Is time traveling possible?? (kusafiri muda inawezekana?)

Is time traveling possible?? (kusafiri muda inawezekana?)

Umenikumbusha mbali, enzi hizo form 1 nilifanya hii research (jamani wazazi, msisikie international school school fees mil 20 kwa mwaka mkaona mnapoteza hela). Binafsi I do believe. Kwanz I should tell you I am a Catholic and at the same time I am a scientist. Render to Caesar the things that are Caesar's; and to God the things that are God's. Haya ni ya Caesar:

I do believe in time traveling as a scientist but we don't have the technology to make it happen. Kipinidi na present, nakumbuka walikuja professors from Cambridge, walikuwa impressed sana na kazi yangu. Moja ya vitu nilivyoongelea ni aliens... Kwenye my study room kwenye apartment nina post imeandikwa I want to believe. Wengi nina imani mnajua hi post imetoka wapi. Nirudi kwenye mada yako. Wakati namaliza presentation nilitoa Mfano mmoja.

Ukipiga risasi, inaenda baadae inarudi chini(cause of gravity). Nikasema kama tungeongeza speed ya hii bullet risasi ingezunguka Dunia na kurudi pale pale ilipotoka, the loop will never end if the speed is constant. Fikiria free fall eg (satellites orbiting the Earth). Then nikasema tuchukulie bullet ndio gari moving in a straight line. Likiwa linatembea pole pole we can see it with our eyes, Je ulishwahi kwenda kuona mashindano ya magari uone gari linavyokipita? Cause of speed your eyes can't capture the images well, unakuta hata Kama pembeni kumeandikwa Yamaha, huoni Tena unaona blur cause of speed. Now if this car ingeongeza speed to March 3. Hutoliona gari, utasikia upepo tu. Now what if we increase it to Mach 15(example) the car will disappear from your eyes completely despite the fact linapita mbele yako ila hulioni.

Catch the idea? Tuivute hapa, figure, RAV4 limetumia dk 15 kuuzunguka Dunia nakurudi pale lilipotoka. Likamove kwa Mach 3, limetumia dk 2. Likamove kwa Mach 6, limetumia 0 seconds. Kwa macho unaona halijaenda sehemu kumbe limeenda na limerudi. Je likimove kwa Mach 10??? Litatumia -2 mins. This is where time travel kicks in. Simlpy time can't keep up with you mpaka umeistopisha kwa Mach 6, now unaenda kwa Mach 10. You've bent time and now we say you are in fourth dimension. Kuna professor mmoja wa Physics nilibahatika kumuona mall flani nchi ninayosoma. Nilikuwa nimepoteza coin, sio Bei kubwa Kama 2000 ya kibongo, sasa nalipia nikakuta sina coins na budget haikuruhusu. Ningetoa hela nyingine that means usafiri mpaka home ni bus na kwa mimi nina rangi nyeusi sio salama. Ikabidi nirudi kupunguza vitu, mzee akaniambia atanilipia. Then akaniuliza ever thought of having the ability to go back in time and get back your lost money? Yaliyofuata ni moja ya vitu ambavyo sitavisahau.

Alianza na kuniambia kuwa na yeye ni religious... Then he went on, have you ever thought of another dimension? Have you ever asked yourself what's real? Do you think time exists? If it does, is it a straight line without a loop? What happens if we reach the end of the loop? Aliongea sana na akanitoa coffee [emoji4] na baridi ya siku ile. He asked me why I took medicine Kama nipo interested na physics, then nikamwambia home hakuna job, nitakuwa poor tu na knowledge yangu. Alinipa business card yake akasema niende chuo chake anionyeshe what he has been researching. I couldn't make it, I have my reasons.

TL;DR time travel is possible with the help of speed. Run fast enough and everything around you stops, run faster and everything around you will start reversing.

P.s I wish Tanzania tungeanzisha research facilities. Ila tuna Mambo mengi, watoto hawana madawati.

-callmeGhost
Asante sana kwa maelezo mazur...

