Nimechoka nasema nimechoka. Kila demu nchi hii anauza wengine kwenye mitaaa, wengine kwenye mabaa, wengine kwenye madanguro na nk.
Sasa kuna hili kundi kubwa ambalo halisikii saana. Ni hawa dada zetu mama zetu waliobaki nyumbani kwa kisingizio wa hawataki kuuza mbona mnatuuziaaa?
Kila demu unayetongoza leo kama si leo kesho utamsikia baby nina shida ya 200000. Mara hiki mara kile au wewe nenda nae guest baada ya kula mzigo jifanye umesahau aga halafu mtazame usoni.
kuna demu mmoja juzi kati amenipa nilipita nae, sasa jana nimemcheki kuulizia game nyingine akanijibu mimi bahiri sana eti hata hela ya supu simpi nimebakia nimeduwaa tu! wengi wanauza sema kila mmoja kwa staili yake.
Usichoke mkuu, hadi kwenye ndoa fomula ndio hiyo hiyo....."mume wangu naomba hela ya nywele, ada ya watoto inahitajika"....lakini mke wako anafanya kazi na analipwa mshahara
Women you can't live with, you can't live without them
unapohitaji starehe kubali kugharamia..
Kwan unadhani papuchi inajitunza yenyew?
Mbona kanisani mnatoa sadaka kila j2 kwaajili ya ukarabati wa majengo? Sasa kwanini usitoe hela kwaajili ya kuikarabati papuchi inayokupa raha