excel
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 22,434
- 17,861
Last edited by a moderator:
wow!!!!! nice dreams charminglady!!!
siunajua haka kabaridi tenaaaaaa, then usisahau kuniandalia kadi
Unajua Excel sisi tumeapa kuilinda na kuitumikia jamhuri yetu na kuongeza upendo na urafiki wa wote, hatuna niambaya kwa yeyote
aisee karibu sana kundini.....! qudadeki!!
Excel bado hajawa mwanacham halali wa #teamrafiki bado hajakidhi vigezo yupo kwenye uchunguzi so asikurubuni kwa kitu chochote. mpendwa rafikiakhsante rafiki Excel nimekaribia
huna haki ya kumkaribisha mtu yeyote kundini coz wewee bado hujawa mwanachama halali..
Excel bado hajawa mwanacham halali wa #teamrafiki bado hajakidhi vigezo yupo kwenye uchunguzi so asikurubuni kwa kitu chochote. mpendwa rafiki
usijali kadi yako utaikuta ukiamka for now lalal usinngizi mnono na hii ni special kwako
![]()
akhsante rafiki Excel nimekaribia
whaat? so ulitaka nimuache nje na mvua hii yenye kila aina ya upepo na radi?
utafiti na Mndengereko, hivi huu ni upendo kweli jamani natishiwa maisha?
mamii miss neddy usiponiona kwenye castle yangu ujue niko mabwepande aisee! duh.. ntuzu we ngoja!
wengine ndo tunaamka sasa..
ahsante Eshy! mimi ni mtuhumiwa lakini!!! si unaona ninavyopigwa mawe kila kona!! yani kuanzia Ntuzu, utafiti mzee wa busara, Lady niece katibu mpaka Mndengereko mwenyekiti... wote wananikodolea jicho!!
sijui nna damu ya kunguni! looo!
labda nimsaidie tu mkuu Mr Rocky naona atakuwa busy taarifa za kiintelijisia zinaonyesha kwamba honeyfaith una tabia nzuri ambazo zinaendana na maadili ya #teamrafiki so kwa kuwa umekidhi vigezo na sisi lengo letu ni kudumisha urafiki wetu so umekubaliwa na umepewa every acces ya kuwa mwanachama halala wa #teamrafiki so tafadhali ingia kwenye chama kadi yako itakufuata hukohuko.
whaat? so ulitaka nimuache nje na mvua hii yenye kila aina ya upepo na radi?