But you young boy unachanganya kitu kimoja time and action.... Nakubali na ww kwamba unaweza zunguka dunia in half a second.na ukaona gar halijamove yaan limefreeze i agree...but kumbuka hapo kuna action imefanyika in a very minute time within that half a second or within whatever time you mention.. Say imechukua milisecond kuzunguka dunia...still action imetokea very fast within that time in a sense that you cant separate with your eyes....so gari ilo limeenda hatua kwa kwa hutua kuzunguka dunia lakin ni haraka saana... Kwa maneno mengine time and action are inseparable.
 
Tatizo kubwa linalowakumba wanasayansi ni kutokuwa kujua ya kuwa kuna mambo kiuhalisia hayawezekani. Sasa kutokujua kwao huko kunapelekea kuanza kusema uongo kwa kutunga mambo ambayo kuyajengea hoja za kielimu wanashindwa.

Hili ni tatizo kubwa mno na litaendelea kuwa tatizo mpaka pindi watakapo amua kujua.

Narudi.....

We jamaa wa ajabu sana unashindwa kuielewa dhana nzima ya time travel lakini unaamini mtume wako alisafiri kutoka makka mpaka baitul muqaddas kwa usiku mmoja...!
 
Mkuu umeongea vitu viwili tofauti kwa ni time differences btn two oint and second ni time reverse @certain point mfano niko apa kimara ni saa mojs asubuhi nipe process mimi niliye apa kimara still nikiwa apa kimara niweze kureverse time iwe saa kumi na mbili asubuhi mimi nikiwa bado niko bado niko apa apa kimara bila kumove ni mechanism gani ninayoweza kutumia mzee kwa sababu ukisema uifanye brain yako iflash zile time zilizopita iyo haitakuwa time travel bali ni flashback so mkuu to me kureverse time ni impossible hsiwezekani kinachowezekana ni kuflashback mind through time and action, yaani kumfanya mtu akumbuke kitu ambacho kimepita mfupi uliyopita ambach alikuwa amekisahau ama kumfanya ayaone yale mazingira ya sehemu fulan aliyopita muda fulan uliopita lakini siyo kuyafanya msjira yarudi nyuma mzee hili liko nje ya uwezo wa mwanadamu kaka na halitakaa liwezekane couse ili iwezekane ni lazima kubadirisha panel nzima ya solar system, bt kuna mfano mmoja umetoa kuhusu gar na maspeed mengi hii iko ivi ni kweli kama gari itatumia mach 0 kuround the earth mwadamu kwa macho ya kawaida hawezi kuona kama lili move bt iyo siyo time travel bali ni speed reconciliation tu kivipi ilo gari litatumia mach 0 lakini haliwezi kurevese ya eneo lilipo mfano ni saa nne kamili asubuhi stil ilo gari likimaliza kuzunguks dunia bado likirudi lilipo anzia litakuta ni saa nne kamili asubuhi na wala haitokuwa saa tatu na dakika 59 asubuhi so time reverse haiwezekani bt speed reconciliation or speed magnification inawezekana mzee bt not time reversing or time travelling
sasa kama litatumia sec 0 kumaliza mzunguko kwa march 2 unategemea litatumia muda gani kumaliza mzunguko kwa march20 ? lazima itakua more negative 50hrs huoni hapo utakua limerudi ulipo almost siku tatu nyuma
 
We jamaa wa ajabu sana unashindwa kuielewa dhana nzima ya time travel lakini unaamini mtume wako alisafiri kutoka makka mpaka baitul muqaddas kwa usiku mmoja...!
Unajua alisadlfiri kwa njia gani na ililiwaje ?
 
Unajua alisadlfiri kwa njia gani na ililiwaje ?
Alisafiri na UFO...ila kwa kuwa alikuwa mshamba kwa kutokujua kipando kingine Zaidi ya farasi akasema ilimpanda mnyama anayeitwa Buraq na nyie mkaamini
 
Alisafiri na UFO...ila kwa kuwa alikuwa mshamba kwa kutokujua kipando kingine Zaidi ya farasi akasema ilimpanda mnyama anayeitwa Buraq na nyie mkaamini

Sasa twende taratibu.

UFO bila shaka ni kiumbe,kama si kiumbe unatakiwa ukanushe.

UFO yukoje na alitoka wapi ?

Tuendelee....
 
