Intelligence heredity: Je, uwezo wa akili hurithiwa?

Intelligence heredity: Je, uwezo wa akili hurithiwa?

kwamba familia tulionayo hapa ....nimecheka sana...

Lakini mkuu Ukiongelea familia ya Princes Diana ni familia yenye utata kidogo hasa genetic configuration zao...

Genetic configuration zao ipo tofauti kabisa na wengine na source ya ile familia ni kutokana na uzao fichwa wa Royal family...

Lakini swali jingine nashindwa kuelewa kwanini sasa aliachana na mume wake Charles, Prince of Wales kama kweli walikuwa ni selected royal family members na lengo lao ni kutunza geneology yao...??

Swala hili la Intelligence inheritance linaleta maswali mengi sama hasa namna passage ya intelligence genes na kuna baadhi ya jamiii( mfano taifa la Israel linasakika na kuwa na passage tata ya geneology yake kupitia mataifa mengine...hapa napo bado sijapata source ya kueleweka kuwa kwanini hybrid pure ya Jewish inakuwa ngumu kuwa passed into other mataifa ...!!
Nami niulize, Inakuwaje Matahira au wagonjwa wa akili/vichaa wana bakwa na kuzaa watoto wazima na hawana kasoro kama za mama zao?! Hizo Genes huwa zinajificha wapi kwa hawa vichaa na mataahira wao wanapozaa watoto wasio na vinasaba vyao?!
 
Nami niulize, Inakuwaje Matahira au wagonjwa wa akili/vichaa wana bakwa na kuzaa watoto wazima na hawana kasoro kama za mama zao?! Hizo Genes huwa zinajificha wapi kwa hawa vichaa na mataahira wao wanapozaa watoto wasio na vinasaba vyao?!
Hapo kwenye kuzaaa mtoto taahira inategemea na inheritance pattern ya mental disability ameipata wapi before .

Kwa mfano kama mama amepata utaahita akiwa ukubwani( means hakuzaliwa na utahiri) hapo inheritance mental continuum itakuwa 25%( manake kati ya watoto 4 atakao wazaa basi mtoto mmoja ndo anaweza akapata mental disorder) lakini kama mama alizaliwa na utaahira tayari( Since born) manake inheritance continnum kwa watoto atakao wazaaa itakuwa 75% ( manake kati ya watoto 4 atakaowazaa basi 3 kati ha hao watakuwa na mental disability)..

probality ya mama taahira kuzaa watoto taahita inategemeana na utaahira huo mama aliupata akiwa katika phase ipi ya ukuaji wake. ..

Inheritance mental factor inategemea na factor nyingi sana ..
 
Nafahamu tunaweza kuwa na trait flani ambayo isijionyeshe kwa motto, ila inapotokea Professor akazaa mtoto taahira inaweza kushangaza pia au lifecoded unasemaje kuhusu hili?!
ha ha ha ha inawezekana kabsa kuzaa au kupata mtoto taahira katika mazingira yote haijalishi nyumbani kwenu kuna natural history ya mental disorders among familiy members au laaa...

Lakini kuna study nyingi zimeshafanyika kuhusu kuzaaa watoto wenye mental disability huku wazazi wao wakiwa wazima kabsaa bila hata kuwa na family history ya ugonjwa huo.

kwa mfano mama anapokuwa na stress za kufaaa mtu wakati akiwa mjamzito anakuwa anazuia baadhi ya vichocheo( hormones) kusafirishwa kwenda kwa mtoto hasa vichocheo vinavyohusika na brain formation vinapokuwa haba kwa mtoto ,hapo mtoto lazima azaliwe na mental disorder flani..

Mama akiwa na depression( msongo wa mawazo) akiwa mjamzito lazima apate effects kubwa sana mtoto wake..

lakini pia inawezekana kabisa professor mzima akapata watoto taahira kama msomi huyu atapata mental disconfiguration akiwa mzima( namanisha akiwekwa kwenye mazingira ambayo yatachange au ku alter mental status yake ) hapo percent ya kupata mtoto taahira ni 25% .


Kwa hiyo Intelligence inabaki ni multifactorial continnum hasa katika inheritance yake..

Lakini haimanishi kuwa mtoto akiwa taahira tayari anakuwa na uwezo mdogo wa akili hapana..
kuna watu ni vichaaa lakini wana intelligence kubwa,inategemea na eneo gani kwenye ubongo( mind) limekuwa disfigured na enveronmental factors...

Intelligence ipo vice versa na mental disability...tena inasemekana kwamba kadri mtu anavyozidi kuwa na IQ kubwa ndipo anazidi kuwa na symptoms ( Dalili) za ukichaaa kuliko mtu anayejiheshimu zaidi!!

Fuatilia maisha ya akina Tesla,Isaac newton,Galileo Gallilei na Albert Einsten na wengine kibao ,yani maisha yao yalikuwa ni kujitengetenga na jamii na unakuta sometimes mambo ambayo jamaaa imekubaliana tusiyafanye wao ndo walikuwa wanayafanya na ndo mana walikuwa wanaonekana kituko simply because their sense of cognition ipo katika dimension kubwa sana kuanzia 6D huko kuliko Ng'ng'ona wengine wenye 2D recognition view..

Ndo mana unaweza uka asses intelligence spectrum range ya mtoto wako akiwa mdogo kabsaa...

Key factor ya kwanza ni mtoto kujitenga na wenzie..yani unakuta anapenda kucheza peke yake..ukiona hivyo jua mtoto wako ni bonge la genius wa kutupa usimwachanize mazingira yakamharibu..kaa naye makini sana.

Keys factor nyingine kudetermine mtoto wako ni intelligence ni utundu wa kutupa huku akiwa lonely muda mwingi hawa tunawaweka kwenye Autistic spectrum disorders japo study nyingi zinasema watoto watundu wanakuwa na IQ ndogo kwa sababu wanakosa concentration ya kusikiliza lakini 25% ya watoto ambao ni Autistic ( wana Autism) wana IQ kubwa sana...

Kwa hiyo intelligence bado inaonekana kuwa ni multifactorial continnum kabsaa...japo gene ndo zinabaki kuwa wahusika wakuu sana wa kuleta intelligence ya mtu..
 
Nimekupata mkuu usijali

Nilishindwa kutofautisha kati ya knowledge na intelligence

Unajua katika imani yetu ya kibudha tunaamini katika milango nane ya ufahamu So haijanipa tabu

Basi nitaiweka knowledge katika sehemu ya mlango wa Sita unaohusikana na ufahamu (mental)

Na intelligence nitaiweka kwenye sehemu ya mlango wa saba (Manas) the general

Halafu mambo yanaenda

Ila mkuu nimeona juu umegusia kidogo kuhusiana hisi za mama mjamzito kwamba anapokuwa disponted na jambo fulani inaweza ikazuia uzalishaji wa hicho kichocheo cha CPH4

Ikiwa na maana kama Baba hajui kupetipeti inaweza kuleta shida_ si ndio...?

Je Huoni kwamba hii inaweza kuingilia utendaji wote na kumpa mama mamlaka ya ugawi wa ufahamu kuliko inavyohusika baba

Kiasi kwamba tunaweza kubadili defnition ya intelligence na kuipa maana ya tabasamu la mama ndio kuwa kila kitu ...unaonaje hii.?
Aisee kwa hili bandiko lako ", nachelea kusema kwamba sinto kuja thubutu kumfanyia ubaya mwanamke mjamzito

lifecoded Uko vizuri sana chief " yaani kufuatilia comments zako nizaidi ya burudani ya ubongo
 
mkuu..siyo kwamba et tunaweza kuwa tunaishi nayo ...ni hivi tunaishi na hao viumbe sana mpaka mtaani kwako wapo ila wew unawaona kama binadamu wa kawaida but its not...


Human cloning ilipigwa marufuku kiaina siyo kuwa kufanyika kabisa...kilichopigwa marufuku ni utoaji wa taarifa kwenye jamii( sharing experimental results) ...

Baada ya hapo ndo ikaaanza kupigwa vizuri mpaka leo...

Genetic modified ambayo inatupa vyakula kama samaki,na kuku wa kizungu,ng'ombe pamoja na kondoo ni product ya cloning ...

Huko china,south korea na Singapore wamefikia sehemu wanazalisha samaki kwa kutumia cloned nuclei...

yani unanunua mbegu za samaki maabara kisha unaenda kumwaga kwenye bwawa lako kisha unatupia growth hormones bada ya mwezi mmoja unavuna samaki wako na hao samaki wana minofu tu hakuna mifupa mingi kama wa huku...ni nyama kwenda mbele...

Hiyo ni ndogo,kubwa zaidi ,maffin project ambayo inazalisha clone( human) wenye desired product unayotaka...


yani sasa hivi wanazalisha clone hata ambaye recipient alishakufa miaka ya 1980 huko...


Kuna siri pia ambayo inasemekana jamaa washatengeneza clone ya Albert Einstein pamoja na Nikola tesla ambazo zipo Massecheute Institute of Technology( hii inasemekena lakini) japo sijajua ukweli wake umekaaaja hapa...


Na wale jamaaa sasa hivi wanazalisha watu kisha kuwapandika watu wakiwemo politicians pamoaj na wataalamu kibao kwenye taasisi zetu huku bila sisi kujua ...

uzuri wa clone unaweza ukammodify kwa rangi au race unayoitaka ili kuepuka kushitukiwa kwenye interacting society..

Kuna baadhi ya nchi kama Angola,South Africa na Tunisia zimeingia mkataba na Maffin project kukopeshwa clones zinaziweka kuwasaidia hasa kwenye mambo ya utafiti na kuongoza watu kwa siri ...

Haya mambo ni mazito sana...yani mwisho wa siku utakuja kujuwa kuwa clones wamejaaa mtaani bila kuwajua...kuna baadhi ya documentaries zinavuja kuhusiana na watu maarufu kama kina Rick Ross ,Eminem ,P.Didy,Avril Lavigne,Katty Perry ,Taylor swift na wengine kibao kuhusisha clone zao kuwa ndo zinazoimba na kuratibu mambo yote huku baadhi yao kusemekana kuwa washakufa kitambo sana kwa kushindwa kusell their soul kwa mshirika wao mkubwa...wengine kutokana na umuhimu wao wanaamua kuwaua kisha wanatengeneza clone yao ambayo itakuwa ni mind controlled na wao ili iwe rahisi kuimba na kutoa maudhui yanayoendana na hizo jamiii za siri kuhusu namna wanavyotaka jamiii iishi ..

Juzi juzi tu tumeona skendo ya bwana mdogo Kodack black baada ya kukamatwa na kupelekwa gerezani lakini badae akatoleaa lakini inasemekana iliyotolewa ni clone yake na yeye wamemfungia huko chini wanakowatunza hao original recipient kwa kuwatengenezea mazingira ya kitajiri ambayo yana kila aina ya starehe kiasi kwamba kukumbuka huku duniani inakuwa ngumu snaa na hawawezi kurudi tena ...ndo inakuwa nitoleee...

..mambo mazito sana haya...usione kwanini underground cities zinajengwa ukafikiri watu wanaigiza ..hayo ni makao ya hao produced clone pamoja na recipient zao..

Kwa hiyo swala la Intelligence lipo another level of realm mkuu

so be careful with your leading system tusijekuwa tunaongozwa na clone zao make sio kwa scenario hizi...ha ha ha
Aisee .. mkuu ningependa kujua human clone huwa anachukua muda wa miaka mingapi kuufikia umri wa mtu halisi"... mfano Eminem akifanyiwa clone leo hii", huyo pacha wake wa maabara atachukua muda gani kuwa kama huyu Eminem wa sasa !!?
 
Rahisi sana mkuu...wanachohitaji hawa jamaaa ni cell moja tu ya mhusika...hata wakipata kipande cha unywele kwisha habari..atatengenezwa huyu mtu( clone)..

Kwa sababu gene configuration ya nywele ndo replica ya original DNA strand ya mhusika..kwa hiyo tunaweza pata mother strand ( Original DNA configuration) ya mhusika kisha tukaconstruct original Genome ...


Kwa sasa hivi jamaa wanahitaji hata kitabu au nguo alizoacha mhusika yani pale kuna materil kaacha.....

