Intelligence heredity: Je, uwezo wa akili hurithiwa?

Intelligence heredity: Je, uwezo wa akili hurithiwa?

Lakini mkuu lifecoded na wengine mniwie ladhi, nimeona watu wakichangia kuhusishwa watawala na akili nyingi au sijui IQ kubwa. Mi napinga sana dhana hii. Sio leo hata watawala wa zamani. Kama akili ni biological factor inauhusiano gani be haya mautawala/watawala au politics?!
Hata hii dhana aliyogusia lifecoded kuhusu cloning nakubali ipo lakini ku mclone mtu na kipata double yake sikubaliani na hili, kwa uelewa wangu mdogo, hata ma embryologist hawa jui process ya defferentiation during human or any life ina entail nini, wanafahamu gene paring in theory lakini process hawawezi kui control, sasa wanawezaje ku control making adouble of any body?! Embryo ni muungano wa sperm be ovum, ukute mama au baba wa huyo genius intended waliishafariki hawa kuhavest mayai yao leo wanayo product the said genius, how can they clone without sperm and ovum of origin?! Double ni copy ya the intended person tunayaona kwenye movie lakini sikubali hii kuwa possible scientifically.
Transplant za viungo zinawezekana kama facial na organ mbali mbali lakini sio complete human being from embryo to a full grown man. Sioni how this can possibly be, memory deletion is possible but how can they plant memory of a different person in another, does this mean brain in space kama computer unaweza kuogeza vitu?! Anyway maswali mengi naanza kujichanganya.
 
Hahaha hili swala la sorrogate mothers linaweza kulisha swali langu la taahira aliyebakwa na kuzaa mtoto mzima, sijui huyu mama ana mchango gani ikuwa embryology ikiishatokea kinachofuata ni mesenchymal cell differentiation mpaka kuzaliwa?! Vipi watoto wa chupa yaani IVF baby wanapata wapi vichocheo hivi kutengeneza brain zao ikiwa zaidi ya 6 weeks w ako nje mama?!
mkuu kwani watoto wa chupa IVF babies ndo wanakuwa katika muda wote wakiwa kwenye chupa..??

hapana..ni kwamba kwenye IVF tunachukua yai la mama ambalo limeovulatr kisha kulitoa kwa micropipete innoculation na kufanya external fertilization na sperm za mwanaume halafu tunaiweka ile zygote iliyopatikana kwenye incubator( Bottle) kwa muda wa siku kadhaa(7 days) badaye ndo tunaitransfer kwa mama mwingine( Surrogate) through micropipete injection kwa ajili ya kulea mimba ile huku akiwa anapewa hormones zinazohusika na ukuaji ( au anapewa hormones zitakazoubadilisha mwili wake uanze kutoa vichocheo vya kukuza mimba ile kama mimba zingine bila kujali kama ni product from external fertilization

Ni type ndogo sana katika cloning but its not cloning in such kwani hapa tunakuwa tumehusisha two different nuclei ili kupata desired product( baby)..
Sijui kama umenipata
 
Shukran mkuu, umeongelea factor mbali mbali zinaweza kuleta hayo matatizo ya vichocheo vya kulisha ubongo kukosekana na kuleta hizo mental disability. Na vipi haya ma chromosomal disorder, kama mutation na mengine kwenye hii inteligency issue. Sijui ni gene gani zina husika kutengeneza bongo zetu, lakini hii brain ina tokana na gene pairing during meiosis kama sikosei, na sayansi ya embriology haisemi ni nini au genes zipi zinaunda ubongo au sijui ndio akili, wao husema tu viungo mbali mbali hutengenezwa during differentiation ya mesenchymal sterm cells, humo ndimo hutokea deletions, invertion, translocation na mengine hadi tuna pata hayo ma disabilities mbalimbali.
Sasa swali langu, hivyo vichocheo sijui ni hormones au nini vinaweza kuponyesha chromosomal disorder kama vitazalishwa kwa wingi kuulisha ubongo ambao tayari una configuration defects/disconfigured au niseme ubongo ambao hau kukamilika una miss kitu, au kuna kitu zaidi ndani yake?! Could be mutational factors, Na je ubongo ulio kamilika kimuundo, lakini haukupata hivi vichocheo kabisa unaweza kufunction sawa?! Maana naanza kuchanganyikiwa ikiwa normal brain ndiyo akili au akili ni hivi vichocheo?! Sijui utanielewa maana hata mimi napotea sasa.
Na ndo mana tunasema Intelligence ni multifactorial governed continuum..inaweza ikaathiliwa na CPH4 akiwa mtoto ndani ya tumbo la mama yeke pamoja na Mutation za genes zinzohusika na transportation ya specific hormones kwa ajili ya utengenezaji wa specific neural transmitter..

