Sir John Deere
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 14,162
- 27,197
Rais masudi pezeshkian wa Iran Leo ametangaza kusitisha mashambulizi kwa nchi jirani za kiarabu kwa masharti kwamba wasiruhusu anga wala ardhi zao kutumika kushambulia Iran. Lakini msemaji wa jeshi la Iran nae akasisitiza kuwa mashambulizi dhidi ya Israel na marekani yataendelea kama kawaida.
Binafsi naona kama Iran ameamua kuwa muungwana kwa sababu jirani yako ni jirani yako tu najua majirani kwa sasa wamejifunza kitu.
Binafsi naona kama Iran ameamua kuwa muungwana kwa sababu jirani yako ni jirani yako tu najua majirani kwa sasa wamejifunza kitu.