Ingekuwa wewe, ungemshauri nini hapa?

Ingekuwa wewe, ungemshauri nini hapa?

Kosa alilofanya ni kukiri makosa.... Jamani ukichepuka na hujafumaniwa ni marufuku kukiri makosa, komaa hujafanya chochote mwanzo mwisho kitendo cha kukubali hilo ni kaburi lako umejichimbia mwenyewe...

Hapo kwa kweli aishi na huyo boyfriend wake kwa akili lolote laweza kutokea
Ni kweli kakosea ila hakuna maisha magumu kama kuishi kwa ku pretend hakyamama, kila neno unalotamka nafsi inakuambia 'you are liar'..,!!
 
Uyo mwanamke ana matatizo Kama sio mnafiki basi kaambukizwa maradhi katafuta gear sababu alikuwa anawapa sana wapolo.
Mnafki tena na kamuambia bf wake ukweli kuwa ka cheat??
 
Tena hata ikifumaniwa, singizia pombe banaa, au hata bangi... Huku ukishikilia kuwa hujagegedana.... KUKIRI JAMBO HILO KUNAGHARIMU... kila kosa utakalofanya baada ya hapo LAZIMA UTAKUMBUSHWA ULICHOKIRI HADI MWISHO WA MAISHA YAKO
Hivyo mnatufunza tusiwe wakweli??
 
Mwanaume ni kama jaji au hakimu, ukikiri kosa mbele yake hakumfanyi akupende zaidi, anakuchoronga miaka gerezani mbaa!
Mwanamke kataa, hata akikwambia aliyemwambia kuwa unachepuka ni mamake, mwambie na mimi nikianza kukueleza ya mamako utaachana nae? Au kwakuwa ni mimi ndio unaninyanyasa( anza kulia).
Mwanamke, kataa kuwa mkaa.
Unashauri tukatae kuwa majivu siyo??😀😀
 
Waachane tu hamna msamaha wa dhati hapo,hata wasipoachana Sasa huko mbele wataachana tu.
Ni kosa kukubali usaliti pasipokuwa na kidhibiti
Mwanaume ndo anakataa waachane imagine.!!
 
Mungu mwenyewe na moyo wake mwema "hawezi kumsamehe shetwani"

Ukweli mwanaume mimi siwezi kumsamehe mwanamke msaliti ila naweza kuendelea kuwa nae kwa sababu maalumu.
 
Kama umekiri kosa mwenyewe bila mimi kufanya jitihada za kutafuta ushahidi, na nikaona nafsi inavyokusuta kwa kufanya kosa hilo, ninaweza kukusamehe na tukaendelea na mipango yetu.

Ila kama ulifanya sex na mtu wetu wa karibu ambaye mimi na wewe tunafahamiana, hapo nitasamehe ila sitaendeleza mahusiano!
Wanaume wenye hii mioyo bado wapo duniani kumbe??
 
Mungu kasema... Isipokua kwa uasherati tu... Ila mengine waweza samehe,... Sasa kama Mungu kanisemea tayar, mimi ni nani nimpinge Mungu? Hakuna msamaha wa hilo,... Bali unafki wa kisasi upo,...
 
Sasa nayeye alimwambia yanini kama anampenda na kumuheshimu??? Au alijua yupo kwenye maungamo kusamehewa ni hiari ya mtu anaweza kuaminisha ivi kumbe ni tofauti kabisa na ukweli wake moyoni na ndio maana huyo bidada haamini
Unajua kuna ile unafanya kosa na unaona kabisa nafsi inakuhukumu na unatamani kuutua ule mzigo..!!
 
Mpendwa sio kila ukweli ni wakusemwa hasa katika mahusiano vingine unakufa na siri yako moyoni ili kuzuia matatizo.
Ukiona mwanamke anakwambia kuwa kacheat na hujamuuliza wala kudoubt jua kuwa Kanogewa na aliemkulaaa... Yani haoni shida kukupoteza...!! Na huyo dada akikubali kudate na jamaa ake tena walahi atamfanyia kitu mbaya sanaa.. Wanaume visasi ndo zetu
 
Back
Top Bottom