Alisafiri na UFO...ila kwa kuwa alikuwa mshamba kwa kutokujua kipando kingine Zaidi ya farasi akasema ilimpanda mnyama anayeitwa Buraq na nyie mkaamini

Kwanini useme alikuwa ni UFO na si Buraq ? Kipi kilichokujuza wewe kwamba huyo ni UFO ?

Tuendelee....
 
Kwanini useme alikuwa ni UFO na si Buraq ? Kipi kilichokujuza wewe kwamba huyo ni UFO ?

Tuendelee....

Sasa nashindwaje kujua wakati hakuna mnyama ardhini mwenye kasi hiyo.....!? Na Ufo sio Mtu mpaka umwite 'huyo' ni uknown frying Object_yeye kwa kipindi chake hakujua yawezekana alisafirishwa jet aina ya night hawk....!
 
Sasa nashindwaje kujua wakati hakuna mnyama ardhini mwenye kasi hiyo.....!? Na Ufo sio Mtu mpaka umwite 'huyo' ni uknown frying Object_yeye kwa kipindi chake hakujua yawezekana alisafirishwa jet aina ya night hawk....!

Sio "frying" ni "flying".

Sasa kwa akili yako unavyojua wewe kuna viumbe tu pekee wanao ishi ardhini sio ? Na unajua huyo Buraaq alitoka wapi ?

Halafu pili Buraaq alikuwa anajulikana mpaka umbo lake.

Buraaq ni kiumbe hai,vipi kuhusu UFO ?

Usilete dhana na wasi wasi katika Elimu.
 
Sio "frying" ni "flying".

Sasa kwa akili yako unavyojua wewe kuna viumbe tu pekee wanao ishi ardhini sio ? Na unajua huyo Buraaq alitoka wapi ?

Halafu pili Buraaq alikuwa anajulikana mpaka umbo lake.

Buraaq ni kiumbe hai,vipi kuhusu UFO ?

Usilete dhana na wasi wasi katika Elimu.
Usitake kukimbia Hoja_hilo la mnyama mwenye mabawa ni Kama ngano za wagiriki Sina mpango nalo

Ishu ni Time traveling inawezekana...? Sasa nashangaa kwa mtu Kama wewe na imani Kama hiyo iliyomo unashindwa vipi kuunga mkono wakati msingi wa sala zako unategemea msaada wa dhana hiyo
 
Usitake kukimbia Hoja_hilo la mnyama mwenye mabawa ni Kama ngano za wagiriki Sina mpango nalo

Ishu ni Time traveling inawezekana...? Sasa nashangaa kwa mtu Kama wewe na imani Kama hiyo iliyomo unashindwa vipi kuunga mkono wakati msingi wa sala zako unategemea msaada wa dhana hiyo

Hili la UFO hata upewe miaka na mikaka huwezi kuthibitisha uwepo wala asili yake,kadhalika huwezi kumlinganisha na Buraaq.

Huwa siungi mkono dhana,dhana ambazo zimejngeka katika ujinga.

Na si kosa mimi kupinga dhana za uongo. Bali ndio vizuri hasa.

Tuendelee...
 
sasa kama litatumia sec 0 kumaliza mzunguko kwa march 2 unategemea litatumia muda gani kumaliza mzunguko kwa march20 ? lazima itakua more negative 50hrs huoni hapo utakua limerudi ulipo almost siku tatu nyuma
Mkuu wewe unazungumzia flashback, time reconciliation and time differences between two points na siyo time travelling yaani kuusafirisha muda ama wewe kuusafiri muda kwa maana ya kwamba eiza uwe mbele ya muda ama nyuma ya muda time travelling haiwezekani yaani hakuna mechanism yoyote unayoweza kuiapply ukiwa kimara let say saa kumi jion alafu utravel time ukiwa pale pale kimara wewe peke yako iwe ni saa tano asubuhi hili haliwezekani ata kidogo lakini time flashback iyo inawezekana na ndo unachokiongelea wewe kiongozi
 
Hili la UFO hata upewe miaka na mikaka huwezi kuthibitisha uwepo wala asili yake,kadhalika huwezi kumlinganisha na Buraaq.

Huwa siungi mkono dhana,dhana ambazo zimejngeka katika ujinga.

Na si kosa mimi kupinga dhana za uongo. Bali ndio vizuri hasa.

