Ingekuwa wewe, ungemshauri nini hapa?

Ingekuwa wewe, ungemshauri nini hapa?

Wanaume hatusamehi kizembe, na tukisamehe hatusahau. That's how we programmed.
Kwanini mnakuwa na mioyo migumu hivyo while na ninyi mnasaliti na tunasamehe vizuri tu.!!
 
Unajua kuna ile unafanya kosa na unaona kabisa nafsi inakuhukumu na unatamani kuutua ule mzigo..!!
Sio lazima ufanye hvyo na wala hakuna umuhim kama bado unahtaji kuendelea kuwa nae, haumhitaji tena ndio maana imekua rahisi kufanya hvyo
 
Feeling guilty, kuomba msamaha na kuhofia kurudia tena kosa ni sawa na kuomba msamaha na kuendelea kufanya kosa.
Ndo maana anataka kuondoka ila jamaa ndo haelewi hilo.!!
 
Ukiona mwanamke anakwambia kuwa kacheat na hujamuuliza wala kudoubt jua kuwa Kanogewa na aliemkulaaa... Yani haoni shida kukupoteza...!! Na huyo dada akikubali kudate na jamaa ake tena walahi atamfanyia kitu mbaya sanaa.. Wanaume visasi ndo zetu
Ashukuru amepata mwanaume ambaye anaweza kuzuia hasira zake ingekuwa wengine angepigwa mda huo anaongea ujinga huo yaani huyo bibie haugopi kifo.
 
Mungu kasema... Isipokua kwa uasherati tu... Ila mengine waweza samehe,... Sasa kama Mungu kanisemea tayar, mimi ni nani nimpinge Mungu? Hakuna msamaha wa hilo,... Bali unafki wa kisasi upo,...
Mkuu hujawahi ku cheat maishani mwako??
 
Sio lazima ufanye hvyo na wala hakuna umuhim kama bado unahtaji kuendelea kuwa nae, haumhitaji tena ndio maana imekua rahisi kufanya hvyo
Mfano mzuri ni mimi naweza mkosea Mama kitu, ila nitakosa amani mpaka nimuambie ukweli aniseeeme ndo hapo sasa naona nimekuwa responsible kwa nilichokosea.!!
 
Mfano mzuri ni mimi naweza mkosea Mama kitu, ila nitakosa amani mpaka nimuambie ukweli aniseeeme ndo hapo sasa naona nimekuwa responsible kwa nilichokosea.!!
Mfano wako hauendani na tunachojadili hapa, mama sio sawa na mpenz wako hawana hadhi sawa na treatment zao n tofauti kabisa. Iko hivi ukiona umeweza kumwambia ukweli ujue basi hauna nia na uwezi kuacha tabia uliyoianza ya usaliti, ingekua unaweza kuiacha usingemwambia kwa sababu unajua fika ukiacha hatokuja kujua na ndio maana moya wako unafukuta
 
Back
Top Bottom