Islamic Banking-NBC; Sharia banking-Stanbic

Zion Daughter

JF-Expert Member
Jul 9, 2009
8,921
4,235
Sijui kama hii kitu imewahi kuletwa hapa lakini kwangu ni kitu kigeni.Inakuwaje mambo ya dini yahusishwe moja kwa moja na biashara tena ambazo sio taasisi za kidini?Kwa anaejua vizuri haya mambo yanafanyaje kazi ,ufafanuzi please.Maana mie sielewi elewi.Kwani wateja wa kiislamu huwa wanakwazwa wakihudumiwa kikawaida kama sheria za mabenki zilivyo? Nahisi huko badae tutakuwa nakila dini na kitu chake.
N;Nimeona kwenye matangazo ya benki ya NBC na Stanbic
 
ndio kazi ya muslim brotherhood ya wamisri hiyo dadangu, kueneza fikra kuwa nchi zote zenye waislam zinatakiwa kidogokidogo kuhakikisha wanazifanya nchi hizo kuendeshwa na sharia...hawa ndo wale muslim brotherhood walioko chang'ombe..na huko kwao misri wanapogwa marufuku kama nini...ila hapa tunawaona wanafaa tu...hawa ndo wanaohamasisha hata vurumai za mahakama ya kadhi, islamic banking na upupu mwingine wote....na jk anajua na anawaacha tu makusudi kwa maslahi ya dini yake...

nenda uone kwenye mtandao muslim brotherhood utawajua...na yule profesa anayehubiri tbc na channel ten...hawa pia kazi yao ili kulazimisha hayo mambo ndo wamefanya hata ugaidi na huwa hawachelewi kutangaza jihad...rais saadat wa misri ni evidence tosha...na wanao uwezo kumtoa mtu madarakani wakiamua wakati wowote kama wakiwa established...kwa njia yoyote ile...
 
udini unanukia taratibu tu mwisho itabidi ianzishwe ya wakristo kisha daladala za waislam na mabucha yawakristo nk
 
Charity na wana JF,
Hizo Bank zimeona businesss opportunity tu na wakazikimbilia, hakuna udini wala uislamu hapo. Hata mabank makubwa ya Europe wanafanya hivyo vitu. Kitu kikubwa walichozingatia ni kuwa itawavutiaji waislamu ambao hawataki kuchukua au kula riba, na ndo wakaanzisha hiyo Islamic Banking- Si kwanba hiyo NBC inawapenda waislamu kiasi hicho, bali inamaanisha kuwa inataka kuchukua pesa zao ambazo wengine wanaamua waziweke sehemu ambao riba haipo (Interest zitolewazo na Benki ndiyo riba hiyo, wala si faida kama wengi wanavyodhania au wengine wanavyosema pesa imewekwa bank ikazaa- yaani kinachozaliwa ni riba!)

Swala la pili ni kuwa ulaji, upokeaji au utoaji wa riba umekatazwa na dini zote, si kiislamu tu tofauti ni kuwa wakristo wengi ama hawafahamu kuwa kula riba ni dhambi au wameamua kufumba macho kama ambavyo kuna waislamu ambao huwa wanaifumbia macho.

Kuna mfano mwingine ambao nitakujulisha ambao bongo haujaanzishwa ila nahisi within 5-10 years utaanza ni kile kitu kiitwachwa "PINK MONEY", Pink Business au Pink Economics. Hizi ni pesa au biashara ambayo inahusiana na watu wapendao kufanya mapenzi na watu wa jinsi yao- Gays & Lesbians- Ulaya na Amerika wafanyabiashara weshawastukia kuwa hawa jamaa huwa ni watumizi wazuri wapesa kama wakipatiwa vitu ambavyo vipo karibu nao, mfano keki zenye wanaume wawili kama bw. na bibi harusi, mahoteli maalumu ambao watu wa aina hiyo wanakuwa huru zaidi, nguo nguo ambazo wanaume wa kawaida hawawezi kuzivaa nk.