Hivi una habari kuwa hata ukinigusa mkono wangu kwa bare hands zako tayari copy ya DNA yako inabaki pale...??? kwa hiyo tukiweka DNA analyser inatupa majibu kuwa mtu flani mwenye DNA hii alikushika mkono...

Unafikiri ni kwanini SCOTLAND YARD wnaaaminika kwenye mambo ya Post mortem..?? ujuzi mmoja wapo ni kumtafuta mhusika aliyefanyiwa tukio kisha kuanza kumuliza mtuhumiwa alikushika wapi...we kazi yako ni kuwaonesha maeneo uliyokamatwa kamatwa tu..wao watatress DNA analyser kisha kunasa vinasaba vya hao jamaa kisha wanawacheki kwenye universal Data base na sura zao zitakuja tu..

Unaona hii miradi ya kujisajili kwa kielectronic unahisi kuwa ni nchi yako ndo inaamua hivi..?? ...hapana kuna mashirika kazi yao ni kukusanya Data base za dunia kisha yanauza kwenye taasisi hizo za intelligencia hasa Mosad pamoja na Scotlad yard ambao kupitia utafiti wao kwa technolojia ya sasa hivi ( nanotechnology) wanaweza kubaini kila mtu yoyote alifanya kosa kisha akikimbia..


So mambo ni mazito mkuu
Aisee " kweli yajayo yana furahisha . kwakweli sisi wengine tunaishi nje ya ulimwengu halisi wanaoishi wenzetu lakini tunajidanganya kuwa tunaishi duniani ". Hulu tulipo ni gizani kabisaaa
 
Rahisi sana mkuu...wanachohitaji hawa jamaaa ni cell moja tu ya mhusika...hata wakipata kipande cha unywele kwisha habari..atatengenezwa huyu mtu( clone)..

Kwa sababu gene configuration ya nywele ndo replica ya original DNA strand ya mhusika..kwa hiyo tunaweza pata mother strand ( Original DNA configuration) ya mhusika kisha tukaconstruct original Genome ...


Kwa sasa hivi jamaa wanahitaji hata kitabu au nguo alizoacha mhusika yani pale kuna materil kaacha.....

Hivi una habari kuwa hata ukinigusa mkono wangu kwa bare hands zako tayari copy ya DNA yako inabaki pale...??? kwa hiyo tukiweka DNA analyser inatupa majibu kuwa mtu flani mwenye DNA hii alikushika mkono...

Unafikiri ni kwanini SCOTLAND YARD wnaaaminika kwenye mambo ya Post mortem..?? ujuzi mmoja wapo ni kumtafuta mhusika aliyefanyiwa tukio kisha kuanza kumuliza mtuhumiwa alikushika wapi...we kazi yako ni kuwaonesha maeneo uliyokamatwa kamatwa tu..wao watatress DNA analyser kisha kunasa vinasaba vya hao jamaa kisha wanawacheki kwenye universal Data base na sura zao zitakuja tu..

Unaona hii miradi ya kujisajili kwa kielectronic unahisi kuwa ni nchi yako ndo inaamua hivi..?? ...hapana kuna mashirika kazi yao ni kukusanya Data base za dunia kisha yanauza kwenye taasisi hizo za intelligencia hasa Mosad pamoja na Scotlad yard ambao kupitia utafiti wao kwa technolojia ya sasa hivi ( nanotechnology) wanaweza kubaini kila mtu yoyote alifanya kosa kisha akikimbia..


So mambo ni mazito mkuu
Aisee " kweli yajayo yana furahisha . kwakweli sisi wengine tunaishi nje ya ulimwengu halisi wanaoishi wenzetu lakini tunajidanganya kuwa tunaishi duniani ". Hulu tulipo ni gizani kabisaaa kwa style hii kumbe kama ningekuwa na mihela yangu ninaweza kumrejesha baba yangu aliye fariki nikawa naishi nae vizuri nikafurahia nae huu ulimwengu"... Je huyu human cloning huwa anakuwa na uwezo sawa wakufikiri na chapa ya yule mtu original !?
 
