magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 7,847
- 14,530
Huoni kaletewa Naibu? Angemchomoa si ingebidi baraza zima la Mawaziri livunjwe?Majaliwa hakuwa katika uo upande na ndiyo maana hakumchomoa pale.
Huoni kaletewa Naibu? Angemchomoa si ingebidi baraza zima la Mawaziri livunjwe?Majaliwa hakuwa katika uo upande na ndiyo maana hakumchomoa pale.
Tungekuw tunaongozwa na lile dubwana sasa hivi ningekuwa napembea najisemea mwenyewe kama chizi. Shukrani Samia sasa hivi maisha yangu mazuri nimepata ajira serikalini na mke wangu alienikimbia kwa ukata karudi.Kwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavhoendelea, nashawishika kusema walitaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.
Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo India, chuki wala choyo watu hawa wanastahili tuzo.
Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
Kwa mara ya kwanza nakuunga mkono!Kwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavhoendelea, nashawishika kusema walitaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.
Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo India, chuki wala choyo watu hawa wanastahili tuzo.
Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
Mabeyo anastahili lawama na laanaHao jamaa ni manabii. Mabeyo atakuwa anasikitika sana.
Achana na maelezo na mbwembwe nyingi!! Mambo yameharibika mnoHujitambui wewe, kuna kitu kinaitwa precedence ndio ingekua order of the day. So kama Samia angepinduliwa ingekua ndio mchezo kila Rais anayefuata angeondolewa kwa mapinduzi.
Same to fomu moja CCM, tulipiga kelele sana 2020 na 2010 humu JF kwamba ni precedence mbaya. Cha ajabu wana CCM wakamtetea JPM kuwa anakubalika sana so hakuna haja ya kugawa fomu nyingine. Leo Mama Samia naye anapewa fomu peke yake ya kugombea watu wamekua wakali ila kiini ni precedence.
Kwahiyo tamaa ya siku moja isikupande kichwani hadi ikabadili mfumo wa uongozi milele. Hao waliotaka kupindisha ilifaa wanyongwe kabisa!!
Kingine hao waliotaka kupindisha katiba sio kwamba walijua mama hawezi Urais ila wao nao walitaka kuweka Rais watakaomcontrol ili waibe zaidi. Sitaki kuamini kwa jinsi mafisadi yalivyojaa CCM kwamba yalitaka Rais "mkali", maana wangeiba wapi sasa? So wote tu walikuwa wanataka kuiba kuliko wenzao.
Kwa hiyo Mabeyo ni msaliti?Kwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavhoendelea, nashawishika kusema walitaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.
Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo India, chuki wala choyo watu hawa wanastahili tuzo.
Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
Bora umewaelewesha mkuu. Kuna watu Wana maono ya muda mfupi wakipata changamoto midogo wanafikiria njia rahisi ya kutatua ambayo mara nyingi ina athari kubwa kuliko faida.Hujitambui wewe, kuna kitu kinaitwa precedence ndio ingekua order of the day. So kama Samia angepinduliwa ingekua ndio mchezo kila Rais anayefuata angeondolewa kwa mapinduzi.
Same to fomu moja CCM, tulipiga kelele sana 2020 na 2010 humu JF kwamba ni precedence mbaya. Cha ajabu wana CCM wakamtetea JPM kuwa anakubalika sana so hakuna haja ya kugawa fomu nyingine. Leo Mama Samia naye anapewa fomu peke yake ya kugombea watu wamekua wakali ila kiini ni precedence.
Kwahiyo tamaa ya siku moja isikupande kichwani hadi ikabadili mfumo wa uongozi milele. Hao waliotaka kupindisha ilifaa wanyongwe kabisa!!
Kingine hao waliotaka kupindisha katiba sio kwamba walijua mama hawezi Urais ila wao nao walitaka kuweka Rais watakaomcontrol ili waibe zaidi. Sitaki kuamini kwa jinsi mafisadi yalivyojaa CCM kwamba yalitaka Rais "mkali", maana wangeiba wapi sasa? So wote tu walikuwa wanataka kuiba kuliko wenzao.
Mi gari nimepaki,nakula Mwendokasi pamoja na maudhi yake ya kufurika kwa abiria!!Imeniuma Tsh 30000 kupata lts 8. Za petrol.
Hatuwezi kuwasifu hata siku moja watu waliotaka kwenda kinyume na Katiba yetu hata kama mambo ni mabaya kiasi gani.
.Ilipotoka ile kauli ni "kijitabu" damn. walisha pewa bado kuwakabidhi tu
100% ✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️Kwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavhoendelea, nashawishika kusema walitaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.
Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo India, chuki wala choyo watu hawa wanastahili tuzo.
Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
Achaa ubabaishaji wwe, Urais ni taasisi hata angekaa nani pale,bado mambo yatakwenda vile yalivyo!!Kwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavhoendelea, nashawishika kusema walitaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.
Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo India, chuki wala choyo watu hawa wanastahili tuzo.
Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
Kelele za chura hizo.Kwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavhoendelea, nashawishika kusema walitaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.
Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo India, chuki wala choyo watu hawa wanastahili tuzo.
Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
Mwendazake aliacha 2,500 kwa lita na bado tulishindwa kununua.Imeniuma Tsh 30000 kupata lts 8. Za petrol.
Kote huko fuel consumption ipo juu kuliko wakati wowoteHiyo ni Dar sijui Kigoma na Bukoba itakuwaje
Alipaswa kupewa mtu yeyote aliyekuwa mtiifu kwa jiwe. angepewa kakulwa nchi ingeenda vizuri sana.Manabii kivipi unajua wangemweka nani? Angewekwa Mwigulu kuna unafuu wowote? Acheni kushabikia ujinga
Wanasema amefungua milango kumbe Msoga ndiyo ina master keyMwendazake aliacha 2,500 kwa lita na bado tulishindwa kununua.
Leo hii bei ya mafuta juu lakini magari mapya yanaongezeka, petrol station kila kona, foleni ya magari mitaani ndo usipime.
Unajifunza nn hapo.
Angekua dikteta hakuna mtu wa hovyo kama bashiruAlipaswa kupewa mtu yeyote aliyekuwa mtiifu kwa jiwe. angepewa kakulwa nchi ingeenda vizuri sana.
Angekua dikteta hakuna mtu wa hovyo kama bashiru
Nimejifunza kua usiseme hatuna pesa,sema sina pesa!!Mwendazake aliacha 2,500 kwa lita na bado tulishindwa kununua.
Leo hii bei ya mafuta juu lakini magari mapya yanaongezeka, petrol station kila kona, foleni ya magari mitaani ndo usipime.
Unajifunza nn hapo.
Kwamba huyo ambaye angekua replacement ya Samia mfano Mwigulu au Nape ndio ingekua better? CCM haijawahi chagua Rais based on uzalendo au uchapakazi ila inaangalia urahisi wa kuiba. Ni ajabu watu kuwaza eti Samia asingekua Rais basi angepewa "kichaa" kama Kabudi au Bashiru!!Achana na maelezo na mbwembwe nyingi!! Mambo yameharibika mno