Tuendelee...

Kwanza ulitakiwa unishukuru kwa kukusaidia kusawazisha matango pori yenu

Na pili kusema UFO hakuja point ni aina gani ya chombo maalum hata wewe leo ukirusha kidude chako angani Kama watu hawatoditect wataita ni UFO

Mimi naamini Hilo la Buraq na viumbe wengi unaowajua wewe kwenye masimulizi yenu ni Zaidi ya ujinga wa hali ya juu Mimi huwa nauita Upopoma

Na la kuongezea ni kwamba hoja hujajibu bado_ na nafahamu huna uwezo wa kuijibu na licha ya ukanushaji wako ninaoushangaa

Wewe ulipaswa kuwa mstari wa mbele kuunga mkono hoja na si kukanusha

Msingi wa imani yako umesimamia vitu vya ajabuajabu kuliko hoja ya mtoa mada ulitakiwa umwambie "ni kweli inawezekana kwakuwa mh wangu alienda israa na Miraj ndani ya usiku mmoja ila sijajua Kama ilikuwa ni OBE" kidogo ungeeleweka
 
Na pili kusema UFO hakuja point ni aina gani ya chombo maalum hata wewe leo ukirusha kidude chako angani Kama watu hawatoditect wataita ni UFO
Unaona unavyozidi kuonyesha ujinga wako,unachanganya kati ya kiumbe na kisichokuwa kiumbe.

Mimi nikirusha hicho unachosema ujue sio kiumbe tena,na ukija kuniuliza hata kama watu hawajakitambua nitawaeleza hiko ni nini ?

Sasa habari za UFO kwenu nyinyi ni kama imani pia kwani wapo wajinga wanao amini uwepo wa UFO,kisha wasijue wapi kimetokea na nani amekirusha. Huu ni ujinga wa kimatabaka.

Swali langu la msingi,UFO ni kifaa bila shaka,na kuuliza swali nani wa kwanza kuona UFO na kilitoka wapi ?

Nakukumbusha tena Buraaq hakuwa chombo maalumu bali alikuwa kiumbe kilicho umbwa na Mola.

Unaposema "....hata wewe leo ukirusha kidude chako angani kama watu hawato detect watakiita UFO". Swali la msingi hii "detect" hapa mnaipa maana gani ? Kutojua haiba ya kifaa chenyewe au kutojua jina la kifaa chenyewe au kutomjua mmiliki ?

Sifa ya chombo au kifaa kilugha lazima kitakuwa kimetengezwa,na hapa huwezi kumuondoa alie kitengeneza,bila shaka ni binadamu. Je ni kweli mnaamini UFO mmiliki wake ni Binadamu ?

Naomba ujibu maswali yangu kwa utlivu.

Tuendelee....
 
Unaona unavyozidi kuonyesha ujinga wako,unachanganya kati ya kiumbe na kisichokuwa kiumbe.

Mimi nikirusha hicho unachosema ujue sio kiumbe tena,na ukija kuniuliza hata kama watu hawajakitambua nitawaeleza hiko ni nini ?

Sasa habari za UFO kwenu nyinyi ni kama imani pia kwani wapo wajinga wanao amini uwepo wa UFO,kisha wasijue wapi kimetokea na nani amekirusha. Huu ni ujinga wa kimatabaka.

Swali langu la msingi,UFO ni kifaa bila shaka,na kuuliza swali nani wa kwanza kuona UFO na kilitoka wapi ?

Nakukumbusha tena Buraaq hakuwa chombo maalumu bali alikuwa kiumbe kilicho umbwa na Mola.

Unaposema "....hata wewe leo ukirusha kidude chako angani kama watu hawato detect watakiita UFO". Swali la msingi hii "detect" hapa mnaipa maana gani ? Kutojua haiba ya kifaa chenyewe au kutojua jina la kifaa chenyewe au kutomjua mmiliki ?

Sifa ya chombo au kifaa kilugha lazima kitakuwa kimetengezwa,na hapa huwezi kumuondoa alie kitengeneza,bila shaka ni binadamu. Je ni kweli mnaamini UFO mmiliki wake ni Binadamu ?

Naomba ujibu maswali yangu kwa utlivu.

Tuendelee....
Apa kinachohitajika ni ushahidi wa mechanism ambayo inakuwa applied ili kueffect hii kitu ambayo mnaita time travelling how could us prove the existence of this myth?

Niwe kimara saa moja asubuhi niapply mechanism fulani nikiwa apo apo kimara bila kumove even a single step nijikute mimi peke yangu niko saa kumi na mbili jion lakini kwa wenzangu apo apo kimara ibaki kuwa saa moja asubuhi uku mchizi mimi nikirudi saa kumi na mbili jioni ya jana yake through time travelling

Iyo mechanism ndo nahitaji kuijua na ndo unatakiwa ututajie
 
Apa kinachohitajika ni ushahidi wa mechanism ambayo inakuwa applied ili kueffect hii kitu ambayo mnaita time travelling how could us prove the existence of this myth?

Niwe kimara saa moja asubuhi niapply mechanism fulani nikiwa apo apo kimara bila kumove even a single step nijikute mimi peke yangu niko saa kumi na mbili jion lakini kwa wenzangu apo apo kimara ibaki kuwa saa moja asubuhi uku mchizi mimi nikirudi saa kumi na mbili jioni ya jana yake through time travelling

Iyo mechanism ndo nahitaji kuijua na ndo unatakiwa ututajie

Siungi mkono suala la Time Travelling. Utakuwa umekosea kuni nukuu.

Jaribu kuwauliza wahusika.

Nipo ....
 
Usitake kukimbia Hoja_hilo la mnyama mwenye mabawa ni Kama ngano za wagiriki Sina mpango nalo

Ishu ni Time traveling inawezekana...? Sasa nashangaa kwa mtu Kama wewe na imani Kama hiyo iliyomo unashindwa vipi kuunga mkono wakati msingi wa sala zako unategemea msaada wa dhana hiyo
Apa kinachohitajika ni ushahidi wa mechanism ambayo inakuwa applied ili kueffect hii kitu ambayo mnaita time travelling how could us prove the existence of this myth?

Niwe kimara saa moja asubuhi niapply mechanism fulani nikiwa apo apo kimara bila kumove even a single step nijikute mimi peke yangu niko saa kumi na mbili jion lakini kwa wenzangu apo apo kimara ibaki kuwa saa moja asubuhi uku mchizi mimi nikirudi saa kumi na mbili jioni ya jana yake through time travelling

Iyo mechanism ndo nahitaji kuijua na ndo unatakiwa ututajie
 
sasa kama litatumia sec 0 kumaliza mzunguko kwa march 2 unategemea litatumia muda gani kumaliza mzunguko kwa march20 ? lazima itakua more negative 50hrs huoni hapo utakua limerudi ulipo almost siku tatu nyuma
Apa kinachohitajika ni ushahidi wa mechanism ambayo inakuwa applied ili kueffect hii kitu ambayo mnaita time travelling how could us prove the existence of this myth?

Niwe kimara saa moja asubuhi niapply mechanism fulani nikiwa apo apo kimara bila kumove even a single step nijikute mimi peke yangu niko saa kumi na mbili jion lakini kwa wenzangu apo apo kimara ibaki kuwa saa moja asubuhi uku mchizi mimi nikirudi saa kumi na mbili jioni ya jana yake through time travelling

Iyo mechanism ndo nahitaji kuijua na ndo unatakiwa ututajie
 
We jamaa wa ajabu sana unashindwa kuielewa dhana nzima ya time travel lakini unaamini mtume wako alisafiri kutoka makka mpaka baitul muqaddas kwa usiku mmoja...!
Apa kinachohitajika ni ushahidi wa mechanism ambayo inakuwa applied ili kueffect hii kitu ambayo mnaita time travelling how could us prove the existence of this myth?

Niwe kimara saa moja asubuhi niapply mechanism fulani nikiwa apo apo kimara bila kumove even a single step nijikute mimi peke yangu niko saa kumi na mbili jion lakini kwa wenzangu apo apo kimara ibaki kuwa saa moja asubuhi uku mchizi mimi nikirudi saa kumi na mbili jioni ya jana yake through time travelling

Iyo mechanism ndo nahitaji kuijua na ndo unatakiwa ututajie
 
Back
Top Bottom