Mwenye iPhone 6+nakupa 300 na iPhone 4s GB 32
Nothing impossible mkuuiPhone 4s kwa sasa bei yake haifiki hata laki 2.5. Technically hakuna mtu atakupa iPhone 6+ kwa laki 5.
Kila la kheri Mkuu.Nothing impossible mkuu
Minaombeni msaada jinsi yakuondoa haya matangazo yanayo jitokeza kila Mara kilanapokua natumia simu yangu yamekua kelo kwangu kunawakati inabidi nizime simu Kwanza alafu niwashe ndo niendelee
Mwongo wwKwa wenzangu na Mimi,nilinunua I phone ya mtu baada ya yy kukosa nauli yakuongezea alikuwa anaenda Canada cku hyohyo ikabid anipe cm yake pamoja na id yake kwenye karatas sasa ikanisumbua sana kufungua jamaa nae hapatikan nimekaa kama miez miwil HIV sasa ktk kuichunguza hii cm nikakuta account ya gmail ya mhusika ambayo ndo anatumia kwenye icloud na hakulog out nilichofanya n kurequest kwamba nimesahau paswd wakaniambia niandike email nikaandika ya jamaa wakaleta message ya kuaccept nikaagree wakanipa option ya kubadil paswd kwenye icloud nikafanya hivyo kitu kikajipa nikareset cm nikaanza na I cloud yangu Mpya sahiv nakula maisha
Mtanzamia wakwanza kutoa icloud hureeeee hureeeee peha
Mwongo ww
Huyu sio muongo ila kasema kitu asichokijua, nahisi sentence yake ya mwisho ndo kapotosha comment yake yote, hapa yeye kareset password na kubadilisha ID na ni kitu ambacho kinawezekana kwa kila mtu kufanya ila huwezi kusema ndo umefanikiwa kutoa/bypass icloudMwongo ww
Android ni open source boss ndo maana unaweza iedit kuifanya unavyotaka ww ndo maana kuna android tofauti as per device unayonunua mfano android ya samsung haiwezi kufanana na ya Xiaomi au Sony ingawa zitakuwa na basic architecture moja tofauti na Apple na Microsoft Mobile (Windows) za kwao zipo za aina moja device zte tofauti ya OS zao ni matoleo ya device tu ila basically its the same na haina third party editing...pia ndo maana sio rahisi au ni near imposible kukuta blackberry OS, iOS na Windows OS zinakuwa attacked na VirusIphone ni kitu kingine aisee usilinganishe na takataka za android.