iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

iPhone na matatizo yake: Ushauri, maujanja, matengenezo na mengineyo

Nina ipad mini.... niliweka security code sasa kuna mtu alijaribu kufungua akashindwa na ikajilock. Sasa inaniambia iPad is disabled, connect to iTunes...... msaada kwa anaejua njia za kuifungua hii...

nitafute nikupe msaada
 
Poa donzii mayeyo kwaiyo nikibadirisha password za iCloud screen itajulock au! mana sitaki aitumue kabisa hata kupiga picha ashindwe

You cannot change a passcode without having a phone in hand, iCloud can not change a passcode
 
Last edited by a moderator:
Poa donzii mayeyo kwaiyo nikibadirisha password za iCloud screen itajulock au! mana sitaki aitumue kabisa hata kupiga picha ashindwe

Haina haja ya kubadili password maana hajui ya icloud ingia google kwenye pc log in icloud account yako nenda sehemu ya find my phone bonyeza lost mode atakutafuta mwenyewe ikibidi erase kila kitu itabaki pambo atarudi mwenyewe hatoweza itumia
 
Last edited by a moderator:
Haina haja ya kubadili password maana hajui ya icloud ingia google kwenye pc log in icloud account yako nenda sehemu ya find my phone bonyeza lost mode atakutafuta mwenyewe ikibidi erase kila kitu itabaki pambo atarudi mwenyewe hatoweza itumia

Mkuu hii itakua possible endapo atatumia internet lakini asipo tumia huwezi kumkamata
 
Mkuu hii itakua possible endapo atatumia internet lakini asipo tumia huwezi kumkamata

Dunia leo ya leo awe na chuma kinachoingia net alafu asiingie cdhani lazima ataingia net tu akishabonyeza lost mode jamaa akiwasha data kwisha habari yake
 
Dunia leo ya leo awe na chuma kinachoingia net alafu asiingie cdhani lazima ataingia net tu akishabonyeza lost mode jamaa akiwasha data kwisha habari yake

sasa mtu uwe na smartphone halafu hauingia net huo ndio utumwa wenyewe , huo
 
nahitaji iphone 4 au 4s je ni bei gani used au mpya?
 
Dah mim Nina iPhone 4 ila natumia iCloud ya mtu je nikitaka niweke ya nyingine inagoma
 
[QnUOTE=Raaj;14960480]nahitaji iphone 4 au 4s je ni bei gani used au mpya?[/QUOTE]
nipo mbeya ninayo 4s kwa laki 2 imepasuka kioo ila kila kitu kiko poa!!
 
nahitaji iphone 4 au 4s je ni bei gani used au mpya?

Usinunue iPhone 4 Apple wameshaipiga chini
Ukifikiria kununua anzia iPhone 5 kwasababu iPhone 4s soon nayo itapugwa chini
 
iPhone5 in A1 condition, nyeupe 32gb nataka 500 ukiwa poa nchek ImageUploadedByJamiiForums1451213781.557393.jpg
 
Back
Top Bottom