Odhiambo cairo
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 15,989
- 22,057
Hapo sawa. Mtu akijiona wa maana. Mpotezee , mwisho akili zinamrudia .Toka Jana sijamtafuta
Naona anahangaika kutuma sms
Na kupiga simu
Wala we si wa kwanza kuambiwa hivyo. Hawa jamaa wanajua silaha yao ni huo uchi wao. Wakati wewe unazo silaha kibao