Inamaana nyinyi wanawake wote mnajiuza?

Inamaana nyinyi wanawake wote mnajiuza?

Kwanza kabisa kabla ya kulalamika lazima tutambue kuwa tunaishi kwenye nyakati ambazo papuchi imekuwa ni moja ya biashara ya wadada ambayo msingi wake ni hela ya wembe wa kunyolea na pedi.....
Na tukumbuke kuwa vitu hivyo vinauzwa dukani....na kwa kuwa na yeye anatumia gharama kuihudumia haiwezekani akakupa bure....
Kwa hiyo vijana tusione ubahili kugharamia papuchi ikiwa tunafurahia huduma yao.......

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Wanasemaga mjini cha bure mate yako tu.......

Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Kwanza mfute kauli ya kusema mnanunua...huko ni KUSHUKURU.

Na hebu wanaume acheni uchimvi...mazingira hayo ya kushukuru mnayaweka wenyewe tangu mnapotongoza, na wengi hutanguliza shukurani kabla ya kuhudumiwa....hivi mnafikiri mngepewa kama mngekuwa mnawafata kina dada na KUcommand "NINA HAMU NATAKA"

Haingii akilini ni kwa nini binti achague kukupatia wewe na si mwenzako ? jibu ni rahisi....ni kwa sababu tongozo lako limeashiria kumnufaisha kwa namna moja ama nyingine....otherwise si ingekuwa tu kila ndume anayehitaji basi anamrukia tu binti yeyote anayemtaka, kama kuku ?

Pesa ndio kipimo cha urahisi kwa binti kumtathmini mwanaume kuwa anajituma (hardworking) hivyo ANAdeserve kupewa, so ni lazima "kurudisha kwa jamii" na sio kusema umemlipa.

Well said!
 
K na MB tupewe bure haya na kuzitumia ziwe burebure... ebooo anayetaka kumtumia mwenzie lazima amkirimu kama kuuziwa ukiuziwa utaweza ichukua wewe..
 
Mkuu tafuta mahari uoe,,,,,,,maisha ya kutanga tanga yatakufilisi......
 
Wauze tu, ndicho walichojaaliwa nacho. Hawawezi kuparangana ili wapate namna ya kuishi, ts gud for them.
 
we preta unaonekana hujatulia,badala uwe sad kwa wanawake wenzio kufanya huo upuuzi we una insist atafute hela ili azidi kuhonga,pesa anatafuta ila si kwa kuhonga,Mkuu Mleta Mada Ni Kweli Wanawake Karibia Wote Wa Hapa Bongo Wanauza,wewe Hapa Utapasua Kichwa Bure,nenda Zako Uzunguni Kule Utabahatika Wale Hawapigagi Mizinga Hovyo Kama Hawa Wa Kwetu Mabinti Wa Bongo Njaa Kali Mno,nchi Za Kwenda Ambazo Uta Enjoy Hasa Kula K Ni Finland,Denmark,Norway,Sweden na hata U.K Kidogo,ila Mademu Wa Uk Wao Ndo Hutongoza Mwanaume.Hapa Bongo Utahangaika Bure.

Na Sisi Tulio Na Mademu Huko Vijijini Mwetu KYAKA NKUNDE Itakuwaje?
 
iliandikwa hata kwenye biblia.. mwanaume utakula kwa jasho.
 
Mkojo wako wenyewe kuujojoa unaulipia sembuse mtu kukukatia kiuno....acha ujinga bana!!!!

Hanikatikii tunskatikiana....ananipa raha nampa pia....luv is two way traffic...msitake mpewe nyie tuuu
 
Dah!! Yn kwa kweli wanaume siku izi mnalalamika mpaka mnatia huruma, lakini haya yote mmeyataka wenyewe hii onja onja ya sasa ivi imewafanya wadada kuweka pesa mbele kama silaha ya kupunguza, Sasa ukiona bughudha linazidi tafta tu wa kuendana nawe weka ndani utakuwa na Amani.
 
dawa ni kudate na madem above your age, ata kukupiga mzing anajistukia... we ni full kumega!!!! mjini mipango
 
Tumepanga kuonana yaani kudo,nafanya maandalizi yote mwisho nakupa raha zote halafu usitoe huduma haaaaa!!!!! acheni ubahili
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom