Utafiti na Vithibitishi vya Uwezo wa Kusafiri katika Muda (TIME TRAVEL)

Makamura

JF-Expert Member
May 19, 2022
356
550
Jambo hili wengi tumezoea kuliona katika Movie nyingi na hudhaniwa kuwa ni jambo la kufikirika, Lakini kwa miaka ya karibuni kumekuwa na maneno mengi sanaa juu ya uwezo wa kusafiri katika muda.

1. Ufunguzi wa Daraja la SOUTH FORK 1941
Kama tunajua kwa miaka hiyo bhana vitu vingi vilikuwa havijaendelea, lakini katika ufunguzi wa daraja hilo moja ya picha zilizopigwa wakati zilimuonesha jamaa mmoja ambaye alivaa tofauti na wotee yeye alipigilia T-shirt, sweta la zipu na Miwani Nyeusi ya Jua. Ambapo kwa miaka hiyo ya 40's hakukuwa na hivi vitu
hipster.jpg

18994908330_c4babb219e_z.jpg


2. PETE YA SAA YA KISASA KATIKA KABURI LA MIAKA 400
Katika kaburi la Mfalme wa Zamani wa chini aliyetawala miaka ya 1368 hadi 1644, Ilikutwa Pete yenye Saa ambapo teknolojia hiyo ilikuwa bado haijafika miaka hiyo ya Zamani. Inaaminika ni mtu alisafiri katika muda na kuishi huko na vitu vyake vya kisasa.

Swiss-Ring-Watch.jpg

3. MWANAMKE MIAKA YA 1940 AKIONGEA NA SIMU
Kwa miaka hiyo hakukuwa na teknolojia ya simu za Mkononi, lakini katika video moja ilimuonesha mwanamke mmoja akiongea na simu na akiwa na furaha sana kisha akakataa na kuendelea na matembezi.



4. MWANAUME MMOJA ALIJISAIDIA ASIFE
Mtu mmoja anayeaminika alisafiri katika muda na kujisaidia ili asife na tukio hili lilidakwa kwenye CCTV camera katika video ya hapa chini

 
Jambo hili wengi tumezoea kuliona katika Movie nyingi na hudhaniwa kuwa ni jambo la kufikirika, Lakini kwa miaka ya karibuni kumekuwa na maneno mengi sanaa juu ya uwezo wa kusafiri katika muda.

1. Ufunguzi wa Daraja la SOUTH FORK 1941
Kama tunajua kwa miaka hiyo bhana vitu vingi vilikuwa havijaendelea, lakini katika ufunguzi wa daraja hilo moja ya picha zilizopigwa wakati zilimuonesha jamaa mmoja ambaye alivaa tofauti na wotee yeye alipigilia T-shirt, sweta la zipu na Miwani Nyeusi ya Jua. Ambapo kwa miaka hiyo ya 40's hakukuwa na hivi vitu
View attachment 2798563
View attachment 2798567

2. PETE YA SAA YA KISASA KATIKA KABURI LA MIAKA 400
Katika kaburi la Mfalme wa Zamani wa chini aliyetawala miaka ya 1368 hadi 1644, Ilikutwa Pete yenye Saa ambapo teknolojia hiyo ilikuwa bado haijafika miaka hiyo ya Zamani. Inaaminika ni mtu alisafiri katika muda na kuishi huko na vitu vyake vya kisasa.


3. MWANAMKE MIAKA YA 1940 AKIONGEA NA SIMU
Kwa miaka hiyo hakukuwa na teknolojia ya simu za Mkononi, lakini katika video moja ilimuonesha mwanamke mmoja akiongea na simu na akiwa na furaha sana kisha akakataa na kuendelea na matembezi.



4. MWANAUME MMOJA ALIJISAIDIA ASIFE
Mtu mmoja anayeaminika alisafiri katika muda na kujisaidia ili asife na tukio hili lilidakwa kwenye CCTV camera katika video ya hapa chini

...Sasa Katika Yote haya, Umethibitisha Nini Kuhusu Time Travel ???
 
Kosa kubwa tunalolifanya Sasa hivi ni kuamini kuwa miaka ya zamani watu walikuwa wako nyuma sana, inawezekana kabisa Kuna vitu Leo hii vinaonekana vya kisasa lakini vilikuwepo zamani lakini havikupewa attention sana kwasababu ya conservativism ya jamii za zamani.
 
Back
Top Bottom