Nafahamu tunaweza kuwa na trait flani ambayo isijionyeshe kwa motto, ila inapotokea Professor akazaa mtoto taahira inaweza kushangaza pia au
lifecoded unasemaje kuhusu hili?!
ha ha ha ha inawezekana kabsa kuzaa au kupata mtoto taahira katika mazingira yote haijalishi nyumbani kwenu kuna natural history ya mental disorders among familiy members au laaa...
Lakini kuna study nyingi zimeshafanyika kuhusu kuzaaa watoto wenye mental disability huku wazazi wao wakiwa wazima kabsaa bila hata kuwa na family history ya ugonjwa huo.
kwa mfano mama anapokuwa na stress za kufaaa mtu wakati akiwa mjamzito anakuwa anazuia baadhi ya vichocheo( hormones) kusafirishwa kwenda kwa mtoto hasa vichocheo vinavyohusika na brain formation vinapokuwa haba kwa mtoto ,hapo mtoto lazima azaliwe na mental disorder flani..
Mama akiwa na depression( msongo wa mawazo) akiwa mjamzito lazima apate effects kubwa sana mtoto wake..
lakini pia inawezekana kabisa professor mzima akapata watoto taahira kama msomi huyu atapata mental disconfiguration akiwa mzima( namanisha akiwekwa kwenye mazingira ambayo yatachange au ku alter mental status yake ) hapo percent ya kupata mtoto taahira ni 25% .
Kwa hiyo Intelligence inabaki ni multifactorial continnum hasa katika inheritance yake..
Lakini haimanishi kuwa mtoto akiwa taahira tayari anakuwa na uwezo mdogo wa akili hapana..
kuna watu ni vichaaa lakini wana intelligence kubwa,inategemea na eneo gani kwenye ubongo( mind) limekuwa disfigured na enveronmental factors...
Intelligence ipo vice versa na mental disability...tena inasemekana kwamba kadri mtu anavyozidi kuwa na IQ kubwa ndipo anazidi kuwa na symptoms ( Dalili) za ukichaaa kuliko mtu anayejiheshimu zaidi!!
Fuatilia maisha ya akina Tesla,Isaac newton,Galileo Gallilei na Albert Einsten na wengine kibao ,yani maisha yao yalikuwa ni kujitengetenga na jamii na unakuta sometimes mambo ambayo jamaaa imekubaliana tusiyafanye wao ndo walikuwa wanayafanya na ndo mana walikuwa wanaonekana kituko simply because their sense of cognition ipo katika dimension kubwa sana kuanzia 6D huko kuliko Ng'ng'ona wengine wenye 2D recognition view..
Ndo mana unaweza uka asses intelligence spectrum range ya mtoto wako akiwa mdogo kabsaa...
Key factor ya kwanza ni mtoto kujitenga na wenzie..yani unakuta anapenda kucheza peke yake..ukiona hivyo jua mtoto wako ni bonge la genius wa kutupa usimwachanize mazingira yakamharibu..kaa naye makini sana.
Keys factor nyingine kudetermine mtoto wako ni intelligence ni utundu wa kutupa huku akiwa lonely muda mwingi hawa tunawaweka kwenye Autistic spectrum disorders japo study nyingi zinasema watoto watundu wanakuwa na IQ ndogo kwa sababu wanakosa concentration ya kusikiliza lakini 25% ya watoto ambao ni Autistic ( wana Autism) wana IQ kubwa sana...
Kwa hiyo intelligence bado inaonekana kuwa ni multifactorial continnum kabsaa...japo gene ndo zinabaki kuwa wahusika wakuu sana wa kuleta intelligence ya mtu..