelea kule bila msaada wa wakubwa. Unless you're ultra-orthodox or you are poor, ukiwa na chance utaenda US na sio Israel.
 
Wewe nyani mimi sijakuelewa hapo! Yaani point yako nini?

Point yangu ni kwamba, Israel sivyo kama ambavyo baadhi ya watu wanavyodai. Kuna watu wamewahi kudai humu tena bila aibu kuwa Israel ni super power, kuwa jeshi la Israel ndo jeshi lenye nguvu zaidi duniani, na claims nyingine kama hizo zisizo na kichwa wala miguu.

Umeelewa wewe Thinkpad?
 
Point yangu ni kwamba, Israel sivyo kama ambavyo baadhi ya watu wanavyodai. Kuna watu wamewahi kudai humu tena bila aibu kuwa Israel ni super power, kuwa jeshi la Israel ndo jeshi lenye nguvu zaidi duniani, na claims nyingine kama hizo zisizo na kichwa wala miguu.

Umeelewa wewe Thinkpad?

Mkuu Nyani Ngabu, ni vizuri ukiwasaidia baadhi ya watu hapa jamvini kuelewa maana ya yaliyoandikwa kwenye link hii. Haya yameandikwa kut6oka na facts na utafiti na si ulokole. Uzuri ni kwamba hata waisrael wenyewe wanajua US ni nani.



Israel would face challenge in bombing Iran nuclear sites, experts say - CNN.com
 
Chezeya Marekani uchanike msamba!
Israel ni super power arifu.....ni taifa la Mungu hakun a awezaye kulingusha hata iweje arifu......marekani ni subset ya israel..most ya super people wa US ni wayahudi...tatizo lako unaangalia sana music chanel na kusoma tabloid papers....
 
Israel ni super power arifu.....ni taifa la Mungu hakun a awezaye kulingusha hata iweje arifu......marekani ni subset ya israel..most ya super people wa US ni wayahudi...tatizo lako unaangalia sana music chanel na kusoma tabloid papers....

I know you are not serious so I'll let you pass.
 
Israel ni super power arifu.....ni taifa la Mungu hakun a awezaye kulingusha hata iweje arifu......marekani ni subset ya israel..most ya super people wa US ni wayahudi...tatizo lako unaangalia sana music chanel na kusoma tabloid papers....
Acheni kudhalilisha utukufu wa Mungu. Taifa la Mungu linaogopa nuclear!!!!, taifa la Mungu likisikia tu nchi x ina silaha Fulani haraka wanakimbilia kuomba msaada!!!!, taifa la Mungu linatumia mabomu ya sumu kuwashambulia watu wasio na silaha!!!! Taifa la Mungu linahifadhi mamia ya silaha za nuclear lakini halitaki mwingine awe nazo!!!!, Taifa la Mungu lilisema Saddam ana WMD kumbe linasema uwongo. Taifa la Mungu linapora ardhi kwa wasiopatiwa silaha na Marekani. Tafakari vizuri.
 
Acheni kudhalilisha utukufu wa Mungu. Taifa la Mungu linaogopa nuclear!!!!, taifa la Mungu likisikia tu nchi x ina silaha Fulani haraka wanakimbilia kuomba msaada!!!!, taifa la Mungu linatumia mabomu ya sumu kuwashambulia watu wasio na silaha!!!! Taifa la Mungu linahifadhi mamia ya silaha za nuclear lakini halitaki mwingine awe nazo!!!!, Taifa la Mungu lilisema Saddam ana WMD kumbe linasema uwongo. Taifa la Mungu linapora ardhi kwa wasiopatiwa silaha na Marekani. Tafakari vizuri.
Ni taifa la Mungu ambaye nadhani ni wa tofauti na Mungu wa hao wanaopigana nao.

So ni "Mungu wangu vs. Mungu wako" kinda fight

Vitabu vyote "vitakatifu" vina historia ya wapiganaji wa "Mungu wao", na mambo kama hayo ni kawaida depending on "Mungu wako" as in to which one you happen to be "serving"
 
Acheni kudhalilisha utukufu wa Mungu. Taifa la Mungu linaogopa nuclear!!!!, taifa la Mungu likisikia tu nchi x ina silaha Fulani haraka wanakimbilia kuomba msaada!!!!, taifa la Mungu linatumia mabomu ya sumu kuwashambulia watu wasio na silaha!!!! Taifa la Mungu linahifadhi mamia ya silaha za nuclear lakini halitaki mwingine awe nazo!!!!, Taifa la Mungu lilisema Saddam ana WMD kumbe linasema uwongo. Taifa la Mungu linapora ardhi kwa wasiopatiwa silaha na Marekani. Tafakari vizuri.

Walokole wana kazi sana.
 
Back
Top Bottom