INASIKITISHA: Makaburi Kinondoni yanavunjwa makusudi ili ipatikane nafasi ya kuzikia

Mi nauliza kitakachofuata hv ni nini maana watu wanaongezeka na ardhi inazidi kupungua.......hatutokuja kuwaunga mkono wale wanaochomana moto kweli?
 
Mkuu Mubarridi unaonaje ukijijibu wewe mwenye ujinga wako, na iwe faida kwako, ili ubaki na ID yako?
Yaani kuhusu tamko "kuabudu" mimi nakufundisha wewe sababu umekosea kulitumia. Kwa ufupi huju maana ya kuabudu.

Mpaka nikasema hivyo najua hujui. Sasa jibu swali nililo kuuliza.

Haya matatizo wengi humu nikijadiliana nao wanatumia maneno kibubusa yaani wanapotosha maana na ni sababu hamsomi waa kufanya utafiti.

Sasa someni vijana muache ujuaji wa kijinga na kupoteza muda. Swali dogo tena kuhusu tamko ulilo litumia na hujui maana yake. Huu ni upumbavu ulio pea.
 
Ila sisi binadamu tuna uchuro sana. Kwanini ujengee kaburi? Tena ikiwa ni makaburi ya public?


Kama ni makaburi ya familia sawa jengeeni ila kama unazikwa kwenye cemetery za jumuiya msiwe mnajengea. Kwasababu kiuhalisia ni kuwa ingekuwa makaburi hayafukuliwi na kuzikwa wengine hapo Kinondoni pangeshajaa miaka ya zamani sana.

Wanaojengea makaburi ni wabinafsi tu. Mtu akishakufa amaekufa mzikeni sawa ila msijengee kaburi ili na wengine wakifa wapate pakusitiriwa.

Ifikie mahali pia tuwe na tamaduni za kufanya cremation (kuchoma miili baada ya taratibu za msiba). Hii itapunguza uhitaji wa ardhi ya kuzikia watu.

Sisi wamasai zamani mtu alikuwa akifa tunampaka mafuta ya kondoo na anapelekwa vichakani huko analiwa na fisi habari yakw inakuwa imeisha.
Nasikia mtu akifa anageuka kuwa mzima
 
Makaburi hayo yavunjwe yote hilo eneo pawekwe miradi ya maendeleo,hii stereotype ya kuabudu makaburi ifike mahali iishe,kila mtu anazikwa Kinondoni mtu anaishi Mbezi Luis ila anafariki anazikwa Kinondoni upuuzi sana.
 
Makaburi hayo yavunjwe yote hilo eneo pawekwe miradi ya maendeleo,hii stereotype ya kuabudu makaburi ifike mahali iishe,kila mtu anazikwa Kinondoni mtu anaishi Mbezi Luis ila anafariki anazikwa Kinondoni upuuzi sana.
Kuzkwa Kinondoni ni ujiko, alisikika mwanasisa akiomba kura
 
Ila sisi binadamu tuna uchuro sana. Kwanini ujengee kaburi? Tena ikiwa ni makaburi ya public?


Kama ni makaburi ya familia sawa jengeeni ila kama unazikwa kwenye cemetery za jumuiya msiwe mnajengea. Kwasababu kiuhalisia ni kuwa ingekuwa makaburi hayafukuliwi na kuzikwa wengine hapo Kinondoni pangeshajaa miaka ya zamani sana.

Wanaojengea makaburi ni wabinafsi tu. Mtu akishakufa amaekufa mzikeni sawa ila msijengee kaburi ili na wengine wakifa wapate pakusitiriwa.

Ifikie mahali pia tuwe na tamaduni za kufanya cremation (kuchoma miili baada ya taratibu za msiba). Hii itapunguza uhitaji wa ardhi ya kuzikia watu.

Sisi wamasai zamani mtu alikuwa akifa tunampaka mafuta ya kondoo na anapelekwa vichakani huko analiwa na fisi habari yakw inakuwa imeisha.
Fisi hao wakikosa maiti watahamia kijijini
 
mimi nashangaa manispaa ya kinondoni kwanini hawakatazi watu kuendelea kuzikana pale maana kumejaa sna na mateja wapo pale ndio wanaofanya huu ujinga wanatafuta makabuli ya mda kidgo wanayaharibu makusudi hii si sawa ni lazima tuwaheshimu ndugu zetu walitangulia mbele ya haki kama kumbukumbu kwetu na ndugu zao..serikali mnasubili nini kuzuia huu ushenzi unaofanyika hapo kinondoni?
update ..
nimepita hapo mda huu ni kweli kabisa nimeshuhudia hayaa kwa macho yangu wahuni tu wapo pale wanatafutatafuta visehemu wanachimba kwa kuharibu makaburi ya zamani. hii si haki.
Mkuu; Usishangae tu - Ila ww na Wadau chukueni hatua ya kuishauri Manispaa ya Kinondoni kuanzisha Makaburi ya Ghorofa. Kwa kufuata utaratibu i.e.Kaburi moja lina weza kuchukua miili 4-5. Na Kibao hapo juu kitaonesha majina ya Waliomo (Miili iliyosetirika hapo) Hakuna nembo ya Dini. Fuatilieni kinachofanyika Denmark .
 
Kuangalia maendeleo ya ndugu yako aliyelazwa apo. Maendeleo gan uliyoenda kuyatazama bwashekh
 
Solution ya huu ujinga wote kabisa ni ku-privatize huu ujinga wote.makampuni binafsi yaendeshe haya makaburi for a profit:

1)Privatize makaburi
2)Privatize stendi zote
3)Privatize machinjio yote
4)Privatize masoko yote
5)Private kila kitu


Haya mambo yaendeshwe for profit,kila mwananchi alipie vifo vyao na kila kitu.

Bila hivyo hii nchi ni pori jumlisha pori
👍
 
Back
Top Bottom