Kwa hiyo mama anaweza zalisha CPH4 chemikali za kutosha lakini genes inayohusika na utengenezaji wa transporter ya chemikali hizo ikawa under mutation hence process nzimq kufell na kupelekea undesired product kutolewa...

Kwa hiyo everything in the body ni gene factor dependant na ndo mana wenzetu kupitia Nanotechnology wataweza kufikia sehemu ya kuscan kwanza DNA strand nzima kwanza ili kubaini abnormal genes mtu alizonazo kabla ya kumfanyia cloning(replical creation) ili huyo replica anayezalishwa asije kuwa ame inherit abnormal genes nae kama alivyo recipient wake( Kumbuka cloning unatoa the same au replical wa original being..

kwa Hiyo pengine human cloning ya baadae itaenda kutoa modifid replical compared na recipient ...kwa hiyo hence kupunguza chance ya inheritance ya bnormal genes kutoka kwa recipient kwenda kwa clone..

So effects ya gene mutation au chromosomal mutation alteration itaendelea kuwepo hata kwa replical kwa sababu kinachotoleqa ni of the same effects ..

halafu haimanishi kuwa mtu akipata gene alteration as well as mutation tayari Intelligence yake inakuwa ndogo. .hapana..inategemea na aina ya gene iliyopata hitilafu,kama gene inayohusika na transportation ya hizo amino acids specific with neural formation ndo imepata hitilafu hata replica nae atakuwa na abnormality vile vile...kikubwa hapa tunapaswa kuelewa kuwa ni gene ipi specific inahusika na Intelligence ?? sasa kumbuka ni multiple genes( Allele) penginr ndo zinagovern hiyo kitu ,ndo mana swala la intelligence linabaki kuwa ni gene factor dependent..
 
Nadhani hii ya cloning kafanyiwa pia Kanye West maana kichwa chake siku hizi pia ma star wa kubwa ni ma cloning ka kina Oprah nilisoma hizi habari za cloning zikanichaganya Ila ufafanuzi wako umenifunua akili
ni hatare sana ndugu...ulimwenguni unaenda mbio sana...ukitaka kufuatilia ujenzi wa project kubwa kubwa kama za madaraja makubwa zinasimamiwa na ma contractor ambao uwepo wao kama human being unaleta uatata kidogo( they dont feel human being ability to feel pain,emotion etc but they resemble with human being by color,race as well as interacting ideally with normal human being na hata ikitokea ndani ya ujenzi kuna hitilafu pengine daraje au jengo limeporomoka na kuua watu basi kupotea kwao mara nyingi serikali zao zinakuwa hazina hasara sana kwani inakuwa ni cloned replica ya wale maengineer wakubwa ambao wao wanakuwa wako huko majumbani kwao wakila raha tu. .

Inashangaza sana hii technologia..
 
ni hatare sana ndugu...ulimwenguni unaenda mbio sana...ukitaka kufuatilia ujenzi wa project kubwa kubwa kama za madaraja makubwa zinasimamiwa na ma contractor ambao uwepo wao kama human being unaleta uatata kidogo( they dont feel human being ability to feel pain,emotion etc but they resemble with human being by color,race as well as interacting ideally with normal human being na hata ikitokea ndani ya ujenzi kuna hitilafu pengine daraje au jengo limeporomoka na kuua watu basi kupotea kwao mara nyingi serikali zao zinakuwa hazina hasara sana kwani inakuwa ni cloned replica ya wale maengineer wakubwa ambao wao wanakuwa wako huko majumbani kwao wakila raha tu. .

Inashangaza sana hii technologia..
Kwa kweli ni hatari sana maana hyo cloning inakuwa ka si viumbe vya kikawaida vina nguvu zaidi yetu binadamu za kawaida. I think hii dunia sisi binadamu wa kawaida tunajua vtu limited sana, I think hata hizi technology zinagunduliwa na viumbe visivo vya kawaida.

Siku nyingine uanzishe mada ya aliens uko vzuri tu jifunze vzuri
 
Me naona analogy ya akili, ni sawa na kusema sigara zina sababisha kansa. Hatuwezi kusema sigara zinasababisha kansa moja kwa moja kuna watu wamevuta miaka nenda rudi na wapo poa, lakini sasa kuna wengine kweli chanzo cha kansa yao ni sigara!!! Kwa hyo hakuna jibu kamili

Akili siamini kama ni ya kurithi, mazingira unaweza ukapewa mazuri tu na bado ukawa lofa, na unaweza ukawa na mazingira mabaya tu na uwezo wako wa akili ukawa vizuri. Kwa hiyo siamini kama mazingira ni chanzo, na akili si za kurithi!!! Watu wanaweza pewa mazingira sawa ila mmoja akawa na akili kuliko mwenzake. Nina amini tuna akili sawa ila tunatofautiana u "sharp' wa akili. Kwa hyo hakuna jibu kamili
Okay nashukuru kwa mchango wako boss ila nimeambatanisha hapo tafiti za kisayansi zinazosema 50% ya akili za "mtu mzima" zimerithiwa kutoka kwa wazazi wake na zilizobaki ndio makuzi,mazingira,uzoefu,elimu,maarifa n.k je unazungumziaje hizo tafiti?? Umeona udhaifu wowote kwenye hayo maoni yao utushirikishe?.

Pia mkuu umegusia kuwa wanadamu tuna akili sawa ila twatofuatina u-sharp?? Je ushapu huo wa akili unapimwaje??

Karibu tuwekane sawa hapo
 
Lakini mkuu lifecoded na wengine mniwie ladhi, nimeona watu wakichangia kuhusishwa watawala na akili nyingi au sijui IQ kubwa. Mi napinga sana dhana hii. Sio leo hata watawala wa zamani. Kama akili ni biological factor inauhusiano gani be haya mautawala/watawala au politics?!
Hata hii dhana aliyogusia lifecoded kuhusu cloning nakubali ipo lakini ku mclone mtu na kipata double yake sikubaliani na hili, kwa uelewa wangu mdogo, hata ma embryologist hawa jui process ya defferentiation during human or any life ina entail nini, wanafahamu gene paring in theory lakini process hawawezi kui control, sasa wanawezaje ku control making adouble of any body?! Embryo ni muungano wa sperm be ovum, ukute mama au baba wa huyo genius intended waliishafariki hawa kuhavest mayai yao leo wanayo product the said genius, how can they clone without sperm and ovum of origin?! Double ni copy ya the intended person tunayaona kwenye movie lakini sikubali hii kuwa possible scientifically.
Transplant za viungo zinawezekana kama facial na organ mbali mbali lakini sio complete human being from embryo to a full grown man. Sioni how this can possibly be, memory deletion is possible but how can they plant memory of a different person in another, does this mean brain in space kama computer unaweza kuogeza vitu?! Anyway maswali mengi naanza kujichanganya.
sasa mkuu unapinga kuwa hili swala halipo....?

hivi umekalili njia ngapi za reproduction..??
kuna Asexual reproduction( Ambayo inahitaji cell husika moja tu) lakini pia kuna Sexual reproduction ambayo inahusisha two forms of cell kugenerate new cell au organism mwingine..refer hata biology ya o level ambayo kila mtu anafahamu au wew hukupiata hata hiyo. ? 🙂 🙂

Sasa kwenye human cloning kuna njia moja tunaita somatic cell transfer cloning ambapo hatuhitaji cell zinazohusika na reprodution ambazo ni kama sperm au ovum,..hapa tunahitaji somatic cell tu( cell inahusika na kitu au utengenezaji wa mwili tu na haihusiki na uzazi) kupitia hii cell ndipo mtu anapatikana..

Ndo mana ukisoma vizuri mwanzoni nilizungumza kuwa hawa jamaaa wanahitaji cell ya eneo lolote katika mwili wa binadamu na sio mbegu tu...hebu kagusie kwanza hata type za reproduction ambazo ni hata mtoto wa form 4 anafundishwa halafu ukimaliza ndo ule shule nzima ya how cloning inavyotokea..

Halafu unasahau kuwa mesenchyma differentiation ni gene guided process sasa kama jamaaa wanaifahamu gene inayoamuru hiyo differentiation watashindwaje sasa kumonitor process nzima..???

halafu ukiona process imeandikwa unknow au sijui its mechanism is unknown ujue inatumika kutoa product za kufa mtu ,naomba nikupe tu ukweli huo...

Hata haya magonjwa ambayo unakuta wanakwambia they have unknown origin jua kuwa hawataki kuweka wazi wenye ulimwengu huu...

Unataka waweke wazi ili iweje...? nchi za ulaya zitaendeshaje uchumi wake wakati product unazotumia zinatokana na hizo unknown scientifical results...!!
 
Maoni yako binafsi huwa uko upande gani mkuu ....

Mie nakubali nurture mkuu ,sijui ni Freud AMA nani alikuja na wazo kuwa tunazaliwa bila mental capabilities ,the world shapes us.....hata humu JF kuna watu tulianza nao miaka hiyooo walikua wanaanzisha topics za kijinga Ila the more they learn mambo mengi humu ndio wanaongeza knowledge na wote tunabaki kwenye Mstari 😂 😂 😂
 
Okay nashukuru kwa mchango wako boss ila nimeambatanisha hapo tafiti za kisayansi zinazosema 50% ya akili za "mtu mzima" zimerithiwa kutoka kwa wazazi wake na zilizobaki ndio makuzi,mazingira,uzoefu,elimu,maarifa n.k je unazungumziaje hizo tafiti?? Umeona udhaifu wowote kwenye hayo maoni yao utushirikishe?.

Pia mkuu umegusia kuwa wanadamu tuna akili sawa ila twatofuatina u-sharp?? Je ushapu huo wa akili unapimwaje??

Karibu tuwekane sawa hapo

Kuscore different kwenye IQ scale Kwangju ni Prove tosha Kuwa mazingira yanachangia sababu without environment tusingekuwa na small variability kwenye IQ scale,TUNGEKUA NA ONLY TWO differences;those who score high na those who scores low...kuna kitu nataka kuongea ila nashindwa...hope mmeelewa lol
 
Kuscore different kwenye IQ scale Kwangju ni Prove tosha Kuwa mazingira yanachangia sababu without environment tusingekuwa na small variability kwenye IQ scale,TUNGEKUA NA ONLY TWO differences;those who score high na those who scores low...kuna kitu nataka kuongea ila nashindwa...hope mmeelewa lol
mi nitapinga kwa nguvu zote kuwa Enveroment ndo imachangia kwa kiwango kikubwa kuliko genetics unless otherwise stated oposite..

Unajua intermidiate Intelligence inkuja kwa sababu ya Enveronmental factors kuliko Genetically zaidi...!
consider about Identical twins waliozaliwa pamoja ila wakalelewa katika mazingira tofauti pale unakuta Intelligent content huwa inapungua kidogo kulingna na mazingira subjected...

Sijui lakini kama unaelewa mchango wa genetic katika hili...

Everything is nothing without genetic bases ...

Inheritance bado inachukua nafasi kubwa snaa
 
mi nitapinga kwa nguvu zote kuwa Enveroment ndo imachangia kwa kiwango kikubwa kuliko genetics unless otherwise stated oposite..

