IS your LOVE safe??? SHTUKA!!! Lol

IS your LOVE safe??? SHTUKA!!! Lol

Hey! The gal with em' lips.... Nimefurahije kukuona? lol
salamu nilipata BJ bado feed back tu Dearest....

B2T washtuka nini mrembo? lol Alafu uje uongeze ujuzi hapa bana!

Mie pia mumie, nafurahi daima kusoma emails zako...powa ntasubiria feedback, halafu nina swali kubwa la kukuongezea juu yake..

Nashtuka kwa vile mazoea kama hayo inabidi tuwe waangalifu..mimi sipendi kuzoeana na mashemeji zangu kupita maelezo au mtu wangu awe na mazoea ya kupitiliza na mtu..halafu ajifanye anamjua nje ndani!..

Ila najiamini..mie ni wake na yeye ni wangu, vurugu vurugu za wagombea wenza hazikosekani..sema wanakuwaga na mwisho!
 
Mimi nimezoeana sana na shemeji yangu (yaani mke wa binamu yangu), ila kuhusu tendo takatifu hatujawahi zungumzia kabisa na huwa halina nafasi katikati yetu. Wakati mwingine kama nipo bar na binamu yangu au sehemu yoyote ile na mkewe akasikia kwamba tupo wote, basi anakuwa hana wasiwasi akiamini kwamba yupo mahali salama. Na ikitokea kwamba wamekuja wote wawili, basi shemeji ataongea sana na mimi. Sisi tunaishi vizuri tu, tena hamna tatizo lolote. Na wakati mwingine kama binamu yangu anataka kwenda sehemu, anaweza akatumia kigezo kwamba ataenda na mimi ili asihojiwe sana. Sasa AshaDii Kama hilo ni tatizo labda unieleweshe vizuri.



mmmh! TZ guy hii sioni kama imekaa vyema aisee.... kwa kigezo cha hapo tu nimeweka rangi... Naomba na wewe upasome upya..... Alafu naomba nijibu.

KUA; mpenzi wako awe na tabia hio... kwamba akisikia rafiki yako aenda (hata kama alikua hataki kuenda) ananyanyuka mara moja kukubali safari... "wee unaona ni sawa tu?" yaani ina maana matakwa yako hayana nguvu lakini ya rafiki/binamu ndio yana nguvu kwa mpenzi wako?
 
Kwa staili hiyo inakubalika kwan kila mtu atakuwa na mtu wa kumkeep bize mwenzie lol,
Inabidi ufanye huo mapngo mapema kabla Tiqo hajabadili mawzo kwan naona km muoga flan hivi au kakata tamaa!


Umeona eeeh? lol... Unarafiki ambae atamfaa Tiqo.... take note inatakia alokata tamaa ya Mapenzi pia.... Yaani nae hataki kabisa! lol... Wakikutana wapongezane kwa kutoingia mkumbo then eventually wajikute kweny mkumbo!
 
Me ndio maana sipendi shobo za marafiki na ndugu,haya ndio matatizo yake,ni ukweli mtupu....shemeji ananogaaaaaa.....ah...hapana kwakweli,ntamtoa mtu roho....
 
nina shemeji yangu huwa hata nikitumwa na dada yangu ofisini kwake huwa ananitambulisha kama mke wake then sbb watu wanamjua dadangu hapo ofisini akiona wanasura yakujiuliza how come ndio anasema huyu ni mke wangu mdogo mdogo wa mke wangu,kuna siku alimwambia sista kuwa ikitokea sista akifa basi kama mm nitakubali angenioa mm,pia dadangu akikosea anamwambia ingekua ni mdogo wako "cheusie" asingeweza kumfanyia hivi mpenzi wake,mm huyu shemeji yangu sipendi mazoea naye sbb nashindwa kabisa kumzoea kwa jinsi ninavyomuheshimu lkn amin usiamin kuna kipindi dadangu nilimuona kama anatuchunguza fulani hivi lkn namshukuru mungu mungu amedumisha aman mm na dadangu hadi leo ni marafiki wakubwa siri yake siri yangu siri yangu siri yake.
ila naona kama ndugu wakuogopa zaidi ni wale ndugu msiozaliwa nao tumbo moja wale mabinamu hawa mi naona kama ni wa hatari zaidi kuliko ndugu mlioshare tumbo japo ndugu mama mmoja baba mmoja nao wanaweza kukutenda sana tu ukabaki kimya wazi.


