Introducing teamrafiki

Last edited by a moderator:

Naomba kusajiliwa mndengereko
 
hivi Excel mnamchukuliaje kiujumla toka muanze kumfahamu!

naombeni maoni yenu wadau...

angalau watu 20 nipate sample!

how am I?
 
Last edited by a moderator:
Tupo pamoko!
Ngoja tuanze kuwafurusha mabazazi kwenye team yetu, wasije wakaharibu!
...
Mndengereko usipoconfes kama ulikua bazazi, utahama uenyekiti!

hahaha wewe unalako jambo,si bure.
how many times do i have to tell you sikuwahi kuwepo #teambazazi ??
 
my hear is aching my friend.. i think i didnt answer well to sis mwallu..

please mwallu wherever you are.. iam sorry for evrything...

mwallu waweza ridhia hii tafadhali?

Ebu mpe nafasi
 
Last edited by a moderator:
Tupo pamoko!
Ngoja tuanze kuwafurusha mabazazi kwenye team yetu, wasije wakaharibu!
...
Mndengereko usipoconfes kama ulikua bazazi, utahama uenyekiti!

Yaliyopita si ndwele babu weye wa jango!

Nilisema tangu mwanzo kwamba he wasnt one of #TB na nimefurahi kweli its clear!!
 
"why not startup"=> "buzz~hookup~group" umoja wa kupeana idea za kibiashara na ujasiriamali kwa vitendo vya dhati kwa minajili ya kutoka kikwelikweli
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…