strong ruler
JF-Expert Member
- Nov 2, 2013
- 4,919
- 3,312
Bado hipo mkuu
Uko mkoa gani, na version yake ni ipi?
Bado hipo mkuu
Uko mkoa gani, na version yake ni ipi?
Iringa ni 4s ,version kwa upande wa OS unazungumzia?
Na iPhone 6 inatatizo inasheki wakati unaitumia kunakipindi uwezi kusoma au ata kuandika msg,lakini kunawakati inatulia.tatizo inaweza kuwa nini?
Ndio
Safisha hiyo sehemu ya kusilkiliziaDah wakuu nimehamia iOS na mim kutoka Android,japo bado mgeni ila nmeanza kuzoea tatizo moja tu ambalo nmeahindwa kuvumulia naomben msaada maana nataman kuipiga chin hii simu..tatizo lenyewe ni ukiongea na mtu wakati wa calling yaani sauti yake inasikika kwa mbali sana nmefuatlia mitandaoni nmeona pia watu wanalalamika kuhusu hilo na pia nmejaribu kuchek na watu wazoefu wanaotumia iPhones naambiwa ndo zilivyo je hakuna jinsi ya kuongeza calling volume?maana nikiwa njian nikapigiwa simu inakuwa kero.Natumia iphone 6
Ngoja nijaribu, mie nikiweka Hallotel ndo inapoteaNenda setting za cellural data then pale kwa chini utakuta hotspots then nenda kaedit kwenye APN kwa kuandika jina la mtandao unaotumia
Ngoja nijaribu, mie nikiweka Hallotel ndo inapotea
Ahsante mkuu ngoja nijaribuNenda kwenye APN sehemu ya personal hotspot andika Halotel
Hiyo cable yake si inapiga kotekote kama ya iphone 5, sometime unachomoa na kuchomeka tena inakuwa poaDuh..yangu ghafla imegoma kuchaji,nmejaribu had USB cable nyingine still hola,msaada wenu waku iphone 6 hapa.
Naona ipo poa, leo nimeweka tu kitu kimesoma bila hata kwenda kwenye setting, nadhan hallotel wamebadirika maana mtandao wao kwenye simu zingine mpaka ufanye settingNenda kwenye APN sehemu ya personal hotspot andika Halotel
Hiyo cable yake si inapiga kotekote kama ya iphone 5, sometime unachomoa na kuchomeka tena inakuwa poa
Itakuwa imekufa, au badirisha kichwa yaani USB cable chomeka kwenye kichwa kingine knachotoka kwenye umeme, au chukua hiyo usb cable jaribu kucharge kwenye laptop kuona kama ita-sense. Wakati mwingine cable za iPhone zinakufa sanaMkuu..nimejaribu had nmechoka.
Itakuwa imekufa, au badirisha kichwa yaani USB cable chomeka kwenye kichwa kingine knachotoka kwenye umeme, au chukua hiyo usb cable jaribu kucharge kwenye laptop kuona kama ita-sense. Wakati mwingine cable za iPhone zinakufa sana
Pole sasa hapo ukitaka kulala ichomeke kwenye charge alafu zima iache kwenye charge mpaka asubuhi, sometime huwa inaingiza kwa percentage dogo sana (nilishawahi kupitia hapo kila nikinunua usb cable zinakufa nikawa nafanya kwa style hiyo)Nimejaribu kwenye laptop hola na simu inakaribia kuisha chaji..dah
Pole sasa hapo ukitaka kulala ichomeke kwenye charge alafu zima iache kwenye charge mpaka asubuhi, sometime huwa inaingiza kwa percentage dogo sana (nilishawahi kupitia hapo kila nikinunua usb cable zinakufa nikawa nafanya kwa style hiyo)