Interview za kiwaki sana

Interview za kiwaki sana

Poor Brain

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2019
Posts
27,402
Reaction score
54,845
Mnatuita vizuri tuu..
Tunafika mnatukaribisha vizuri kabisa.

Ila baada ya kufika ndani lugha inabadilika as if jamaa ajui kabisa kiswahili...

Lugha inaenda deep zaidi mpaka unajiuliza mbona wafanyakazi humu ndani wanaongea kiswahili kabisa

Huyu jamaa katokea wapi mbona ka-change ghafla...

Mbona ana maswali ya ajabu hivi.
Kila anayetoka macho yamebadilika..

Tumeingia kwa furaha tumeingia kwa furaha ila unatoka very sad aiseee...

Je ushakutana na hii zahama hapa mjini dasalamu ukiwa umeitwa sehemu kuomba kazi..?

IMG_20251222_120430.jpg

Ukimwi Unaua...
 
Back
Top Bottom