Inawezekana kuwa na demokrasia na chaguzi za kidemokrasia bila ya kuwa na vyama vya siasa?

Lycaon pictus

JF-Expert Member
Jan 31, 2021
7,238
12,751
Habarini za asubuhi. Kwanza mimi si muumini wa demokrasia. Demokrasia ni mfumo wa ovyo sana. Na mfumo wa ovyo zaidi ni demokrasia ya vyama vingi.

Demokrasia ya vyama vingi ni vurugu sana na ina gawa nchi. Hata Marekani yenyewe inayodaiwa kukomaa kidemokrasia imegawanyika sana kutokana na demokrasia ya mtindo huu. nchi nzima imekuwa kambi mbili zinazokinzana.

Hivi haiwezekani kuwa na demokrasia na uchaguzi wa kidemokrasia bila ya kuwa na vyama vya siasa? Yaani tuban vyama vyote vya siasa.

Anayetaka kugombea na agombee, yaani wagombea wote wawe kama wagombea binafsi. Haliwezekani hilo? Si ni bora kuliko demokrasia ya vyama vingi?
 
Habarini za asubuhi. Kwanza mimi si muumini wa demokrasia. Demokrasia ni mfumo wa ovyo sana. Na mfumo wa ovyo zaidi ni demokrasia ya vyama vingi.

Demokrasia ya vyama vingi ni vurugu sana na ina gawa nchi. Hata Marekani yenyewe inayodaiwa kukomaa kidemokrasia imegawanyika sana kutokana na demokrasia ya mtindo huu. nchi nzima imekuwa kambi mbili zinazokinzana.

Hivi haiwezekani kuwa na demokrasia na uchaguzi wa kidemokrasia bila ya kuwa na vyama vya siasa? Yaani tuban vyama vyote vya siasa.

Anayetaka kugombea na agombee, yaani wagombea wote wawe kama wagombea binafsi. Haliwezekani hilo? Si ni bora kuliko demokrasia ya vyama vingi?
Naunga mkono hoja, na hii ndio ilikuwa dhima ya ibara ya 6 na 21 ya katiba yetu ya JMT ya mwaka 1977, kila Mtanzania awe na haki ya kuchagua na kuchaguliwa, bila huu ujinga wa vyama!. Sheria ya Uchaguzi ni mbovu! Kuendelea kuitumia sio Ujinga? Kuwabebesha masikini gharama za Uchaguzi sio Dhambi? na Kinondoni na Siha, tusikubali ujinga huu! hata Mwl. Nyerere alikataa ujinga wa CCM, 1995 akachagua upinzani!

P
 
Back
Top Bottom