GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,646
- 109,031
"Inasikitisha sana kuona Kiongozi fulani au Msanii fulani au Mtu tu anaibuka na Kutangaza Utajiri wake huku akitudanganya Watanzania kuwa ameanzia mbali hadi kuwa hivyo wakati kumbe Ukweli ni kwamba ama Yeye ni Shoga au ni Wakala Mkubwa wa Kuwauza Vijana na Watoto kwa Matajiri wapenda Mashoga na Mashirika yao yaliyoko duniani" amsema Dada Catherine Kahabi ( Investigative Journalist ) katika Presentation yake juu ya Ripoti yake Maalum juu ya hali mbaya ya Ushoga nchini Tanzania.
Eti Mimi nina Shamba Kubwa nalima ndiyo maana nimekuwa Tajiri hivi hivyo Vijana nanyi njooni huku kumbe unatuzuga tu bali Wewe ni Wakala wa Kuuza Vijana ( Watoto wa Kiume wa Kitanzania ) kwa Matajiri wa Kiafrika, wa Kizungu wapenda Mashoga na Mashirika yao makubwa ya Kitajiri duniani.
Hovyoooooo.......!!!!!!
Eti Mimi nina Shamba Kubwa nalima ndiyo maana nimekuwa Tajiri hivi hivyo Vijana nanyi njooni huku kumbe unatuzuga tu bali Wewe ni Wakala wa Kuuza Vijana ( Watoto wa Kiume wa Kitanzania ) kwa Matajiri wa Kiafrika, wa Kizungu wapenda Mashoga na Mashirika yao makubwa ya Kitajiri duniani.
Hovyoooooo.......!!!!!!