mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 80,857
- 106,097
Kwani hyo mama alishawahi kuwa mwanamke mwenye heshimaHuyu mzee abdul hajawahi kuwa mwanaume mwenye heshma, imani, mipango... kusema mara mimba walitoa, mara condom ilipasuka sio maadili, pia ni wazi alikua anapuyanga ila hukuhitaji mtoto ndio maana sasa anamdhalilisha kwamba ni mtoto aliyepatikana bila kupanga
Na amewaza kuongea yote sababu sio mwanae kweli na hana uchungu wala upendo kwake
Angekuwa anajiheshimu asingezungumza masuala hayo kwenye media
Hata mtoto wake huyo esma wote mule mule
Maisha waliyokulia uswz shida dhiki imewaaribu
Ova