Agent-47
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 783
- 2,780
Majiji yote yalisimama. Hakukuwa na biashara yoyote ya maana, kuanzia maduka, usafiri na kumbi za starehe. Loss kubwa kwa MO29 ilitokana na kuzima internet, lakini D9 kila kitu kilikuwa paralyzed.
Upo uwezekano mkubwa sana ya kwamba serikali imepoteza mapato mengi sana jana kuliko kwenye MO29. Ikiendelea hivi, Wataweza kumudu na kupata pesa za mishahara ya wafanyakazi?
Na mechi bado haijaanza. Mpira ndo umeletwa kati, timu zimemaliza kuimba nyimbo za taifa, wachezaji wanajaribu kupeana mawaiza na kupiga picha za ukumbusho. Namuona kapteni wa hii timu ya mboga mboga, Bi Samuya amevua jezi na anarudi kwenye dressing room. Namna gani….
Upo uwezekano mkubwa sana ya kwamba serikali imepoteza mapato mengi sana jana kuliko kwenye MO29. Ikiendelea hivi, Wataweza kumudu na kupata pesa za mishahara ya wafanyakazi?
Na mechi bado haijaanza. Mpira ndo umeletwa kati, timu zimemaliza kuimba nyimbo za taifa, wachezaji wanajaribu kupeana mawaiza na kupiga picha za ukumbusho. Namuona kapteni wa hii timu ya mboga mboga, Bi Samuya amevua jezi na anarudi kwenye dressing room. Namna gani….