iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

Ndugu wanajukwaa, nimefuta mafaili niliyokuwa nimehifadhi ndani ya simu ya Samsung J1 ACE kwa bahati mbaya, inaniuma sana! Naomba mtu mwenye maujanja ya ku-RECOVER files hizi anisidie tafadhali.

Huu upuuz peleka Kariakoo aggrey hapa Apple Tu soma kichwa cha thread shenz
 
Ninayo IPad ya apple nilinunua Ireland 2013. Wakati wa setting kuna yale maswali unachagua na kutoa majibu. Last year nikaanza kupata meseji za ku-update kumbukumbu for security reasons. In bahati mbaya majibu ya maswali niliyojibu siyakumbuki so I could not update na hatimaye apple wame-block iPad hivyo siwezi kuitmia - wanadhani mm siyo mwenyewe. Naomba ushauri bcoz hii iPad ina kumbukumbu zangu nyingi sana muhimu.
 
Nina Ipod yenye IOS Version 5.1.1 nikiinstall app kama Twitter,JF na nyinginezo naambiwa ni-update IOS version.Je naweza ku-update IOS latest version au kuna njia nyingine kuinstall hizo apps ?
 
Nina Ipod yenye IOS Version 5.1.1 nikiinstall app kama Twitter,JF na nyinginezo naambiwa ni-update IOS version.Je naweza ku-update IOS latest version au kuna njia nyingine kuinstall hizo apps ?

Kama wamekuambia update au haina huo uwezo?
 
Nina Ipod yenye IOS Version 5.1.1 nikiinstall app kama Twitter,JF na nyinginezo naambiwa ni-update IOS version.Je naweza ku-update IOS latest version au kuna njia nyingine kuinstall hizo apps ?


Na mimi iphone 4 inaniambia hivyo hivyo sijui nini shida
 
wakuu natafuta screen ya iPhone 5 black mwenye nayo au kama una iPhone 5 yenye i cloud tuwasiliane
 
Je bongo inatumika maana nmejaribu ku connect lkn cjafanikiwa msaada plz
Inatumika mkuu though kwa facetime nimejaribu mara kadhaa nimeshindwa.. ila kwa imessage kama mtu ana iphone ukituma tu unaona sms inakuwa rangi ya blue ujue hapo imeenda kama imessage na unaweza uka-attach hata picha kwa kuwa option ya attachment inakuwepo automatically kwenye sehemu ya kutuma sms ya kawaida
 
duuu bora nikanunue samasung tu iPhone maprobleeeem kibao na wengi mnaolalamika ni shida yakununua 2nd hand
mwenye shida na hela anauza Samsung s4/s5 kuna offer ya 26K+ coca baridii bure
 
Back
Top Bottom