Gasy wa Ukweli
JF-Expert Member
- Nov 7, 2010
- 397
- 201
Nadhani lile wazo wabunge wa Upinzani MIKATABA yote ya Serikali au Taasisi za umma zijadiliwe Bunguni kwanza ndo litakuwa suluhisho kwa tatizo la Mikataba mibovu. TTCL ilitakiwa iwe kimbilio kwa watu wa chini.