Inamaana nyinyi wanawake wote mnajiuza?

Inamaana nyinyi wanawake wote mnajiuza?

sipendi wanaume bahiri na wanaopenda kulalamika vitu vidogovidogo kama hivi, mwanamke gharama ati.
 
Masoud Masoud ktk kpnd cha Mkasi, alisema maofisini humu wamejaa wauza k na baadhi ni wake za watu!

Na nyinyi wanunuzi mupo ndiyo maana hiyo bidhaa ikauzika. Tena ikiwa nyinyi munanunua za wake wa watu na wenu wananunuliwa na wengine.
 
Mwenzio mimi niliamua kutafuta pesa baada ya kuvuliwa mpenzi na mshikaji na kigezo ilikuwa peeesa inanguvu wewe nami now ninaenjoy sipati shida kaka usilalame
 
Du! mkuu umeuziwa...bora kuoa ijulikane moja!

Kaka ulipooa kwao ulitoa kiasi gan? Hiyo ni sababu tosha kua hakuna mwanamke wa bure. Teh teh
Mwanaume yeye akipata papuch inatosha, lkn mwanamke hata km anapata dushe lkn na pesa lazma hata km anafanya kaz TRA na km unajicf mkeo anakaz nzr ndo ucwe unamtoa bac itakua zawadi ya wengine. Kisaikolojia mwanamke kupewa pesa ni sehem ya kuonekana ana value km mwanamke na acpolipiwa mahali hawez kuona km anathaman kwako
 
Duh na kwa sisi tunaoishi chini ya Dola moja itakuwaje sasa??

Si ndo tutaishia kila demu mzuri kumwita shemeji.........!:madgrin:
 
Kwanza kabisa kabla ya kulalamika lazima tutambue kuwa tunaishi kwenye nyakati ambazo papuchi imekuwa ni moja ya biashara ya wadada ambayo msingi wake ni hela ya wembe wa kunyolea na pedi.....
Na tukumbuke kuwa vitu hivyo vinauzwa dukani....na kwa kuwa na yeye anatumia gharama kuihudumia haiwezekani akakupa bure....
Kwa hiyo vijana tusione ubahili kugharamia papuchi ikiwa tunafurahia huduma yao.......

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
maneno yako yamenisisimua....
 
unapohitaji starehe kubali kugharamia..
Kwan unadhani papuchi inajitunza yenyew?
Mbona kanisani mnatoa sadaka kila j2 kwaajili ya ukarabati wa majengo? Sasa kwanini usitoe hela kwaajili ya kuikarabati papuchi inayokupa raha

Hahaha. .kweli papuchi inahitaji service kila mara so wanaume inabidi tuwe tunachangia izo service bhn
 
Nimechoka nasema nimechoka. Kila demu nchi hii anauza wengine kwenye mitaaa, wengine kwenye mabaa, wengine kwenye madanguro na nk.

Sasa kuna hili kundi kubwa ambalo halisikii saana. Ni hawa dada zetu mama zetu waliobaki nyumbani kwa kisingizio wa hawataki kuuza mbona mnatuuziaaa?

Kila demu unayetongoza leo kama si leo kesho utamsikia baby nina shida ya 200000. Mara hiki mara kile au wewe nenda nae guest baada ya kula mzigo jifanye umesahau aga halafu mtazame usoni.

Nothing goes for nothing!
Sasa hela ya Sabuni amuombe nani kama si mtumiaji wa mwili wake?
Hela ya Pad amuombe nani kama si mtumiaji wa mwili wake?

Mahusiano bila pesa hayapo kabisa ndio maana wanashauri pesa itafutwe kwanza ndio watu wajiingizw kwenye mahusiano! Hakuna mwanamke ambaye hato kuomba msaada!
 
Wanunuzi kwakuwa wapo, basi biashara itaendelea. Ndio mtindo wa maisha tu si vinginevyo...
 
Asiefanya kazi na asile

Unamfanyishakazi ulitaka ale kwa mmkeo??
 
maneno yako yamenisisimua....

Ni kweli na mm naunga mkono, hata km cna ntamtoa na buku 10, na kwakua ni dem wangu cku nyingine naweza nkamkopa af nikapata hela ntamrushia za kutosha tu. Ila akianza kuchoka na kukongoroka huwa natafuta upcomming, hvo tunakua hatudaiani. Na yy ktk historia yske aseme alishawahi kupata jamaa aliye nitumia bila kunidhurumu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom