Inawezekana x kuwa marafiki tena?

Inawezekana x kuwa marafiki tena?

Mkuu mimi hiki kichwa kikubwa juu ya shingo yangu kinawenge kinyama, kwaio masuala ya kuanza na x uje y urudi x unirudishe tena y utakua umeniacha nakumbuka x ya kwanza tu, kimfano hapa tayar nshasahau vyote kichwa kimejaa x na y tu. Bora ungeweka majina ya kufikirika mfn bashite na yule mkaza vyuma.
 
Kiufupi bado wanapendana tena sana. Huyo x kwenda kuomba urafiki maana yake bado anamuhitaji kuwa naye karibu na huyo y kukubali urafiki bado anampenda sana x. Kama umuhitaji ukaribu wa nini? Kama hampendi na alijiapiza hataki hata kumuona kilichomrudisha sasa ni kipi kama si upendo ambao wote wawili hawajielewi...

Marafiki wa kawaida hata mawasiliano yao ni ya kawaida sio kila siku...
 
Ndo maaana!
Hata my wangu nilieachana nae analazimisha tuwe marafiki wakati mimi nina mwanamke mwingineeee!
 
We ndyo unaomba ushaur

Najuaa ata wewe unampendaa..
 
Back
Top Bottom