Ninachotaka kusema ni kuwa ni business hiyo, wala isikukoseshe usingizi wako! Watu weshapiga hesabu na kuona wata meki kiasi gani full stop, ukichunguza utaona kuwa hata hao waanzilishi katika hizo bank wala siyo waislam, ila tu wanafukuzia hizo shilingi za waislamu.
 
madhara yake hamtayaona sasaivi, maradha yake yataonekana badaye...maumivu huanza poleple, hayaji haraka! mwenye akili na aelewe.
 
udini unanukia taratibu tu mwisho itabidi ianzishwe ya wakristo kisha daladala za waislam na mabucha yawakristo nk

Mbona hili lipo siku nyingi!, kuna makanisa ambayo ni ya wakristo, kuna misikiti ambayo ni ya waislam, Ukienda makaburini kuna sehemu wanazozikiwa waislam pekee na sehemu wanazozikiwa wakristo pekee. Sasa kuna ubaya kuwa na huduma za kibanki zinazolenga toa huduma kwa misingi ya imani fulani?, kama biblia imekamilika kwa kila kitu na basi haitakuwa ajabu siku moja kukawa na huduma za kibank kwa misingi ya kikristo. Kitu muhimu ni kwamba huduma hizi si discriminative, kama wewe ni mkristo unataka huduma ya kiislam unapewa tu nobody ask your religion, kwani unapotaka huduma ni ridhaa yako kama ilivyo kuchagua imani unayoitaka. Kelele za nini?, au mnoahofia huduma hii kuwa popular na kuvutia interest za watu katika kuuelewa zaidi uislam?.
 
madhara yake hamtayaona sasaivi, maradha yake yataonekana badaye...maumivu huanza poleple, hayaji haraka! mwenye akili na aelewe.
huu ni upuuzi wa kutotaka kujifunza. Hii sio siasa ni business. Someni acheni porojo.
 
Mbona hili lipo siku nyingi!, kuna makanisa ambayo ni ya wakristo, kuna misikiti ambayo ni ya waislam, Ukienda makaburini kuna sehemu wanazozikiwa waislam pekee na sehemu wanazozikiwa wakristo pekee. Sasa kuna ubaya kuwa na huduma za kibanki zinazolenga toa huduma kwa misingi ya imani fulani?, kama biblia imekamilika kwa kila kitu na basi haitakuwa ajabu siku moja kukawa na huduma za kibank kwa misingi ya kikristo. Kitu muhimu ni kwamba huduma hizi si discriminative, kama wewe ni mkristo unataka huduma ya kiislam unapewa tu nobody ask your religion, kwani unapotaka huduma ni ridhaa yako kama ilivyo kuchagua imani unayoitaka. Kelele za nini?, au mnoahofia huduma hii kuwa popular na kuvutia interest za watu katika kuuelewa zaidi uislam?.

tofautisha bank za kawaida na bank za umma...naona wewe ni mpya kabisa na mada hii, au ni mgumu kuelewa...rejea makaratasi kwanza kabla haujaja kuchangia kweney hii mada.
 
tofautisha bank za kawaida na bank
Bank z kawaida zinakuwaje na bank za umma zinakuwaje?, unaelewa unachoongea au una general knowledge ya vijiweni tu.
tofautisha bank za kawaida na bank za umma....

Mbona unajichanganya?, kwani makaburi na misikiti huwa siyo vya umma?.

tofautisha bank za kawaida na bank za umma...naona wewe ni mpya kabisa na mada hii, au ni mgumu kuelewa...rejea makaratasi kwanza kabla haujaja kuchangia kweney hii mada.

Wewe huna authority au uwezo wa kuniambia mimi nini cha kuchangia au hata kuuliza uwezo wangu wa kuchangia, hunijui sikujui so stick to the topic rather than questioning someones know how. By the way naona wewe ndiyo mgeni kwenye hii mada ama kichwa chako ni chepesi kusahau mambo, Hebu nenda kwenye ile post ya mwanzo https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/60900-islamic-banking-%91invades%92-tanzania-12.html#post915201. Tatizo lako wewe una-prejudice na anything related to Islam, ndiyo maana unakuwa irrational.
 
Stop Islamic banking. It supports jihad, just like eating halal food is participating in Allah's prayer. TZ don't be naive and agreed to this fiendish Jibilic tactic.
 
Stop Islamic banking. It supports jihad, just like eating halal food is participating in Allah's prayer. TZ don't be naive and agreed to this fiendish Jibilic tactic.

Wachungaji ni MBWA



ISAYA 56:10-12



So according na biblia wewe ni MBWAAA
 
Wachungaji ni MBWA



ISAYA 56:10-12



So according na biblia wewe ni MBWAAA


Hadithi ya Anas (r.a) amesema, Mtume (s.a.w) amesema, "Hakuna Mtume aliyetumwa, isipokuwa amewahadharisha watu wake na mwenye Jicho moja mrongo. Eleweni kuwa yeye ana jicho moja na hakika Bwana wenu hana Jicho moja kati ya Macho yake pameandikwa neno 'KAFIRI." (Bukhari, Hadithi Na. 245, Juzuu ya 9).
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom