Instagram inatajirisha sana wadada wajanja. kwa biashara ya Niagize China nikununulie mzigo wako. Wadada wa 2000 wamepindua meza ya kupiga hela

Kwanini hujiulizi ni WADADA tu na SIO VIJANA WA KIUME?

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Hawajui KUJIBRAND.

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app
 
Kwanini hujiulizi ni WADADA tu na SIO VIJANA WA KIUME?

Sent from my TECNO BE6 using JamiiForums mobile app

sababu wanaopenda kuagiza vitu kupitia watu ni wanawake. wanawake wagumu sana kumtumia hela mwanaume awanunulie vitu maana wanajua wanaume ni matapeli. ila kwa wanawake wenzao wanawatumia hela maana wanajua wanawamudu . hii ndio mbinu ya hawa wadada kupiga hela. ni hela za wanawake wenzao
 
Uaminifu ndio mtaji mkubwa sn muanzilishi wa mwanzo wa hyo niagize china ni faiza ally lakini baada kupata shutuma kwa wateja wake sasa hv wamemkimbia
Yani Iran na mashia wanawatukana na kuwadhalilisha maswahaba. Iran na mashia wanamuita mke wa mtume Muhammad SAW kahaba. Halafu umma wa uislamu tumekaa tu kimya???
 
GSM ni wanaume wanaifanya sana hii biashara in large scale. ndio source mojawapo ya utajiri wao
Mtoa mada huelewi hata source ya utajiri wa GSM.
Home Shopping Center. ilikuwa kampuni kinara wa kuingiza mizigo mingi hapa Tanzania Bila kulipa ushuru.
Source ya utajiri wao hao GSM formerly HSC ni kukwepa kulipa kodi za serikali pamoja na biashara ya Meno ya tembo akishirikiana na JK wakati akiwa No 1
 
Duh!
 
Mzee pamoja na kwamba ni kweli kuna mwamko wa kina dada kujiongeza huko china kama unavyosema Lakin aisee wanapigwa mno. Yaan mpaka unawaonea huruma. Mapopo wanawapiga sana aisee. Wakifika huko wanaish yale maisha kama ya wadada wa kona bar. Ingawaje pia kidogo siku hiz na kaz wanapiga tofauti na huko nyuma. Kikubwa usimruhusu mkeo kusafiri bila wewe aisee. Laiti ungejua kinachofanyika huko ungekufa na pressure.
 
Tukuambie au Tukuache Mtoa mada kwa Taarifa yako hapo kuna aliyetajirika na unga kwa kupitia hicho kigezo cha kuleta hyo mizigo ya china na hata mtaji ni wa madawa
Umenena vyema, hiyo Ndiyo sababu kuu ya utajiri wa ghafla ya hao mabinti. Yuko mmoja akifungwa na mumewe nadhani jina lake anaitwa Shamim Mwasha. Kucha kutwa alikuwa anawananga mabinti we zake humu mitandaoni kuwa ni wavivu, hawajitumi, hawafanyi kazi nk nk. Mara Pwaaa kanaswa na madawa ya kulevya. Sasa anasota gerezani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…