chivala
JF-Expert Member
- Apr 13, 2021
- 772
- 2,333
MAKABURI ya Mbagala hayakuvunjwa, yalichimbuliwa na ndugu na walilipwa na serikali ili kupisha Barabara ya Kilwa Road na mabaki yakaenda kuzikwa tena huko Tuangoma.Hata Ilala na Mbagala makaburi yalivunjwa kupisha upanuzi wa barabara