The Donchop
JF-Expert Member
- Jan 10, 2014
- 294
- 376
Habari wanajamii? Kuna mtu aliniomba ushauri nikaona si vibaya kuja mbele yenu magwiji wa ushauri.
Ishu ipo hivi, x ambaye ni mkaka walikuwa wapenzi kwa takribani miaka mi3 na y ambaye ni mdada. X alimwacha y pasipo na sababu za msingi. Y alilia na kujaribu kuomba msamaha alipokosea. X alimjibu kuwa ye amemchoka tu Ila hajakosewa. Ndipo ikamlazimu y kuendelea na maisha yake baada ya x kumwambia kuwa hataki kumuona wala kumsikia.
Baada ya muda, kama miezi miwili, x alimpigia simu y. Hakua na la maana la kusema zaidi ya salamu. Ikawa ni tabia endelevu. Y akamuuliza x unakuaje? X akamjibu kuwa they can be good friends na akaahidi kutomkosea tena. Na cha ajabu x anadai amepata girl lakini y akimuita aje amsaidie ishu zake yupo radhi kushinda na y siku nzima na hata wikend aliahidi ataenda kwa y.
Y yupo confused kwamba haelewi lengo la x.
Ishu ipo hivi, x ambaye ni mkaka walikuwa wapenzi kwa takribani miaka mi3 na y ambaye ni mdada. X alimwacha y pasipo na sababu za msingi. Y alilia na kujaribu kuomba msamaha alipokosea. X alimjibu kuwa ye amemchoka tu Ila hajakosewa. Ndipo ikamlazimu y kuendelea na maisha yake baada ya x kumwambia kuwa hataki kumuona wala kumsikia.
Baada ya muda, kama miezi miwili, x alimpigia simu y. Hakua na la maana la kusema zaidi ya salamu. Ikawa ni tabia endelevu. Y akamuuliza x unakuaje? X akamjibu kuwa they can be good friends na akaahidi kutomkosea tena. Na cha ajabu x anadai amepata girl lakini y akimuita aje amsaidie ishu zake yupo radhi kushinda na y siku nzima na hata wikend aliahidi ataenda kwa y.
Y yupo confused kwamba haelewi lengo la x.