Ipo siku waliotaka "kukiuka katiba" baada ya kile kifo watapewa tuzo

Kwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavhoendelea, nashawishika kusema walitaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.

Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo India, chuki wala choyo watu hawa wanastahili tuzo.

Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
Tungekuw tunaongozwa na lile dubwana sasa hivi ningekuwa napembea najisemea mwenyewe kama chizi. Shukrani Samia sasa hivi maisha yangu mazuri nimepata ajira serikalini na mke wangu alienikimbia kwa ukata karudi.
Yule jamaa yeye alukuw nawaza barabara tu
 
Kwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavhoendelea, nashawishika kusema walitaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.

Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo India, chuki wala choyo watu hawa wanastahili tuzo.

Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
Kwa mara ya kwanza nakuunga mkono!
 
Hujitambui wewe, kuna kitu kinaitwa precedence ndio ingekua order of the day. So kama Samia angepinduliwa ingekua ndio mchezo kila Rais anayefuata angeondolewa kwa mapinduzi.

Same to fomu moja CCM, tulipiga kelele sana 2020 na 2010 humu JF kwamba ni precedence mbaya. Cha ajabu wana CCM wakamtetea JPM kuwa anakubalika sana so hakuna haja ya kugawa fomu nyingine. Leo Mama Samia naye anapewa fomu peke yake ya kugombea watu wamekua wakali ila kiini ni precedence.

Kwahiyo tamaa ya siku moja isikupande kichwani hadi ikabadili mfumo wa uongozi milele. Hao waliotaka kupindisha ilifaa wanyongwe kabisa!!

Kingine hao waliotaka kupindisha katiba sio kwamba walijua mama hawezi Urais ila wao nao walitaka kuweka Rais watakaomcontrol ili waibe zaidi. Sitaki kuamini kwa jinsi mafisadi yalivyojaa CCM kwamba yalitaka Rais "mkali", maana wangeiba wapi sasa? So wote tu walikuwa wanataka kuiba kuliko wenzao.
Achana na maelezo na mbwembwe nyingi!! Mambo yameharibika mno
 
Kwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavhoendelea, nashawishika kusema walitaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.

Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo India, chuki wala choyo watu hawa wanastahili tuzo.

Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
Kwa hiyo Mabeyo ni msaliti?
 
Hujitambui wewe, kuna kitu kinaitwa precedence ndio ingekua order of the day. So kama Samia angepinduliwa ingekua ndio mchezo kila Rais anayefuata angeondolewa kwa mapinduzi.

Same to fomu moja CCM, tulipiga kelele sana 2020 na 2010 humu JF kwamba ni precedence mbaya. Cha ajabu wana CCM wakamtetea JPM kuwa anakubalika sana so hakuna haja ya kugawa fomu nyingine. Leo Mama Samia naye anapewa fomu peke yake ya kugombea watu wamekua wakali ila kiini ni precedence.

Kwahiyo tamaa ya siku moja isikupande kichwani hadi ikabadili mfumo wa uongozi milele. Hao waliotaka kupindisha ilifaa wanyongwe kabisa!!

Kingine hao waliotaka kupindisha katiba sio kwamba walijua mama hawezi Urais ila wao nao walitaka kuweka Rais watakaomcontrol ili waibe zaidi. Sitaki kuamini kwa jinsi mafisadi yalivyojaa CCM kwamba yalitaka Rais "mkali", maana wangeiba wapi sasa? So wote tu walikuwa wanataka kuiba kuliko wenzao.
Bora umewaelewesha mkuu. Kuna watu Wana maono ya muda mfupi wakipata changamoto midogo wanafikiria njia rahisi ya kutatua ambayo mara nyingi ina athari kubwa kuliko faida.
 
Kwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavhoendelea, nashawishika kusema walitaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.

Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo India, chuki wala choyo watu hawa wanastahili tuzo.

Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
100% ✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️✔️
 
Kwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavhoendelea, nashawishika kusema walitaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.

Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo India, chuki wala choyo watu hawa wanastahili tuzo.

Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
Achaa ubabaishaji wwe, Urais ni taasisi hata angekaa nani pale,bado mambo yatakwenda vile yalivyo!!
 
Kwa namna mambo yalivyo na namna mambo yanavhoendelea, nashawishika kusema walitaka kukiuka katiba baada ya kile kifo walikuwa sahihi sana.

Watu hawa wana macho makali yanayoona mbali kama ndege aina ya tai. Kiukweli pasipo India, chuki wala choyo watu hawa wanastahili tuzo.

Mambo hivi sasa hayaendi kabisa. Nchi ni kama imesimama.
Kelele za chura hizo.
We baki kulalama huku watu tunafurahia maisha pengine kuliko kipindi chochote tokea nchi hii ipate uhuru. Labda kipindi cha Mwinyi tu
 
Imeniuma Tsh 30000 kupata lts 8. Za petrol.
Mwendazake aliacha 2,500 kwa lita na bado tulishindwa kununua.
Leo hii bei ya mafuta juu lakini magari mapya yanaongezeka, petrol station kila kona, foleni ya magari mitaani ndo usipime.
Unajifunza nn hapo.
 
Achana na maelezo na mbwembwe nyingi!! Mambo yameharibika mno
Kwamba huyo ambaye angekua replacement ya Samia mfano Mwigulu au Nape ndio ingekua better? CCM haijawahi chagua Rais based on uzalendo au uchapakazi ila inaangalia urahisi wa kuiba. Ni ajabu watu kuwaza eti Samia asingekua Rais basi angepewa "kichaa" kama Kabudi au Bashiru!!
 
Back
Top Bottom