Introverts Vs Relationship

Ila usijekukimbia maana na maswala ya kulia hapana! Maana ukikataa natoa kisago cha mbwa Koko[emoji12][emoji12]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nahisi utaniletea tu comedy zako nicheke Hadi nizimie mie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na mimi nahisi Niko na introvert kwa maisha niliyo nayo au baada ya vyuma kukazaa nimekuwa mtu wa indoor sana kwa kipindi hichi yaani
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nahisi utaniletea tu comedy zako nicheke Hadi nizimie mie

Sent using Jamii Forums mobile app
Toba wee mi comedian..??
🤪🤪
Mi sio comedian mi ni jf expert member.
Mods pigeni ban huyu this isn't okay
Yani mpaka nachanganya na kiingilishi 🤪🤪nikikukamata!💪
 
Toba wee mi comedian..??
[emoji2957][emoji2957]
Mi sio comedian mi ni jf expert member.
Mods pigeni ban huyu this isn't okay
Yani mpaka nachanganya na kiingilishi [emoji2957][emoji2957]nikikukamata![emoji123]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usinivunje mbavu zangu mimi.

Ujue una kipaji Sana Wewe[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Usinivunje mbavu zangu mimi.

Ujue una kipaji Sana Wewe[emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Haha! Niliambiwaga hivyohivyo ati unakipaji nikaenda kukipajisha kilichonikuta sikumbuki meno yangu mawili ya mbele yaliwezaje kudondoka kwa sekunde moja tu wakati nayaaminia lkn yalikutana na binadamu alienzisha ule usemi mwana kulitaka mwana kulipata!

Hayo ya vipaji kaeni navyo nyie tu binafsi nimestaafu na mapengo yangu mawili yamebaki kama kumbukumbu au mafao ya kustaafu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Acha kunichekesha tafadhali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nacheka kama mjinga hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Acha kunichekesha tafadhali[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nacheka kama mjinga hapa

Sent using Jamii Forums mobile app
Dah! Mi nakujibu we unaona vituko!!
Hilo halikutosha sikukoma kuna siku nilikutana na binadamu huyo nafikiri ni professional wa kung'ata!
Alining'ata kwenye kisogo walahi nisinge piga kelele angeniuwa yule mpuuzi maana ngumi zangu alikuwa hasikii ila ile uma yake hapo ndo nikajua Yule aliesema ubinadamu kazi alikuwa anamaana kama hii inayonikuta hapa
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha Basi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha Basi[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa mi aenda kojoa kisha alala korona taja nichika bure tunachati bila barachoa..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…