mkuu..siyo kwamba et tunaweza kuwa tunaishi nayo ...ni hivi tunaishi na hao viumbe sana mpaka mtaani kwako wapo ila wew unawaona kama binadamu wa kawaida but its not...
Human cloning ilipigwa marufuku kiaina siyo kuwa kufanyika kabisa...kilichopigwa marufuku ni utoaji wa taarifa kwenye jamii( sharing experimental results) ...
Baada ya hapo ndo ikaaanza kupigwa vizuri mpaka leo...
Genetic modified ambayo inatupa vyakula kama samaki,na kuku wa kizungu,ng'ombe pamoja na kondoo ni product ya cloning ...
Huko china,south korea na Singapore wamefikia sehemu wanazalisha samaki kwa kutumia cloned nuclei...
yani unanunua mbegu za samaki maabara kisha unaenda kumwaga kwenye bwawa lako kisha unatupia growth hormones bada ya mwezi mmoja unavuna samaki wako na hao samaki wana minofu tu hakuna mifupa mingi kama wa huku...ni nyama kwenda mbele...
Hiyo ni ndogo,kubwa zaidi ,maffin project ambayo inazalisha clone( human) wenye desired product unayotaka...
yani sasa hivi wanazalisha clone hata ambaye recipient alishakufa miaka ya 1980 huko...
Kuna siri pia ambayo inasemekana jamaa washatengeneza clone ya Albert Einstein pamoja na Nikola tesla ambazo zipo Massecheute Institute of Technology( hii inasemekena lakini) japo sijajua ukweli wake umekaaaja hapa...
Na wale jamaaa sasa hivi wanazalisha watu kisha kuwapandika watu wakiwemo politicians pamoaj na wataalamu kibao kwenye taasisi zetu huku bila sisi kujua ...
uzuri wa clone unaweza ukammodify kwa rangi au race unayoitaka ili kuepuka kushitukiwa kwenye interacting society..
Kuna baadhi ya nchi kama Angola,South Africa na Tunisia zimeingia mkataba na Maffin project kukopeshwa clones zinaziweka kuwasaidia hasa kwenye mambo ya utafiti na kuongoza watu kwa siri ...
Haya mambo ni mazito sana...yani mwisho wa siku utakuja kujuwa kuwa clones wamejaaa mtaani bila kuwajua...kuna baadhi ya documentaries zinavuja kuhusiana na watu maarufu kama kina Rick Ross ,Eminem ,P.Didy,Avril Lavigne,Katty Perry ,Taylor swift na wengine kibao kuhusisha clone zao kuwa ndo zinazoimba na kuratibu mambo yote huku baadhi yao kusemekana kuwa washakufa kitambo sana kwa kushindwa kusell their soul kwa mshirika wao mkubwa...wengine kutokana na umuhimu wao wanaamua kuwaua kisha wanatengeneza clone yao ambayo itakuwa ni mind controlled na wao ili iwe rahisi kuimba na kutoa maudhui yanayoendana na hizo jamiii za siri kuhusu namna wanavyotaka jamiii iishi ..
Juzi juzi tu tumeona skendo ya bwana mdogo Kodack black baada ya kukamatwa na kupelekwa gerezani lakini badae akatoleaa lakini inasemekana iliyotolewa ni clone yake na yeye wamemfungia huko chini wanakowatunza hao original recipient kwa kuwatengenezea mazingira ya kitajiri ambayo yana kila aina ya starehe kiasi kwamba kukumbuka huku duniani inakuwa ngumu snaa na hawawezi kurudi tena ...ndo inakuwa nitoleee...
..mambo mazito sana haya...usione kwanini underground cities zinajengwa ukafikiri watu wanaigiza ..hayo ni makao ya hao produced clone pamoja na recipient zao..
Kwa hiyo swala la Intelligence lipo another level of realm mkuu
so be careful with your leading system

tusijekuwa tunaongozwa na clone zao make sio kwa scenario hizi...ha ha ha