stellahthatcher
Senior Member
- Oct 14, 2015
- 168
- 164
Battery imeshakufa hiyo uberitoNina 5s ina hili tatizo pia.
Battery imeshakufa hiyo uberitoNina 5s ina hili tatizo pia.
iPhone zipo poa tu hata kama second hand...tatizo ni la wengine wananunua vitu sio iphone tu hata simu nyingine tu ambapo uelewa wa matumizi ya vifaa hivi ni mdogo na hapo ndio inakuwa shida yaani nazungumzia wale ambao ukinunua simu linapokuja suala la ku-updates au kufanya toruble shooting ndogondogo mpaka uombe msaada, kwa iphone hata kama ni samsung bado itakuzingua tuduuu bora nikanunue samasung tu iPhone maprobleeeem kibao na wengi mnaolalamika ni shida yakununua 2nd hand
mwenye shida na hela anauza Samsung s4/s5 kuna offer ya 26K+ coca baridii bure
Hakuna ku-jam ovyoKwakweli iPhone raha sana.
Mtafute Dada moja anaitwa jestkilla ni mtaalamASante mii sio mjuzi sana nitawapelekea wenye kujua
Nataka kufahamu kama ina uwezo wa ku-update au kuna altenative ku-install hizo appKama wamekuambia update au haina huo uwezo?
Nina iPhone 5s nikiweka line ya halotel inaficha options za personal hotspot lakini nikiweka line za kampuni nyingine options zinarudi...tatizo lawezakuwa ni nini..msaada tafadhali
wakuu natafuta screen ya iPhone 5 black mwenye nayo au kama una iPhone 5 yenye i cloud tuwasiliane
duuu bora nikanunue samasung tu iPhone maprobleeeem kibao na wengi mnaolalamika ni shida yakununua 2nd hand
mwenye shida na hela anauza Samsung s4/s5 kuna offer ya 26K+ coca baridii bure
Na mimi iphone 4 inaniambia hivyo hivyo sijui nini shida
Hyo kawaida halotel wameficha options za kutoa hotspot so kuna kiji update kitakuja kama pop up itakubali
Ninayo IPad ya apple nilinunua Ireland 2013. Wakati wa setting kuna yale maswali unachagua na kutoa majibu. Last year nikaanza kupata meseji za ku-update kumbukumbu for security reasons. In bahati mbaya majibu ya maswali niliyojibu siyakumbuki so I could not update na hatimaye apple wame-block iPad hivyo siwezi kuitmia - wanadhani mm siyo mwenyewe. Naomba ushauri bcoz hii iPad ina kumbukumbu zangu nyingi sana muhimu.
Asante mkuu... hicho kiji pop up kinatokea wakati gani..ni wao halotel wana ki fire au ikoje hii mkuu
Kinatokea ukitia line na ukaenda kwnye cellular pale Pia acha kutumia mitandao ya maskini mbwa wanabana hvo ili wewe usiweze kuwagawia watu internet incase wifi au tethering n mtandao wa kimaskin kama Tigo walikua na upuuz huo wakaona hauna maana pia kuna sim za nje kama android baadhi ya nchi wanalock kbsa usitumie hotspot.
Hahaha mkuu nimekupata vizuri.... nahama soon!
Nina iPhone 5s nikiweka line ya halotel inaficha options za personal hotspot lakini nikiweka line za kampuni nyingine options zinarudi...tatizo lawezakuwa ni nini..msaada tafadhali