Keyboard_Warrior
JF-Expert Member
- Oct 10, 2015
- 6,107
- 10,473
Oyaaaaaah weeeeh, vyuma vinayoyomaaa hivyo!!!
Mazayuni ingieni kwenye mahandaki kama panya!!!
Mazayuni ingieni kwenye mahandaki kama panya!!!
Tayari Mkuu, tazama Al Jazeera live.Kaka rekebisha kichwa Cha habari.
Ni Iran ataishambulia Israel leo.
Aaah acha basi!Tayari Mkuu, tazama Al Jazeera live.
Salamaleko sheikhEndelea kutoa updates till the end.
Dah pole sana ustaadh naona kisukari pressure, gesi tumboni, joto mwilini vipo juu sana, hebu ongea na mods basi wakubadilishie kichwa maana umechapia kwelikweli ati unasemaVitu vipo njiani kuelekea Israel labda katika saa moja tutanza kuona vikishuka hapo Tela Aviv
Tayari, Tel Aviv inafuka moshi 😂Aaah acha basi!
Ni yametua kabisa na kulipuka madam?
Maana mie nipo njiani sipo home.
Lakini wamechelewa sana na madhara hayatakuwa makubwa!Oyaaaaaah weeeeh, vyuma vinayoyomaaa hivyo!!!
Mazayuni ingieni kwenye mahandaki kama panya!!!
Ayatolah ni sawa chemical Ali wa Iraq. Empty wordsTaratibu mzee mwenzangu, usiwe na papara. Mzee Ayatollah ameshasema Mazatuni yatabondwa mpaka yachanganyikiwe.
Embu piga kapicha ukatupie tuone.Tayari, Tel Aviv inafuka moshi 😂
Ayatollah karusha vikombora vyake vya kufutia machozi 🤣.Ayatolah ni sawa chemical Ali wa Iraq. Empty words
😂😂😂😂Kapagawaa mkuu msame buree walisema israel hawezi rusha ata jiwe ndan ya iran wanashangaa israeli karusha furush la vyuma mlangon ka ayatolhaIran ataishambulia Iran?
Itakuwa ni kiwewe cha mabomu ya Netanyahu…
SourceTayari vitu vimeshafika Tel Aviv
Tusubiri madhara tuone.Ayatollah karusha vikombora vyake vya kufutia machozi 🤣.