Ipi ni zawadi nzuri kwa Graduate?

Ipi ni zawadi nzuri kwa Graduate?

Dr Matola PhD

Platinum Member
Joined
Oct 18, 2010
Posts
61,430
Reaction score
108,589
Wana MMU huku nina hakika ndio kuna watu wa kisasa zaidi.

Nilitaka kujuwa ni zawadi gani not expensive not cheap ya kumzawadia binti ambaye amepiga nondo yake na kuwa awarded degree? Hapa I mean siku ya graduation party.

Maana unaweza ukawa na minoti na usijuwe hawa vijana siku hizi wanapenda nini zaidi.

Angalizo: Huyu siyo mpenzi wangu.

Cc; Mtambuzi Asprin Smile Kongosho Preta AshaDii
 
Last edited by a moderator:
sio mbaya ukamuwekea na midollar kwenye hizo box za zawadi
 
Mpatie ajira(office) ama mpe mtaji ajiajiri mwenyewe hayo mengine mbwembwe tu..
 
Wewe ndo unamjua zaidi huyo bint nadhani unafaham ni vitu gani ukimpatia kama zawadi atafurahia zaidi, kwa mfano siku ya 'Graduru' yangu kuna mtu aliniletea vitabu vya hadithi (Novo) vya Hardley Chase japo kwa wakati huo nakumbuka vilikuwa vinatajwa sana kwamba ni vizuri lakini kwasababu mimi ninatatizo kubwa sana kutokupenda kusoma 'Novo' sikuifurahia sana ile Zawadi, ila kuna jamaa alinikandamiza na lichupa la Wine mpaka leo hii ninamkumbuka.
 
Ulishaweka angalizo,nilitaka kukwambia upeleke pete! Zawadi zinadependi na chuo alichosoma na coz pia!
UD na viunga vyake peleka ufunguo wa virtz!
ARDHI kama amesoma usanifu majengo mpelekee miwani ya kusomea!
UDOM peleka tu ua hawanaga makuu!
Tumaini,Makumira,TEKU,SAUT,MUM na matawi yao biblia/Quran ama rozari!
Muhimbili,Bugando,KCMC,IMTU,Kairuki unaweza kumzawadia 'miwani ya kidaktari' hata kama kasoma ufamasia!
 
mabinti wanapenda midoli.
 
Mnunulie vitz
Really! ! Hata Mengi alishawahi kutoa zawadi hii kwa graduation?
Mpe ajira tu

Mpatie ajira(office) ama mpe mtaji ajiajiri mwenyewe hayo mengine mbwembwe tu..
JF inapoteza mwelekeo, sikuwa najuwa kwamba ajira siku hizi ni gift.

Mnashindwa kuwa na logic ndogo tu kwamba si kila graduate ana shida ya kazi wengine wametokea maofisini kwao kuja kuongeza vyeti wapande mishahara.

Please I need maturity kwenye thread hii.
 
Yuko je? Kama ana hips na reception inaita mzawadie namba ya kaka angu anawapenda sana
 
Kutoa mimba halafu ulala huku umekumbatia mdoli ujinga huu.

Babu vipi ww??ujui hata zawadi maanake ni nin.. nyie ndo mmekuja mjina kwa mafuriko ok bas fanya hvi mpelekee bikini coz nahisi ndo jibu unalolisubilia..
 
Ulishaweka angalizo,nilitaka kukwambia upeleke pete! Zawadi zinadependi na chuo alichosoma na coz pia!
UD na viunga vyake peleka ufunguo wa virtz!
ARDHI kama amesoma usanifu majengo mpelekee miwani ya kusomea!
UDOM peleka tu ua hawanaga makuu!
Tumaini,Makumira,TEKU,SAUT,MUM na matawi yao biblia/Quran ama rozari!
Muhimbili,Bugando,KCMC,IMTU,Kairuki unaweza kumzawadia 'miwani ya kidaktari' hata kama kasoma ufamasia!

kama SUA Mzawadie Jembe !!!!!
 
Unaweza kumnunulia saa nzuri tu ya kike, au mkufu mzuri wa silver au gold, ukishindwa sana nunua kadi, ndani ya kadi weka pesa ambayo anagalau ataenda kutafuta kitu chochote yeye mwenyewe
 
Kama unaweza mzawadie smart phone au ipad au tablet itamsaidia zaidi
 
Pamoja na zawadi nilizoandika hapo juu, kama binti ni mkristo, mnunulie na Biblia ndogo nzuri sana toleo jipya zimekaa kama pochi hivi, nadhani hiyo Biblia ndo zawadi kubwa kuliko zote itamhamaisha kumkumbuka Mungu kila wakati
 
Yuko je? Kama ana hips na reception inaita mzawadie namba ya kaka angu anawapenda sana
You can do better than this.

Babu vipi ww??ujui hata zawadi maanake ni nin.. nyie ndo mmekuja mjina kwa mafuriko ok bas fanya hvi mpelekee bikini coz nahisi ndo jibu unalolisubilia..

Nimezaliwa Ocean road lakini sielewi logic yako hasa ni nini hapa!

Nenda kwa hao unaowaona wewe washamba uko mikoani uone wanavyopiga pesa ndefu.

Wewe kaa na ujanja wako feki wa Dar kusifia utajili wa Bakhresa na Mengi na kuwaabudu wauza unga Pimbi wewe.
 
Back
Top Bottom