Mbona mashirika yote yamekufa mengi sana toka enzi ya Nyerere, Mwinyim, Mkapa na Kikwete? na Mwinyi ndiyo kabisa aliamuwa shirika lolote lisiloweza kuijinedesha lenyewe halitopewa ruzuku tena na Serikali, matokeo si unayajuwa au mpaka tuchambuwe?
Haya yaliyobaki mpaka hii leo yamejitahidi sana.
Huo uongozi wa TTCL ni mbovu kabisa si shirika la kufa lile kwa miuondombinu waliokuwa nayo, tazama attakaelinunuwa utaona linavyoshamiri.
Lakini ndiyo mashirika uya umma yalivyo kama halina ruzuku hayawezi kujiendesha, watu wanaiba tu mtindo mmoja.