Dah shirika letu
Who contemplates... LOL!It only makes sense to those who contemplate, I don't think you are among them.
Kwa nn unasubiri mpaka watoke ndipo unaanza kulaumu? Wakati huo ulikuwa wapi?Nyinyi laumuni wote wengine lakini mimi. Nalia na Kikwete tu!! Vitu hiv ameviruhusu viendelee ktk awamu yake yote, ukimuoji kuhusu hili ataanza tu kucheka Cheka, Inatia huruma sana!! Inauma sana kugawa malalio yetu kama njugu mjomba!!
MKuu huo ndio ukweli,
1. wlaitumia leseni ya TTCL.
2. walitumia Miundo mbinu(Minara ya TTCL) kufunga redio na mitambo ya mwanzo, japo kwa sasa baaadhi ya sehemu wamejitoa.
3. Kumbuka makao makuu yao ilikuwa pale Airtel kijitonyama kabla Rostam ajala shavu na kuwajengea pale Ambaosdor kwenye hotel ya wazazi CCM.
Kila tunaoita 'uongozi' wa nchi hii unafuja kwa njia yake, hamna mwenye nafuu, si waliopita, si waliopo sasa. Nchi haitaendelea kamwe.Kwa nn unasubiri mpaka watoke ndipo unaanza kulaumu? Wakati huo ulikuwa wapi?