Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,173
Sometime ikitokea hivyo unazima simu alafu unawasha utaiona hotspot...mara nyingi hutokea ukiweka line tuNina iPhone 5s nikiweka line ya halotel inaficha options za personal hotspot lakini nikiweka line za kampuni nyingine options zinarudi...tatizo lawezakuwa ni nini..msaada tafadhali