Cheusie dear take note kua huo utani ambao shemejio alianza awali... Hio ni "mtongozo awali" Mwanaume anajaribu akikutania una respond vipi.. kama sio heshima yako kwa dadako na shemejio nawewe ungekua wafurahia huo utani na kurespond positively radher than neutral or negative amini usiamini shemeji yako angekutongoza na kama vipi ungekua usha lala nae.... Na ndio maana dadako alianza kuchunguza for sasa ni dhahiri kua utani ulizidi mpaka kum alert dadayo awe makini. Na baada ya dadayo kuona kua ulitunza hio heshima hapo ndo mambo yalienda mkondo na kuwafanya muwe karibu na marafiki zaidi. Believe me you wanaume hawajali wewe ni dada ama mdogo wa wife.... It does not matter kabisa to most of them....
 
Umeona eeeh? lol... Unarafiki ambae atamfaa Tiqo.... take note inatakia alokata tamaa ya Mapenzi pia.... Yaani nae hataki kabisa! lol... Wakikutana wapongezane kwa kutoingia mkumbo then eventually wajikute kweny mkumbo!
Dah!sisy bwana,asa hata sijui huyo Tiqo mwenyewe ni me/ke,
Na mie marafiki zangu ni wote ni ME!!!
Itakuwaje km na yy ni ME?
 
Mie pia mumie, nafurahi daima kusoma emails zako...powa ntasubiria feedback, halafu nina swali kubwa la kukuongezea juu yake..

Nashtuka kwa vile mazoea kama hayo inabidi tuwe waangalifu..mimi sipendi kuzoeana na mashemeji zangu kupita maelezo au mtu wangu awe na mazoea ya kupitiliza na mtu..halafu ajifanye anamjua nje ndani!..

Ila najiamini..mie ni wake na yeye ni wangu, vurugu vurugu za wagombea wenza hazikosekani..sema wanakuwaga na mwisho!



Mie daima naamini kua "it is easy to fall in Love BUT really complicated to maintain it".... Hio ni moja ya sababu hata kama najua mimi ndio mimi na najiamini kua ni wake... Sibweteki kua mambo yatajipeleka yenyewe, sometimes kunahitajika extra effort hasa kulind penzi lako - Mradi tu isivuke mpka....

Mfano;

wewe BJ ni mdada mrembo, mzuri na una lips za kumvutia kila mmoja hadi wanawake wenzake.... Naweza namimi niwe mzuri, mrembo na mvuto pia... Lakini bado haitafanya nijiamini kabisa kua nimuache Mwanaume wamgu awe sambamba kabisa na wew Belinda (sori nakupenda saana BJ, But you know I love him more eeeh? lol) for the simple reason kua attraction haina adabu... waweza jikuta maeneo shawishi na wakabanjua....lol...

Alafu Belinda mbona swali lako sijaliona dear.... Ama sijaelewa?
 
Ndo maana mie nishageneralise kuwa "wanawake hawathamini urafiki"
Najua siko sawa, lakini kuna vitu vingine unaona anafanyiwa mtu hadi unabaki mdomo wazi.

Niliwahi kuwa na roomate, alikuwa anamtaka partner wa rafiki yake kwa udi na uvumba
Anamtega makusudi, eti kisa yule rafiki yake anajidai
Walimuundia kundi la kumwangusha huyop dada
Bahati yake akahama ndio ikawa pona yake.
 
Hii kitu ipo sana....sema info zingine zipo classified....



Alafu Vin mtindo wako wa single lines hizi ... I will get mad sasa hivi....lol...

Naomba niambia una maana gani kua mengine yapo classified?
 
Kama kuna kitu sitokaa nifanye ni kutembea na mume wa mtu ,awe rafiki jirani yaani yeyote vitu used kwa kweli sipendi
 
ndo maana mie nishageneralise kuwa "wanawake hawathamini urafiki"
najua siko sawa, lakini kuna vitu vingine unaona anafanyiwa mtu hadi unabaki mdomo wazi.

Niliwahi kuwa na roomate, alikuwa anamtaka partner wa rafiki yake kwa udi na uvumba
anamtega makusudi, eti kisa yule rafiki yake anajidai
walimuundia kundi la kumwangusha huyop dada
bahati yake akahama ndio ikawa pona yake.
nadhani kuna ugonjwa wa kutamani cha mwenzako na sisi tunajitakia,unaelezea utamu wa mpenzi wako kwa wenzio ili nini bana?
 
Me ndio maana sipendi shobo za marafiki na ndugu,haya ndio matatizo yake,ni ukweli mtupu....shemeji ananogaaaaaa.....ah...hapana kwakweli,ntamtoa mtu roho....


Salito your post imenichekesha mpaka nimeona raha.....lolz... Haya bana..... Kuna mchango mwingine waweza ongeza?
 