Aisee .. mkuu ningependa kujua human clone huwa anachukua muda wa miaka mingapi kuufikia umri wa mtu halisi"... mfano Eminem akifanyiwa clone leo hii", huyo pacha wake wa maabara atachukua muda gani kuwa kama huyu Eminem wa sasa !!?
mkuu kwa habari nyepes nyepesi ni kwamba clone development inachukua miezi 9 kama anavyokuwa mtoto kwa tumbo la mamake japo ukuaji wa haraka kwa msaada wa Nanotechnology huenda muda ukazidi kuwa mfupi zaidi mpaka miezi 6 au miezi 3 kulingana na technologia ya kasi inavyokuwa ...

Lakini inasemekana kuwa kwa mfano Kodack black alikamatws n kuwekwa gerezani Kama sikosei may 4 mwaka 2017 na alitolewa mwaka mmoja baadae...

manake ukiangalia jamaaa walimwachia mwaka mmoja badae...

Na cloning inachukua miezi 9 mpaka 12 ndo inakuwa complete clone..

hapo ndipo napoanza kuamini kweli duration ya human cloning inachukua muda ule ule wa embryology..

kila kiumbe ,cloning yake inategemea na embryology yake.. .ndo mana kupata cloning ya kuku inakuwa sawa na muda ule ule wa kuanguliwa...
 
mkuu unajua nini kila kiumbe kina Serum blood level ya growth hormones...

Manake nini kila mtu ana threshhold level ya growth hormones ambazo ndo zinabalance ukuaji wa mwili wako..

Sasa wanapotaka kutengeneza clone yako wanapima Hypothalamic Adrenal Pituitary axis firing ratio ya growth hormone zako..
yani unaambiwa hivi kuna kipimo kikiingizwa kwenye ubongo wako kinatoa majibu ya kuwa umetumia quantity kiasi gani cha growth hormones tangu ulipozaliwa mpaka hapo ukipofikia kisha kile kile kiwango kinasubjectiwa kwa huyo developing clone embryo kwa growth rate ile ile na baada ya miezi kama 12 kinafikia level ile ile uliyopo wew na kwa hali hiyo inakuwa ngumu kumtofautisha clone au recipient...

noma mkuuu
Aisee . yaani ndani ya miezi 12 tu anakuwa sawa na mtu mwenye umri wa miaka 50... sasa mkuu hizi nchi zilizoendelea sizitakuwa na wanausalama wengi sana ambao ni human cloning " kwa mantik hiyo neno hasara ya rasilimali watu pindi itakapo tokea maafa kwao itakuwa ni msamiati tu
 
Aisee " kweli yajayo yana furahisha . kwakweli sisi wengine tunaishi nje ya ulimwengu halisi wanaoishi wenzetu lakini tunajidanganya kuwa tunaishi duniani ". Hulu tulipo ni gizani kabisaaa kwa style hii kumbe kama ningekuwa na mihela yangu ninaweza kumrejesha baba yangu aliye fariki nikawa naishi nae vizuri nikafurahia nae huu ulimwengu"... Je huyu human cloning huwa anakuwa na uwezo sawa wakufikiri na chapa ya yule mtu original !?
anakuwa ni replica Intelligence...ila ananyimwa kumbukumbu ...ne needs memory booster kumrejeshea ya nyuma but after that anakuwa sawa...

Mammbo mazito chief...
 
We sio wa sayari hii...!

Vitu unavyo zungumza vinatengeneza logic fulani hivi

Unajua nini...ukiwa na akili ndogo na masikini utaona mambo ni mengi sana duniani...na yasiyowezekana

Ila kwa hawa wenzetu walaiotangulia na pesa wanazomiliki kupitia familia teule ni vitu simple sana

Watu wameshaisoma dunia yetu vizuri tu katika kila nyanja wanatuangalia tunavyoneng'eneka Tu..shenzi kabisa
hahaa lifecoded ni mzimu wa tesla ... jamaa ni bigger mind haswaa ", pongezi kwake
 
Aisee . yaani ndani ya miezi 12 tu anakuwa sawa na mtu mwenye umri wa miaka 50... sasa mkuu hizi nchi zilizoendelea sizitakuwa na wanausalama wengi sana ambao ni human cloning " kwa mantik hiyo neno hasara ya rasilimali watu pindi itakapo tokea maafa kwao itakuwa ni msamiati tu
Fuatilia namna ya kuajili wataalamu wa intelligensia nchi zilizoendelea utakuta bioprofile data zao zinachekesha kama sio kuchanganya...

