iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

Nina ipad mini.... niliweka security code sasa kuna mtu alijaribu kufungua akashindwa na ikajilock. Sasa inaniambia iPad is disabled, connect to iTunes...... msaada kwa anaejua njia za kuifungua hii...

Kama huna iTunes download halafu connect simu kwenye pc iTunes ita detect kisha fanya kui restore
 
Una customise wimbo uwe ni ring tone? Kuna dada mmoja mVietnam aliniwlekeza process kama 15 steps dah nishasahau
 
UTAWEZA VIPI Ku LOCK IPHONE AMBAYO MTU ALIEKUIBIA ANAZIJUA PASSCODE NAMIMI NATAKA NIILOCK ASIWEZE KUITUMIA!.laikin password za icloud hazijui
 
Activation Lock is enabled automatically when you use Find My iPhone on a device using iOS 7 or later.
To turn on Find My iPhone on your device:
1. Tap Settings.
2. Tap iCloud.
3. Sign in with your Apple ID, if necessary.
4. Turn on Find My iPhone.
 
washika dau, kuna tofauti gani kati ya iphone 6 na 6 plus ukiachana na mambo ya umbo, ipi iko suitable to carry ova?
 
Jamani naomba kujuzwa bei ya iphone 4 au iphone 4s mpya au used poa tu nimechoshwa na android os
 
Kufungua apple account ni lazima uweke credit card ambayo imewezeshwa kununua vitu kwenye mtandao.

Kuna apps ambazo zinauzwa, na huwezi kuzinunua hadi uweke hiyo master card yako.

Kwahiyo ni lazima ufanye hivyo la sivyo account yako haiwezi kuwa complete.

Hapana, waweza fungua bila kuwa na credit card, mim nlifungua na sikuwa na hiyo credit card
 
UTAWEZA VIPI Ku LOCK IPHONE AMBAYO MTU ALIEKUIBIA ANAZIJUA PASSCODE NAMIMI NATAKA NIILOCK ASIWEZE KUITUMIA!.laikin password za icloud hazijui

Use find my iphone then u will have full control on your lost I device
 
Wadau bado cijapata ufumbuzi eti ni kweli iPhone iliyolockiwa inaweza kuwa unlocked?? Maana eti nasikia kuna wataalam wa ku unlock...mara nasikia ku unlock haiwezekani...WHICH IS WHICH??
 
Wadau bado cijapata ufumbuzi eti ni kweli iPhone iliyolockiwa inaweza kuwa unlocked?? Maana eti nasikia kuna wataalam wa ku unlock...mara nasikia ku unlock haiwezekani...WHICH IS WHICH??

Kwanza ni lock ipi unayo isemea?
 
Back
Top Bottom