Hey AJ....lol... I do not believe you really wanna apply this!! Hio technique ya kukaa kwa mbali... that I love for it is the easiest to do... the hardest to bare! Imagine unatambua there is sort of something... nini utafanya? Hebu basi using your human intelligence tell me what you as a man will do?

... I love the key word ... the hardest to bare ... !!

AWY ... Najua it can look like a joke ..but to me its a fact ..kwa sababu i can bare it and its very rewarding!!

Kama unauwezo wa kutambua all the movement you have mentioned ... Patiently, with all kindness and with passion ... Jiulize umewezaje kufanya yote hayo? That is a special ability ...

.. So the ability to observe and watch it patiently for some times without reacting to it ... will itself dissolve most of the wrong relationship being going on and it is the initial step on the solution ...

BUT the same question comes back ... will you bare ... watching this calmly with no reacting ... before taking any further steps ... maana if you miss this ..Hakika yanayofuata huko mbeleni hesabu ... umeshindwa..! Na Tatizo ni wewe na si yeye!! Lol!!
 
Inaweza kutokea lakini sio mara zote kwa bad intentions. Kwa mfano, unaweza kunitambulisha kwenu halafu nikawa close na dada yako simply because tuna-share some interests ambazo you don't share. Unawezakuta dada yako ni mshabiki mkubwa sana wa mpira, kwa hiyo on Saturdays tunaweza ku-bond in watching footie while you're out shopping for shoes for our next outing.

Hata ukiwahi kurudi utakuta mzuka wa mpira ndio kwanza umepanda na tuongelea lugha amabazo huzielewiki kwako kama offside, kujenga kibanda bila idhini ya halimashauri ya jiji, back to back defeat, screamer, two footed tackle, why always me, 4-4-2, holding midfielder, zone defending, man to man, fantasy football, scoring a ha-trick, nk.

Pia kuna wengine they're simply ladies' men. They're irresistible to most women lakini unakuta jamaa mwenyewe wala hana bad intentions. Some are simply naturally attractive to be around with. It is possible hata wewe mwenyewe umeshakutana na watu wa aina hii lakini for various reasons hukuwa close nao though you would have wished to. LOL.

But if you mind me becoming a friend of your sister, it may mean you're just insecure and selfish because you wants all my attention. LOL. Alternatively, may mean that you don't trust me. And since a relationship cannot work without trust, then inabidi uni-dump fasta or mimi nikishtuka nitaku-dump fasta x 2. LOL.

Finally, labda ufafanue kidogo neno SHTUKA kwenye sentensi yako ya mwisho. Mtu ashtuke kwa kufanya nini? Achukue hatua gani?

Pamoja Saana... - source AshaDii.
 
Ndo maana mie nishageneralise kuwa "wanawake hawathamini urafiki"
Najua siko sawa, lakini kuna vitu vingine unaona anafanyiwa mtu hadi unabaki mdomo wazi.

Niliwahi kuwa na roomate, alikuwa anamtaka partner wa rafiki yake kwa udi na uvumba
Anamtega makusudi, eti kisa yule rafiki yake anajidai
Walimuundia kundi la kumwangusha huyop dada
Bahati yake akahama ndio ikawa pona yake.



Kongosho hilo mimi nakuunga mkono kabisa! na ndio maana mara nyiingi saana wanawake maurafiki yetu tunagombana saana. Nafikiri wivu unatuendesha saana. Na ile mioyo yetu ya kudondoka haraka kimapenzi... Na nature ya most guys yakupenda changanya mabinti akigundua hilo tayari awachanya... Tena comfy kabisa.... Wakuta rafiki yako analala na mpenzi wako na wameweka siri.. Sijui sasa hio ina maana gani kwa kweli....
 
Kama kuna kitu sitokaa nifanye ni kutembea na mume wa mtu ,awe rafiki jirani yaani yeyote vitu used kwa kweli sipendi



Maneno kama haya kid sis hata ukiongea ni vigumu kukuamini.... Wanadamu tulowengi hatukusudii kwenda kutenda yale mambo ambayo yako nyuma ya maadili yetu.... ni sawa na binti ambae anasema siwezi toa mimba (lakini akipata atoa); Sisemi unaweza.... Ila nasema you never know....
 
nadhani kuna ugonjwa wa kutamani cha mwenzako na sisi tunajitakia,unaelezea utamu wa mpenzi wako kwa wenzio ili nini bana?



.....lol.... Kila siku wasimulia nafika kileleni mara tatu kila mchezo, hali yeye kila siku afungishwa safari na kufika nusu mlima tu! lol... Lazma akupindue ama akuibie kukidhi kiu chake....
 
Back
Top Bottom