Unajua intermidiate Intelligence inkuja kwa sababu ya Enveronmental factors kuliko Genetically zaidi...!
consider about Identical twins waliozaliwa pamoja ila wakalelewa katika mazingira tofauti pale unakuta Intelligent content huwa inapungua kidogo kulingna na mazingira subjected...

Sijui lakini kama unaelewa mchango wa genetic katika hili...

Everything is nothing without genetic bases ...

Inheritance bado inachukua nafasi kubwa snaa

Mkuu umejisoma lakini??unapinga environment inachangia at the same time unatoa mfano wa twins studies ,kuwa twins wanaoshare genetic makeup wanakuwa different kutokana na mazingira waliyolelewa,,,,

Mfano Wangu nilikua namaanisha Kama variables ziko mbili kuwa intelligent ama stupid,then ingekuwa ni nature peke yake Watu wangescore between these two scales , inter individual scores varies because there’s environmental influences,,mimi ndivyo ninavyodhani pia
 
Mkuu umejisoma lakini??unapinga environment inachangia at the same time unatoa mfano wa twins studies ,kuwa twins wanaoshare genetic makeup wanakuwa different kutokana na mazingira waliyolelewa,,,,

Mfano Wangu nilikua namaanisha Kama variables ziko mbili kuwa intelligent ama stupid,then ingekuwa ni nature peke yake Watu wangescore between these two scales , inter individual varies because there’s environmental influences,,mimi ndivyo ninavyodhani pia
sawa lakini ukiambiwa between genetic and enveronment iko wapi inaplay part kubwa sana kwenye ku alter intelligence ya mtu...?? wewe kama wew utasemaje hapo regardless tunaona kuwa Intelligence imekuwa guided na multifactorial continuum...??

ipi unaipa nafas kubwa...??
 
sawa lakini ukiambiwa between genetic and enveronment iko wapi inaplay part kubwa sana kwenye ku alter intelligence ya mtu...?? wewe kama wew utasemaje hapo regardless tunaona kuwa Intelligence imekuwa guided na multifactorial continuum...??

ipi unaipa nafas kubwa...??

Km unaniuliza nasimamia wapi nadhani nishasema pale juu kuwa mimi kwangu ni environment!kwangu mimi 60% ni mazingira na 40% ndio kurithi ...msemo wa mtaani ‘’Kuishi bongo[Dar] ni chuo tosha ‘’ kwa nini wanasema hivyo?heheee
 
Km unaniuliza nasimamia wapi nadhani nishasema pale juu kuwa mimi kwangu ni environment!kwangu mimi 60% ni mazingira na 40% ndio kurithi ...msemo wa mtaani ‘’Kuishi bongo[Dar] ni chuo tosha ‘’ kwa nini wanasema hivyo?heheee
ha ha ha sawa mkuu mimi binafsi nasimamia kwenye genetics kuwa na influence kubwa sana kuliko enveronment na ningeipa 60% genetocally zaidi na enveronment nikaipa 40% ...

lakini pia pitia hapa napo https://www.psychologytoday.com/us/...errer=https://www.google.com&amp_tf=From %1$s
 
Na ndo mana tunasema Intelligence ni multifactorial governed continuum..inaweza ikaathiliwa na CPH4 akiwa mtoto ndani ya tumbo la mama yeke pamoja na Mutation za genes zinzohusika na transportation ya specific hormones kwa ajili ya utengenezaji wa specific neural transmitter..

Kwa hiyo mama anaweza zalisha CPH4 chemikali za kutosha lakini genes inayohusika na utengenezaji wa transporter ya chemikali hizo ikawa under mutation hence process nzimq kufell na kupelekea undesired product kutolewa...

Kwa hiyo everything in the body ni gene factor dependant na ndo mana wenzetu kupitia Nanotechnology wataweza kufikia sehemu ya kuscan kwanza DNA strand nzima kwanza ili kubaini abnormal genes mtu alizonazo kabla ya kumfanyia cloning(replical creation) ili huyo replica anayezalishwa asije kuwa ame inherit abnormal genes nae kama alivyo recipient wake( Kumbuka cloning unatoa the same au replical wa original being..

kwa Hiyo pengine human cloning ya baadae itaenda kutoa modifid replical compared na recipient ...kwa hiyo hence kupunguza chance ya inheritance ya bnormal genes kutoka kwa recipient kwenda kwa clone..

So effects ya gene mutation au chromosomal mutation alteration itaendelea kuwepo hata kwa replical kwa sababu kinachotoleqa ni of the same effects ..

halafu haimanishi kuwa mtu akipata gene alteration as well as mutation tayari Intelligence yake inakuwa ndogo. .hapana..inategemea na aina ya gene iliyopata hitilafu,kama gene inayohusika na transportation ya hizo amino acids specific with neural formation ndo imepata hitilafu hata replica nae atakuwa na abnormality vile vile...kikubwa hapa tunapaswa kuelewa kuwa ni gene ipi specific inahusika na Intelligence ?? sasa kumbuka ni multiple genes( Allele) penginr ndo zinagovern hiyo kitu ,ndo mana swala la intelligence linabaki kuwa ni gene factor dependent..
Asante mkuu naomba nielewe au tuelewe pamoja chromosome ina elles ambazo ndio location ambamo ndio genes hukaa, na sijui nachanganya au napotea, DNA strand iko ndani ya genes au DNA strand ina harbour chromosome?! Nilikuwa nadhani genes ndio DNA stand lakini ulivyoeleza nikaanza kupotea. Gene inayotengeneza hizi neural transmitter ikiathirika ubongo unakosa virutubisho,Lakini niliuliza ubongo ambao una unakasoro kimuundo ukipata hizi CPH4 unaweza kufunction normal?! Kwa hiyo akili ni hizi CPH4 au napotea mkuu?! Au Neuro transmitters(synapses) zikiwa nyingi na akili inakuwa kubwa au ni uwezo wa synapses ku transmitt hizo chemical through ndizo zina determine akili?! Mi nilidhani kama ilivyo kwa kidney kwamba binadamu wote tuna idadi sawa ya nephrones kwenye kidney, hivyo hivyo kwenye brain tuna idadi sawa ya neurons, kwamba huu uwezo tofauti wa kuelewa inatokana na training exposure ya individual aliyoipata kutokana malezi. Kwamba kama ulipata trainibg nzuri utaelewa sana, kwa maana nyingine mazingira yana form understanding ya mtu kwa vitu regardless of their genetical makeup zao. Maana magenious wako kila sehemu na kada tofauti, huoni hii issue ya akili sio genetical bali ni ya kimazingira mtu uliyokuwa subjected in your early year of your growth?! Hivi mzee wa miaka 60 genius unaweza kumtrain kitu kipya kigumu na akaelewa na kukimaster kama mtoto mdogo?!
 
Asante mkuu naomba nielewe au tuelewe pamoja chromosome ina elles ambazo ndio location ambamo ndio genes hukaa, na sijui nachanganya au napotea, DNA strand iko ndani ya genes au DNA strand ina harbour chromosome?! Nilikuwa nadhani genes ndio DNA stand lakini ulivyoeleza nikaanza kupotea. Gene inayotengeneza hizi neural transmitter ikiathirika ubongo unakosa virutubisho,Lakini niliuliza ubongo ambao una unakasoro kimuundo ukipata hizi CPH4 unaweza kufunction normal?! Kwa hiyo akili ni hizi CPH4 au napotea mkuu?! Au Neuro transmitters(synapses) zikiwa nyingi na akili inakuwa kubwa au ni uwezo wa synapses ku transmitt hizo chemical through ndizo zina determine akili?! Mi nilidhani kama ilivyo kwa kidney kwamba binadamu wote tuna idadi sawa ya nephrones kwenye kidney, hivyo hivyo kwenye brain tuna idadi sawa ya neurons, kwamba huu uwezo tofauti wa kuelewa inatokana na training exposure ya individual aliyoipata kutokana malezi. Kwamba kama ulipata trainibg nzuri utaelewa sana, kwa maana nyingine mazingira yana form understanding ya mtu kwa vitu regardless of their genetical makeup zao. Maana magenious wako kila sehemu na kada tofauti, huoni hii issue ya akili sio genetical bali ni ya kimazingira mtu uliyokuwa subjected in your early year of your growth?! Hivi mzee wa miaka 60 genius unaweza kumtrain kitu kipya kigumu na akaelewa na kukimaster kama mtoto mdogo?!
mkuu naomba ieleweke kuwa ubongo hauwezi kuwa normal bila ya hizo genes zinazocontrol formation yake..na ndo mana tunasema kuwa kama kwenye genes zinazohusika na utenegenezaji wa hizo neural circuit manake formation ya ubongo inakwua inakosa vitu flani hence intelligence yake kuwa low..

Ukija kwenye effects ya enveronment ni kweli kuna mchango upo mkubwa tu na kuna study zimeshafika kucompare mchango wa Genetics na enveronment katika Intelligence lakini results nyingi zinaungukia kwa difference ya 60 kwa 40 genetically and as well as enveronment respectively ...lakini pia kuna study nyingi pia zinaonesha kuwa utofauti katika mchango ni 50% by 50% kwa kila mmoja...

lakini wataaalamu wa neural na psychology wakabaki kwenye 60 kwa 40 geneitically na enveronment respectively...

ndo mana study nyingi za kucompare effects hizi zinafanyika katika ifentical twins zaidi ili kujua kujua mchango wa enveronment...

Kwa mfano ukizaaa identical twins kisha kuwa seperate mazingira kwa miaka 10 ukija kupima IQ yao utakuta ina tofautian kwa 20% percent huku yule ambaye kabaki na wazazi wake akiwa na IQ lets say 140 na yule aliyekaa na shangazi yake mikoa mingine au nchi zingine ana IQ ya 120 hapo ndipo mchango wa enveronment umeonekana lakini haujaaffect borderline content..

Japo umewatofautisha mazingira lakini wataendelea kuwa na IQ kubwa tu na sio kuwa mmoja atabaki kuwa mbumhumbu wakati wazazi wao genetically wana IQ kubwa ..mkwa hiyo urithi bado unaplay party kubwa snaa kwenye hili...

Labda kitu ambacho unaweza ukawa umebase zaidi ni utofauti wa elimu watakazo pata hao twins (wawili)..kinachofautisha ni Knowlege watakayopata ka mmoja kulingana na mazingira .

Manake nini ,mtoto ambay atapelekwa shule nzuri atakuwa na knowlege kubwa kuliko yule aliyepelekwa mazingira magumu ampapo elimu ya kutosha haipo na anaweza akascore low ..

compare watoto wa Feza boys and gils school na shule za kata ..tofauti ni mazingira tu ndo mana Knowlege inakuwa ni tofauto ila Intellegence inaathirika kwa kiwango kidogo na ndo mana mtoto yule yule wa saint kayumba akipelekwa Feza anaenda kupasua vizuri kama Intelligence yake iko juu...remember its Inborn ability ..


Mi binafsi naweza nikasema kuwa mazingira yanaaffects zaidi knowlege lests say by 90% lakiji yanaaffects intelligence by less than 40% ...
 
ha ha ha sawa mkuu mimi binafsi nasimamia kwenye genetics kuwa na influence kubwa sana kuliko enveronment na ningeipa 60% genetocally zaidi na enveronment nikaipa 40% ...

lakini pia pitia hapa napo https://www.psychologytoday.com/us/blog/under-the-influence/201204/intelligence-is-not-just-genetic?amp#referrer=https://www.google.com&amp_tf=From %1$s

Haya mkuu nikipata muda nitakutafutia why environmental factors matters Ila for now huo mtandao uliotoa hauna credibility saaana as una opinions instead of facts ...ingia Psych info 😂, second km umeisoma yote inakubali environmental factors zinachangia as ukiwaweka watoto intelligent kwenye stimulated convo ndivyo unavyokuza uwezo wao sasa huonii umuhimu wa mazingira mpaka sasa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom