Nyoooo eti risiti ya TRA hii papuchi ni yangu au serikali
Dah!! Yn kwa kweli wanaume siku izi mnalalamika mpaka mnatia huruma, lakini haya yote mmeyataka wenyewe hii onja onja ya sasa ivi imewafanya wadada kuweka pesa mbele kama silaha ya kupunguza, Sasa ukiona bughudha linazidi tafta tu wa kuendana nawe weka ndani utakuwa na Amani.
Tafuta hela wewe.......acha kelele.....
Risiti ya TRA ni kwa biashara binafsi.... Yaani hapo EFD inahusika.. Otherwise twangwa bureeee....
hujanidhurumu na umeacha nimekongoroka? We mbayaaa in Joti's voice.Ila akianza kuchoka na kukongoroka huwa natafuta upcomming, hvo tunakua hatudaiani. Na yy ktk historia yske aseme alishawahi kupata jamaa aliye nitumia bila kunidhurumu.
Nimechoka nasema nimechoka.
So waaat? Walochoka wamepumzika, unangoja nn? Kwan lazima?
Lol... lala mpaka mda huu unafanya nn
Nimechoka nasema nimechoka. Kila demu nchi hii anauza wengine kwenye mitaaa, wengine kwenye mabaa, wengine kwenye madanguro na nk.
Sasa kuna hili kundi kubwa ambalo halisikii saana. Ni hawa dada zetu mama zetu waliobaki nyumbani kwa kisingizio wa hawataki kuuza mbona mnatuuziaaa?
Kila demu unayetongoza leo kama si leo kesho utamsikia baby nina shida ya 200000. Mara hiki mara kile au wewe nenda nae guest baada ya kula mzigo jifanye umesahau aga halafu mtazame usoni.
Nimechoka nasema nimechoka. Kila demu nchi hii anauza wengine kwenye mitaaa, wengine kwenye mabaa, wengine kwenye madanguro na nk.
Sasa kuna hili kundi kubwa ambalo halisikii saana. Ni hawa dada zetu mama zetu waliobaki nyumbani kwa kisingizio wa hawataki kuuza mbona mnatuuziaaa?
Kila demu unayetongoza leo kama si leo kesho utamsikia baby nina shida ya 200000. Mara hiki mara kile au wewe nenda nae guest baada ya kula mzigo jifanye umesahau aga halafu mtazame usoni.
Yani vivulana havipendi kuwajibika,
Wanaume suruali hawataki majukumu.
Basi wote tuolewe tu.
Ha ha ha!uwiii!!Yeye hajawahi pata mahaba bila kuchunwa too bad atembee tembee mayb atapata iyo bahati!!ila nashangaa sana mwanaume wa kweli kuwa mchoyo mpaka unaonea ubahili kumhudumia gal wako akati uwezo unao!!Huo ni uchoyo na utoto hakuna kingineee!!hahaaaa!! umeona eeeh? 'mwanaume' hawezi kulalamika hivi, kuna mwenzie hapo anataka haki sawa, nahisi ndio hii uliyoongelea, tuolewe tu wote tujue moja.
Ha ha ha!uwiii!!Yeye hajawahi pata mahaba bila kuchunwa too bad atembee tembee mayb atapata iyo bahati!!ila nashangaa sana mwanaume wa kweli kuwa mchoyo mpaka unaonea ubahili kumhudumia gal wako akati uwezo unao!!Huo ni uchoyo na utoto hakuna kingineee!!