Utakuta baba yake kaandikwa kuwa ni mzawa wa Israel na mamake ni mzawa wa Australia ili iwe ngumu kumtrace zaidi..

ndo mana inakuwa ngumu sana kujua originality ya Intelligence officers...

fuatilia utakuja kunambia...

nasikia hata ikulu maalumu zimeanza kuwa na Artificial Intelligence officers..

Kwa mfano ikulu ya marekani inamshitukia sana mwanahabari wa CNN Abilio James "Jim" Acosta ambaye juzi kama sio jana kapigwa marufuku kuingia white house huku kwa kuwa na kibuli cha kubishana na jiwe( Trump) 😀 akiwa na nature ya kuwa clone...jamaa inasemekana ni clone na kapandikizwa pale white huse kuwa reporter wa CNN lakini inasemekana jamaa ni replica clone wa mtu ..

Na ukifuatilia uraia wake jamaa unashangaza mara baba yake sijui ni nani na mamake taifa gani ...

Aise wenzetu wapo level zingine kabsa sasa hivi...

Juzi juzi tu nchi ya tunisia imepewa Ma Intelligence officers kutoka Israel lakini inasemekana ni ma clone kabssa na lengo lao ni kuchota taarifa muhimu...
 
Mimi naamini uwezo wa kiakili kwa mtu hurithishwa. Na ndio maana hata leo hii wazazi wetu wanatutahadharisha sana tuangalie wapenz tunaotoka nao tujitahidi tutafute watoto ambao familia zao ni bora kuliko zetu. Mfano mzuri kuna ukoo mmoja, kuna familia moja naamini ni moja ya familia ambayo ipo blessed, wazazi wao mmoja alikuwa ni mkuu wa department pale udsm na mwingine alikuwa anafanya kazi US Embassy top position bila shaka hao wazazi walikuwa wamesoma sana na akili walikuwa nazo na vijana wao wote walifaulu vizuri sana wapo wanne wote walipata div one kwa elimu zao za olevel na advanced sec Edu. Kiuchumi wako vizuri sana wale jamaa hakuna alietegemezi ni moja ya familia bora ambazo nishawahi kuziona. Lakini kama wazazi wangekuwa vilaza naamini hata hao watoto wasingeweza kufikia hayo mafanikio.
hiyo familiar nadhani itakuwa ndio anayotokea lifecoded
 
Fuatilia namna ya kuajili wataalamu wa intelligensia nchi zilizoendelea utakuta bioprofile data zao zinachekesha kama sio kuchanganya...

Utakuta baba yake kaandikwa kuwa ni mzawa wa Israel na mamake ni mzawa wa Australia ili iwe ngumu kumtrace zaidi..

ndo mana inakuwa ngumu sana kujua originality ya Intelligence officers...

fuatilia utakuja kunambia...

nasikia hata ikulu maalumu zimeanza kuwa na Artificial Intelligence officers..

Kwa mfano ikulu ya marekani inamshitukia sana mwanahabari wa CNN Abilio James "Jim" Acosta ambaye juzi kama sio jana kapigwa marufuku kuingia white house huku kwa kuwa na kibuli cha kubishana na jiwe( Trump) 😀 akiwa na nature ya kuwa clone...jamaa inasemekana ni clone na kapandikizwa pale white huse kuwa reporter wa CNN lakini inasemekana jamaa ni replica clone wa mtu ..

Na ukifuatilia uraia wake jamaa unashangaza mara baba yake sijui ni nani na mamake taifa gani ...

Aise wenzetu wapo level zingine kabsa sasa hivi...

Juzi juzi tu nchi ya tunisia imepewa Ma Intelligence officers kutoka Israel lakini inasemekana ni ma clone kabssa na lengo lao ni kuchota taarifa muhimu...
Ohppsss .. kichwa chote kizito "

nimekuelewa vyema mkuu " salute
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom