Iran Ataishambulia Israel leo

Iran Ataishambulia Israel leo

Iran hawezi ku sustain kurusha makombora ndani ya Israel.

Wanachofanya ni kujitutumua tu.

Usishangae ukisikia habari kuwa Ayatollah kaliwa kichwa maana IDF wanajua hata akiwa anajisaidia haja kubwa.
Hayo ni mawazo yako mkuu.
Wewe subiri muda utoe majibu sahihi tusiongee assumptions.
 
Tayari Tel Aviv kuna milipuko….
IMG_20250613_212546.jpg

Wamejikaza kidogo,maana wamezidi kelele kuliko vitendo
 
Back
Top Bottom