kalisheshe
JF-Expert Member
- Mar 19, 2020
- 1,865
- 3,485
- Thread starter
- #141
Ni pm kama huamininyooooo eti unasifiwa... shwainnn unaibiwa wewe!!
Ni pm kama huamininyooooo eti unasifiwa... shwainnn unaibiwa wewe!!
Muache kama hapendi moto wako wachana nae atafute wanao mfikisha kunakoHabari wakuu.
Pamoja na umwamba wangu katika mapenzi. Nimekutana na binti mmoja ambaye tumekutana kimwili Mara 4. Leo kanichana wazi baada ya mchezo kuwa simridhishi na hajawahi kuridhishwa na mwanaume yeyote.
Nimebaki njia Panda sijui cha kufanya. Natamani nimuache ila naona sio solution nzuri
Naombeni msaada wenu
😂 aisee una stress hebu cool down kidogo.Wanawake wote nilokua nao walikua wananisifia sana
Kwahiyo ulitaka usiwaridhishe wote ili isikuume? Binafsi sipendi kumridhisha kila mwanamke, wengine wanichune tu waende zao , Lakini kama unataka uwe mwanaume wake wa kwanza kumridhisha fanya hivi,kunywa kokoa/kakao iliyokolea (nzito) utamsugua Kama hatakojoa msugue na dole gumba la mguu wa kuliaKinachoniuma Ni kwanini wengine nawaridhisha!
Hilo litakuwa limeshaota sugu😂😂Hadi katerero pia haridhiki? Ah itakuwa sugu ni balaaa...
Wewe pia unaongopa sio, mnadanganya ili iweje lakini wakati mnapiga kelelele chumba kizima sauti ni yako mpaka hotel nzima shughuli zinasimama kwa mahaba halafu baadae unasema huridhishwi
Sent using Jamii Forums mobile app
Saa unaumia nini?,tatizo liko kwake siyo kwako..Habari wakuu.
Pamoja na umwamba wangu katika mapenzi. Nimekutana na binti mmoja ambaye tumekutana kimwili Mara 4. Leo kanichana wazi baada ya mchezo kuwa simridhishi na hajawahi kuridhishwa na mwanaume yeyote.
Nimebaki njia Panda sijui cha kufanya. Natamani nimuache ila naona sio solution nzuri
Naombeni msaada wenu
I think soSaa unaumia nini?,tatizo liko kwake siyo kwako..
Kwani unahakikisha anakojoa?Kinachoniuma Ni kwanini wengine nawaridhisha!
.Sijui kwakweli AWEKE PICHA
Walikuwa wanakudanganya ......
NdioKwani unahakikisha anakojoa?
mom ni wee umeandika au?Comments nyingi zinamnanga huyo mwanamke.
Jamani mna uhakika gani kama mtoa mada hana hatia katika hilo.?
Sasa kama mtu hajui kumkuna mwanamke mwanamke aridhike tu?
Kama mtu anatumia dakk mbili tu wazungu hao mwanamke aridhike tu?
Kama mtu hajui kumwandaa mwanamke mwanamke aridhike tu?
Mtoa mada kaa kwa kutulia kajifunze mapenzi umridhishe mpenzi wako. Paka hata vumbi la kongo.
Sasa kama amekutana na hao hao? Kwani hujui unaweza kukutana na wanaume watatu na wote wakawa hawajui kitu?